Tena Mimi nashauri Samia akiondoka amwachie Kafulila Urais anafaa sanaKafulila ameipamba sana hii PPP ngoja tuone kama kweli yaliyomo yamo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena Mimi nashauri Samia akiondoka amwachie Kafulila Urais anafaa sanaKafulila ameipamba sana hii PPP ngoja tuone kama kweli yaliyomo yamo
Mimi sio Kafulila mkuuKafulila naona mama kakusikia na maandiko yako jf
DuuhNani alikwambia CHADEMA ni chama Cha siasa?😀
Kampeni Gani hapo?Unatupa tasrifa au una piga debe a.k.a kampeni kabla ya muda .
Wapi?Kafulila hapeleki moto
😂😂Chawa promaxKafulila naona mama kakusikia na maandiko yako jf
Mama anapendwa na wengi hata hivyoHuyu mama nampenda sana, ameanza kuniingia moyoni
Mungu akubariki sana mama la mama
#MitanoTena
#2025-2035 ni MamaTu
CCM ni Ile Ile ....Mimi ni CHADEMA ila mama Uchaguzi ukiisha na akashinda Mbowe mama nipokee tu CCM,😭😭
Huyu Rais anafanya mambo mazuri sana na hapendi rushwa kama MBOWE,
Wajumbe wakimchagua tu Mbowe nahamia CCM hii iwe wazi kabisa hapa.
Maendeleo hayana chamaMama anautulivu mkubwa sana hakika apewe mitano tena
Mimi ni CHADEMA ila namkubali sana huyu mama
To me kazi anazofanya Kafulila ni zaidi ya Waziri apongezwe, Mama Samia tuko na weweView attachment 3195468
==
Katika hotuba yake bora na ya kihistoria ya kufunga mwaka wa 2024 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ameitangazia Tanzània na Dunia kuwa mwaka 2025 utakuwa ni mwaka ambao Serikali yake itajikita zaidi katika kuvuta na kutumia mitaji ya sekta binafsi katika kukuza Uchumi Jumuifu wa Taifa la Tanzània.
Mhe Rais Dkt Samia katika hotuba yake hiyo ameitaja miradi kadhaa ya mifano iliyoko chini ya PPPC ambayo imefikia hatua mbalimbali za Utekelezaji wake kama Mafanikio ya wazi ya Serikali anayoiongoza kwa Mafanikio ya awamu ya 6.
Rais anasema mpaka Sasa tuna jumla ya miradi 74 inayoendelea chini ya PPP na PPPC.
Mtakumbuka PPP Tanzània pamoja na uwepo wake kwenye Sheria kwa zaidi ya miaka 15 lakini haikuwahi kuwa na mradi yoyote serious isipokuwa Leo chini ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ambae ndie anayesimamia sera zote za maendeleo kwenye nchi hii hakuna ubaya tukimpongeza kwa kumchagua tena Oct 2025.
Tanzània ni Kweli Tunaweza kubishana katika mambo mbalimbali lakini kamwe hatuwezi kubishana kuhusu utendaji kazi uliotukuka wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.
#SAMIAMITANO TENA KWA MANUFAA YA WOTE
<<<<Msikilize mpaka mwisho hapa>>>>
View attachment 3194735
Kafulila sana, huyu jamaa chawa sana kwa Mama,View attachment 3195468
==
Katika hotuba yake bora na ya kihistoria ya kufunga mwaka wa 2024 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ameitangazia Tanzània na Dunia kuwa mwaka 2025 utakuwa ni mwaka ambao Serikali yake itajikita zaidi katika kuvuta na kutumia mitaji ya sekta binafsi katika kukuza Uchumi Jumuifu wa Taifa la Tanzània.
Mhe Rais Dkt Samia katika hotuba yake hiyo ameitaja miradi kadhaa ya mifano iliyoko chini ya PPPC ambayo imefikia hatua mbalimbali za Utekelezaji wake kama Mafanikio ya wazi ya Serikali anayoiongoza kwa Mafanikio ya awamu ya 6.
Rais anasema mpaka Sasa tuna jumla ya miradi 74 inayoendelea chini ya PPP na PPPC.
Mtakumbuka PPP Tanzània pamoja na uwepo wake kwenye Sheria kwa zaidi ya miaka 15 lakini haikuwahi kuwa na mradi yoyote serious isipokuwa Leo chini ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ambae ndie anayesimamia sera zote za maendeleo kwenye nchi hii hakuna ubaya tukimpongeza kwa kumchagua tena Oct 2025.
Tanzània ni Kweli Tunaweza kubishana katika mambo mbalimbali lakini kamwe hatuwezi kubishana kuhusu utendaji kazi uliotukuka wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.
#SAMIAMITANO TENA KWA MANUFAA YA WOTE
<<<<Msikilize mpaka mwisho hapa>>>>
View attachment 3194735
Kampeni za kawaida ruksa mbona!!Unatupa tasrifa au una piga debe a.k.a kampeni kabla ya muda .
Kafulila naona safari ya kuuvizia Urais imeanza sio kwa masuti hayaView attachment 3195468
==
Katika hotuba yake bora na ya kihistoria ya kufunga mwaka wa 2024 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ameitangazia Tanzània na Dunia kuwa mwaka 2025 utakuwa ni mwaka ambao Serikali yake itajikita zaidi katika kuvuta na kutumia mitaji ya sekta binafsi katika kukuza Uchumi Jumuifu wa Taifa la Tanzània.
Mhe Rais Dkt Samia katika hotuba yake hiyo ameitaja miradi kadhaa ya mifano iliyoko chini ya PPPC ambayo imefikia hatua mbalimbali za Utekelezaji wake kama Mafanikio ya wazi ya Serikali anayoiongoza kwa Mafanikio ya awamu ya 6.
Rais anasema mpaka Sasa tuna jumla ya miradi 74 inayoendelea chini ya PPP na PPPC.
Mtakumbuka PPP Tanzània pamoja na uwepo wake kwenye Sheria kwa zaidi ya miaka 15 lakini haikuwahi kuwa na mradi yoyote serious isipokuwa Leo chini ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ambae ndie anayesimamia sera zote za maendeleo kwenye nchi hii hakuna ubaya tukimpongeza kwa kumchagua tena Oct 2025.
Tanzània ni Kweli Tunaweza kubishana katika mambo mbalimbali lakini kamwe hatuwezi kubishana kuhusu utendaji kazi uliotukuka wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.
#SAMIAMITANO TENA KWA MANUFAA YA WOTE
<<<<Msikilize mpaka mwisho hapa>>>>
View attachment 3194735
acheni ufukunyuku kumbukeni ukatili na ushenzi wa ndugu zenu waliotekwa na kuuliwa hata hivi karibu alishushwa mtu kwenye basi la abiria hakurudi tena walimuuaMimi ni CHADEMA ila mama Uchaguzi ukiisha na akashinda Mbowe mama nipokee tu CCM,😭😭
Huyu Rais anafanya mambo mazuri sana na hapendi rushwa kama MBOWE,
Wajumbe wakimchagua tu Mbowe nahamia CCM hii iwe wazi kabisa hapa.
siku ndugu yako au mtu katika familia yako ya karibu atakapotekwa na kuuliwa utakuja hapa na lugha nyengine, ccmu is not a good friendHuyu mama nampenda sana, ameanza kuniingia moyoni
Mungu akubariki sana mama la mama
#MitanoTena
#2025-2035 ni MamaTu
Tanzània iko katika mikono salama sana ya Mama,View attachment 3195468
==
Katika hotuba yake bora na ya kihistoria ya kufunga mwaka wa 2024 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ameitangazia Tanzània na Dunia kuwa mwaka 2025 utakuwa ni mwaka ambao Serikali yake itajikita zaidi katika kuvuta na kutumia mitaji ya sekta binafsi katika kukuza Uchumi Jumuifu wa Taifa la Tanzània.
Mhe Rais Dkt Samia katika hotuba yake hiyo ameitaja miradi kadhaa ya mifano iliyoko chini ya PPPC ambayo imefikia hatua mbalimbali za Utekelezaji wake kama Mafanikio ya wazi ya Serikali anayoiongoza kwa Mafanikio ya awamu ya 6.
Rais anasema mpaka Sasa tuna jumla ya miradi 74 inayoendelea chini ya PPP na PPPC.
Mtakumbuka PPP Tanzània pamoja na uwepo wake kwenye Sheria kwa zaidi ya miaka 15 lakini haikuwahi kuwa na mradi yoyote serious isipokuwa Leo chini ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ambae ndie anayesimamia sera zote za maendeleo kwenye nchi hii hakuna ubaya tukimpongeza kwa kumchagua tena Oct 2025.
Tanzània ni Kweli Tunaweza kubishana katika mambo mbalimbali lakini kamwe hatuwezi kubishana kuhusu utendaji kazi uliotukuka wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.
#SAMIAMITANO TENA KWA MANUFAA YA WOTE
<<<<Msikilize mpaka mwisho hapa>>>>
View attachment 3194735