2025 Rais Samia ampa nguvu zaidi David Kafulila

Mimi ni CHADEMA ila mama Uchaguzi ukiisha na akashinda Mbowe mama nipokee tu CCM,😭😭
Huyu Rais anafanya mambo mazuri sana na hapendi rushwa kama MBOWE,
Wajumbe wakimchagua tu Mbowe nahamia CCM hii iwe wazi kabisa hapa.
Njoo CCM tufanye kazi
 
Mimi ni CHADEMA ila mama Uchaguzi ukiisha na akashinda Mbowe mama nipokee tu CCM,😭😭
Huyu Rais anafanya mambo mazuri sana na hapendi rushwa kama MBOWE,
Wajumbe wakimchagua tu Mbowe nahamia CCM hii iwe wazi kabisa hapa.
Karibu sana CCM
 
Kafulila nakushauri nenda Kakogombee Ubunge wewe bado ni mwanasiasa makini
 
Yule ibilisi aliiharibu sana nchi.
Sijui alitumia dawa gani mpaka wajinga na wapumbavu wakampenda kiasi kile.
Samia ni mtu
 
Hongera sana Mama Samia
 
Rais Samia mitano tena
 
Mimi ni CHADEMA ila mama Uchaguzi ukiisha na akashinda Mbowe mama nipokee tu CCM,😭😭
Huyu Rais anafanya mambo mazuri sana na hapendi rushwa kama MBOWE,
Wajumbe wakimchagua tu Mbowe nahamia CCM hii iwe wazi kabisa hapa.
Karibu sana CCM,

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
 
Hongera Kafulila
 
Mimi ni CHADEMA ila mama Uchaguzi ukiisha na akashinda Mbowe mama nipokee tu CCM,😭😭
Huyu Rais anafanya mambo mazuri sana na hapendi rushwa kama MBOWE,
Wajumbe wakimchagua tu Mbowe nahamia CCM hii iwe wazi kabisa


Mbona kimya?😂😂
 
Dalali kafulila sijamuona kwenye picha wakati wa ku-sign uuzwaji Bandari ya Bagamoyo.
 
KAFULILA amshukuru sana marehemu JPM kwa kumtoa MISRI kwa Mafarao na kumfikisha hapo alipo KANAANI, he is now evidently looks healthier and happier than Ever😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…