2025 Rais Samia ampa nguvu zaidi David Kafulila

2025 Rais Samia ampa nguvu zaidi David Kafulila

acheni ufukunyuku kumbukeni ukatili na ushenzi wa ndugu zenu waliotekwa na kuuliwa hata hivi karibu alishushwa mtu kwenye basi la abiria hakurudi tena walimuua
Kwani wametekwa na Samia mkuu?
 
Mimi ni CHADEMA ila mama Uchaguzi ukiisha na akashinda Mbowe mama nipokee tu CCM,😭😭
Huyu Rais anafanya mambo mazuri sana na hapendi rushwa kama MBOWE,
Wajumbe wakimchagua tu Mbowe nahamia CCM hii iwe wazi kabisa hapa.
kazi yetu ni kuwatunzia kumbukumbu za viapo vyenu.
 
View attachment 3195468
==
Katika hotuba yake bora na ya kihistoria ya kufunga mwaka wa 2024 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ameitangazia Tanzània na Dunia kuwa mwaka 2025 utakuwa ni mwaka ambao Serikali yake itajikita zaidi katika kuvuta na kutumia mitaji ya sekta binafsi katika kukuza Uchumi Jumuifu wa Taifa la Tanzània.

Mhe Rais Dkt Samia katika hotuba yake hiyo ameitaja miradi kadhaa ya mifano iliyoko chini ya PPPC ambayo imefikia hatua mbalimbali za Utekelezaji wake kama Mafanikio ya wazi ya Serikali anayoiongoza kwa Mafanikio ya awamu ya 6.

Rais anasema mpaka Sasa tuna jumla ya miradi 74 inayoendelea chini ya PPP na PPPC.

Mtakumbuka PPP Tanzània pamoja na uwepo wake kwenye Sheria kwa zaidi ya miaka 15 lakini haikuwahi kuwa na mradi yoyote serious isipokuwa Leo chini ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ambae ndie anayesimamia sera zote za maendeleo kwenye nchi hii hakuna ubaya tukimpongeza kwa kumchagua tena Oct 2025.

Tanzània ni Kweli Tunaweza kubishana katika mambo mbalimbali lakini kamwe hatuwezi kubishana kuhusu utendaji kazi uliotukuka wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.


#SAMIAMITANO TENA KWA MANUFAA YA WOTE


<<<<Msikilize mpaka mwisho hapa>>>>

View attachment 3194735
Ingependeza sana pppc, EPZA na TIC kuwa taasisi moja

Na sheria ya ppp ilivyo sasa haiibebi sana serikali ndio maana hwdi sasa they have very little to show for

Mfumo na muundo wa ppp Leo hauwezi kulikwamua taifa - pia we need practical solutions na sio reference to sheria kanuni na taratibu when it comes to executions ya strategic projects
 
Zile kilometer 2000 za barabara alizozindua huyo Tumbili mwaka 2022 zipo wapi?
 
Kampeni zina mambo mengi sana na ya hovyo.

Hivi Chadema kuna nini cha kung'ang'ania kama umeridhika na sera za Ccm?

Yaani mkakati ulionao wewe ni kama mkristu anapotaka kuwatukana ama kuwakashifu waislam aseme: ... 'mimi ni muislamu, ninawaungu mkono sana wakristu kwa haya mambo ya hovyo wanayofanyiwa na viongozi wetu wa kiislamu'...

Wakati uamzi wa kuhama na kuunga mkono kunakokuridhisha unao na hakuna pingamizi?
Nimekuelewa
 
Ingependeza sana pppc, EPZA na TIC kuwa taasisi moja

Na sheria ya ppp ilivyo sasa haiibebi sana serikali ndio maana hwdi sasa they have very little to show for

Mfumo na muundo wa ppp Leo hauwezi kulikwamua taifa - pia we need practical solutions na sio reference to sheria kanuni na taratibu when it comes to executions ya strategic projects
Kutapunguza ufanisi mkuu
 
Kutapunguza ufanisi mkuu
Si Kweli

Ufanisi unapungua sasa because you have to wonder around many entities
If planning commission ni moja nchi nzima, why tuwe na investment, ppp na export processing authority as different entities?

In total how many staff Wapo wkenye hizo taasisi? Why not one entity?

Do we need 3 CEOs?
 
Mimi ni CHADEMA ila mama Uchaguzi ukiisha na akashinda Mbowe mama nipokee tu CCM,😭😭
Huyu Rais anafanya mambo mazuri sana na hapendi rushwa kama MBOWE,
Wajumbe wakimchagua tu Mbowe nahamia CCM hii iwe wazi kabisa hapa.
Duuh ngoja tuone
 
Mimi ni CHADEMA ila mama Uchaguzi ukiisha na akashinda Mbowe mama nipokee tu CCM,😭😭
Huyu Rais anafanya mambo mazuri sana na hapendi rushwa kama MBOWE,
Wajumbe wakimchagua tu Mbowe nahamia CCM hii iwe wazi kabisa hapa.
Hahaha Team Lisu hata hamjielewi, Mnasema Mbowe anapewa Rushwa na Abdul Na Mama yake, halafu unasema huyu mama hapendi rushwa kama Mbowe?

Juzi hapa Lisu alikuwa anazunguka Nchi nzima akituambia Samia amekula rushwa kwa muwekezaji DP world, na pesa zimemwagwa nchi nzima kuwafunga watu midomo, MMESha sahau leo mnasema hapendi rushwa?

Tuna waambia Lisu anaropoka hovyo hafai kuwa kiongozi hamuelewi, kama Kelele za DP World alizokuwa anapiga, hizi za rushwa ya Abdul, na Mama yake nazo ni za UONGO, sasa kwanini mnamtetea?
 
View attachment 3195468
==
Katika hotuba yake bora na ya kihistoria ya kufunga mwaka wa 2024 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ameitangazia Tanzània na Dunia kuwa mwaka 2025 utakuwa ni mwaka ambao Serikali yake itajikita zaidi katika kuvuta na kutumia mitaji ya sekta binafsi katika kukuza Uchumi Jumuifu wa Taifa la Tanzània.

Mhe Rais Dkt Samia katika hotuba yake hiyo ameitaja miradi kadhaa ya mifano iliyoko chini ya PPPC ambayo imefikia hatua mbalimbali za Utekelezaji wake kama Mafanikio ya wazi ya Serikali anayoiongoza kwa Mafanikio ya awamu ya 6.

Rais anasema mpaka Sasa tuna jumla ya miradi 74 inayoendelea chini ya PPP na PPPC.

Mtakumbuka PPP Tanzània pamoja na uwepo wake kwenye Sheria kwa zaidi ya miaka 15 lakini haikuwahi kuwa na mradi yoyote serious isipokuwa Leo chini ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ambae ndie anayesimamia sera zote za maendeleo kwenye nchi hii hakuna ubaya tukimpongeza kwa kumchagua tena Oct 2025.

Tanzània ni Kweli Tunaweza kubishana katika mambo mbalimbali lakini kamwe hatuwezi kubishana kuhusu utendaji kazi uliotukuka wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.


#SAMIAMITANO TENA KWA MANUFAA YA WOTE


<<<<Msikilize mpaka mwisho hapa>>>>

View attachment 3194735
Kafulila mwamba sana ni kati ya Vijana makini sana Kwenye Taifa hili
 
image-insert-your-face-monkey-baby-animal-34515.jpg
 
Back
Top Bottom