2025 Rais Samia ampa nguvu zaidi David Kafulila

2025 Rais Samia ampa nguvu zaidi David Kafulila

Mimi ni CHADEMA ila mama Uchaguzi ukiisha na akashinda Mbowe mama nipokee tu CCM,😭😭
Huyu Rais anafanya mambo mazuri sana na hapendi rushwa kama MBOWE,
Wajumbe wakimchagua tu Mbowe nahamia CCM hii iwe wazi kabisa hapa.
CCM ni Ile Ile ....
 
View attachment 3195468
==
Katika hotuba yake bora na ya kihistoria ya kufunga mwaka wa 2024 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ameitangazia Tanzània na Dunia kuwa mwaka 2025 utakuwa ni mwaka ambao Serikali yake itajikita zaidi katika kuvuta na kutumia mitaji ya sekta binafsi katika kukuza Uchumi Jumuifu wa Taifa la Tanzània.

Mhe Rais Dkt Samia katika hotuba yake hiyo ameitaja miradi kadhaa ya mifano iliyoko chini ya PPPC ambayo imefikia hatua mbalimbali za Utekelezaji wake kama Mafanikio ya wazi ya Serikali anayoiongoza kwa Mafanikio ya awamu ya 6.

Rais anasema mpaka Sasa tuna jumla ya miradi 74 inayoendelea chini ya PPP na PPPC.

Mtakumbuka PPP Tanzània pamoja na uwepo wake kwenye Sheria kwa zaidi ya miaka 15 lakini haikuwahi kuwa na mradi yoyote serious isipokuwa Leo chini ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ambae ndie anayesimamia sera zote za maendeleo kwenye nchi hii hakuna ubaya tukimpongeza kwa kumchagua tena Oct 2025.

Tanzània ni Kweli Tunaweza kubishana katika mambo mbalimbali lakini kamwe hatuwezi kubishana kuhusu utendaji kazi uliotukuka wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.


#SAMIAMITANO TENA KWA MANUFAA YA WOTE


<<<<Msikilize mpaka mwisho hapa>>>>

View attachment 3194735
To me kazi anazofanya Kafulila ni zaidi ya Waziri apongezwe, Mama Samia tuko na wewe
 
View attachment 3195468
==
Katika hotuba yake bora na ya kihistoria ya kufunga mwaka wa 2024 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ameitangazia Tanzània na Dunia kuwa mwaka 2025 utakuwa ni mwaka ambao Serikali yake itajikita zaidi katika kuvuta na kutumia mitaji ya sekta binafsi katika kukuza Uchumi Jumuifu wa Taifa la Tanzània.

Mhe Rais Dkt Samia katika hotuba yake hiyo ameitaja miradi kadhaa ya mifano iliyoko chini ya PPPC ambayo imefikia hatua mbalimbali za Utekelezaji wake kama Mafanikio ya wazi ya Serikali anayoiongoza kwa Mafanikio ya awamu ya 6.

Rais anasema mpaka Sasa tuna jumla ya miradi 74 inayoendelea chini ya PPP na PPPC.

Mtakumbuka PPP Tanzània pamoja na uwepo wake kwenye Sheria kwa zaidi ya miaka 15 lakini haikuwahi kuwa na mradi yoyote serious isipokuwa Leo chini ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ambae ndie anayesimamia sera zote za maendeleo kwenye nchi hii hakuna ubaya tukimpongeza kwa kumchagua tena Oct 2025.

Tanzània ni Kweli Tunaweza kubishana katika mambo mbalimbali lakini kamwe hatuwezi kubishana kuhusu utendaji kazi uliotukuka wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.


#SAMIAMITANO TENA KWA MANUFAA YA WOTE


<<<<Msikilize mpaka mwisho hapa>>>>

View attachment 3194735
Kafulila sana, huyu jamaa chawa sana kwa Mama,
 
Screenshot_20241222-125922.jpg
karibuni
 
View attachment 3195468
==
Katika hotuba yake bora na ya kihistoria ya kufunga mwaka wa 2024 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ameitangazia Tanzània na Dunia kuwa mwaka 2025 utakuwa ni mwaka ambao Serikali yake itajikita zaidi katika kuvuta na kutumia mitaji ya sekta binafsi katika kukuza Uchumi Jumuifu wa Taifa la Tanzània.

Mhe Rais Dkt Samia katika hotuba yake hiyo ameitaja miradi kadhaa ya mifano iliyoko chini ya PPPC ambayo imefikia hatua mbalimbali za Utekelezaji wake kama Mafanikio ya wazi ya Serikali anayoiongoza kwa Mafanikio ya awamu ya 6.

Rais anasema mpaka Sasa tuna jumla ya miradi 74 inayoendelea chini ya PPP na PPPC.

Mtakumbuka PPP Tanzània pamoja na uwepo wake kwenye Sheria kwa zaidi ya miaka 15 lakini haikuwahi kuwa na mradi yoyote serious isipokuwa Leo chini ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ambae ndie anayesimamia sera zote za maendeleo kwenye nchi hii hakuna ubaya tukimpongeza kwa kumchagua tena Oct 2025.

Tanzània ni Kweli Tunaweza kubishana katika mambo mbalimbali lakini kamwe hatuwezi kubishana kuhusu utendaji kazi uliotukuka wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.


#SAMIAMITANO TENA KWA MANUFAA YA WOTE


<<<<Msikilize mpaka mwisho hapa>>>>

View attachment 3194735
Kafulila naona safari ya kuuvizia Urais imeanza sio kwa masuti haya
 
Mimi ni CHADEMA ila mama Uchaguzi ukiisha na akashinda Mbowe mama nipokee tu CCM,😭😭
Huyu Rais anafanya mambo mazuri sana na hapendi rushwa kama MBOWE,
Wajumbe wakimchagua tu Mbowe nahamia CCM hii iwe wazi kabisa hapa.
acheni ufukunyuku kumbukeni ukatili na ushenzi wa ndugu zenu waliotekwa na kuuliwa hata hivi karibu alishushwa mtu kwenye basi la abiria hakurudi tena walimuua
 
Huyu mama nampenda sana, ameanza kuniingia moyoni
Mungu akubariki sana mama la mama
#MitanoTena
#2025-2035 ni MamaTu
siku ndugu yako au mtu katika familia yako ya karibu atakapotekwa na kuuliwa utakuja hapa na lugha nyengine, ccmu is not a good friend
 
View attachment 3195468
==
Katika hotuba yake bora na ya kihistoria ya kufunga mwaka wa 2024 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ameitangazia Tanzània na Dunia kuwa mwaka 2025 utakuwa ni mwaka ambao Serikali yake itajikita zaidi katika kuvuta na kutumia mitaji ya sekta binafsi katika kukuza Uchumi Jumuifu wa Taifa la Tanzània.

Mhe Rais Dkt Samia katika hotuba yake hiyo ameitaja miradi kadhaa ya mifano iliyoko chini ya PPPC ambayo imefikia hatua mbalimbali za Utekelezaji wake kama Mafanikio ya wazi ya Serikali anayoiongoza kwa Mafanikio ya awamu ya 6.

Rais anasema mpaka Sasa tuna jumla ya miradi 74 inayoendelea chini ya PPP na PPPC.

Mtakumbuka PPP Tanzània pamoja na uwepo wake kwenye Sheria kwa zaidi ya miaka 15 lakini haikuwahi kuwa na mradi yoyote serious isipokuwa Leo chini ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ambae ndie anayesimamia sera zote za maendeleo kwenye nchi hii hakuna ubaya tukimpongeza kwa kumchagua tena Oct 2025.

Tanzània ni Kweli Tunaweza kubishana katika mambo mbalimbali lakini kamwe hatuwezi kubishana kuhusu utendaji kazi uliotukuka wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.


#SAMIAMITANO TENA KWA MANUFAA YA WOTE


<<<<Msikilize mpaka mwisho hapa>>>>

View attachment 3194735
Tanzània iko katika mikono salama sana ya Mama,
 
Back
Top Bottom