Synonyms MP
JF-Expert Member
- Jun 4, 2024
- 320
- 346
Kapiga nini mkuu na wapi?Kafulila ni mpigaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapiga nini mkuu na wapi?Kafulila ni mpigaji
😂😂KAFULILA amshukuru sana marehemu JPM kwa kumtoa MISRI kwa Mafarao na kumfikisha hapo alipo KANAANI, he is now evidently looks healthier and happier than Ever😀
Chadema ni chama Cha siasa CCM Sio chama ila kundi la watu walioamua kuwakandamiza watanzaniaNani alikwambia CHADEMA ni chama Cha siasa?😀
ThibitishaChadema ni chama Cha siasa CCM Sio chama ila kundi la watu walioamua kuwakandamiza watanzania
Kitu Gani?Thibitisha
Kuhusu hiyo CHADEMAKitu Gani?
Imefanyaje?Kuhusu hiyo CHADEMA
CCM wamekukandamiza sehemu gani? na CHADEMA wamekupa relief sehemu gani uliyokandamizwa? Hujui kama Hawa ni colleagues enjoying their business and you're unnecessarily suffering?Live your life pls!!Chadema ni chama Cha siasa CCM Sio chama ila kundi la watu walioamua kuwakandamiza watanzania
Samia apewe mitano tenaView attachment 3195468
==
Katika hotuba yake bora ya kihistoria ya kufunga mwaka wa 2024 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ameitangazia Tanzània na Dunia kuwa mwaka 2025 utakuwa ni mwaka ambao Serikali yake itajikita zaidi katika kuvuta na kutumia mitaji ya sekta binafsi katika kukuza Uchumi Jumuifu wa Taifa la Tanzània.
Mhe Rais Dkt Samia katika hotuba yake hiyo ameitaja miradi kadhaa ya mifano iliyoko chini ya PPPC ambayo imefikia hatua mbalimbali za Utekelezaji wake kama Mafanikio ya wazi ya Serikali anayoiongoza kwa Mafanikio ya awamu ya 6.
Rais anasema mpaka Sasa tuna jumla ya miradi 74 inayoendelea katika hatua tofauti tofauti chini ya PPP na PPPC.
Mtakumbuka PPP Tanzània pamoja na uwepo wake kwenye Sheria kwa zaidi ya miaka 15 lakini haikuwahi kuwa na miradi yoyote "serious" isipokuwa leo chini ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ambae ndie anayesimamia sera zote za maendeleo kwenye nchi hii hakuna ubaya tukimpongeza kwa kumchagua tena Oct 2025.
Tanzània ni Kweli Tunaweza kubishana katika mambo mbalimbali lakini kamwe hatuwezi kubishana kuhusu utendaji kazi uliotukuka wa Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan.
View attachment 3194735
====
Dalali wa mali zetuKafulila ni mpigaji
Unafahamu maana ya dalali?Dalali wa mali zetu
Huu ni uzandiki tuuUnafahamu maana ya dalali?
Acha unafiki CDM hamna wanafikiMama anautulivu mkubwa sana hakika apewe mitano tena
Mimi ni CHADEMA ila namkubali sana huyu mama
Ila CHADEMA ni wasumbufu sanaMimi ni CHADEMA ila mama Uchaguzi ukiisha na akashinda Mbowe mama nipokee tu CCM,😭😭
Huyu Rais anafanya mambo mazuri sana na hapendi rushwa kama MBOWE,
Wajumbe wakimchagua tu Mbowe nahamia CCM hii iwe wazi kabisa hapa.
Ila CHADEMA ni wasumbufu sana
Kwa kiasi chake anajitahidi sanaHuyu mama nampenda sana, ameanza kuniingia moyoni
Mungu akubariki sana mama la mama
#MitanoTena
#2025-2035 ni MamaTu
Anafanya vile CCM inatakaKwa kiasi chake anajitahidi sana
Kafulila fanya kazi sasaView attachment 3195468
==
Katika hotuba yake bora ya kihistoria ya kufunga mwaka wa 2024 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ameitangazia Tanzània na Dunia kuwa mwaka 2025 utakuwa ni mwaka ambao Serikali yake itajikita zaidi katika kuvuta na kutumia mitaji ya sekta binafsi katika kukuza Uchumi Jumuifu wa Taifa la Tanzània.
Mhe Rais Dkt Samia katika hotuba yake hiyo ameitaja miradi kadhaa ya mifano iliyoko chini ya PPPC ambayo imefikia hatua mbalimbali za Utekelezaji wake kama Mafanikio ya wazi ya Serikali anayoiongoza kwa Mafanikio ya awamu ya 6.
Rais anasema mpaka Sasa tuna jumla ya miradi 74 inayoendelea katika hatua tofauti tofauti chini ya PPP na PPPC.
Mtakumbuka PPP Tanzània pamoja na uwepo wake kwenye Sheria kwa zaidi ya miaka 15 lakini haikuwahi kuwa na miradi yoyote "serious" isipokuwa leo chini ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ambae ndie anayesimamia sera zote za maendeleo kwenye nchi hii hakuna ubaya tukimpongeza kwa kumchagua tena Oct 2025.
Tanzània ni Kweli Tunaweza kubishana katika mambo mbalimbali lakini kamwe hatuwezi kubishana kuhusu utendaji kazi uliotukuka wa Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan.
View attachment 3194735
====