2025 uchaguzi ukiwa huru na haki, Rais Samia hawezi kushinda uchaguzi

2025 uchaguzi ukiwa huru na haki, Rais Samia hawezi kushinda uchaguzi

Bila Katiba mpya tume ni lazima itamtangaza. N. B. Ni lazima imtangaze tume yetu ni huru kwenye makaratasi tu kiuharisia ni chombo kinachomilikiwa na Rais
 
Huu Uzi ningependa usomwe kwa umakini, na tuweke siasa za mihemuko pembeni.

Ni dhahiri CCM watamsimamisha SSH Kama Mgombea wao wa uraisi,lakini ukweli lazima usemwe sioni Samia akitoboa kwenye sanduku la kura, kwenye uchaguzi ulio huru na haki kwa sababu zifatazo.

- Samia hana strongholds hata moja ambayo ina wapiga kura wengi, asikudanganye mtu, hata Marekani Kuna strongholds za Republican na Democrats, mgombea yeyote wa Republican anakuwa ashajihakikishia ushindi wa, Texas, Indiana, South Carolina, na Ohio. na Mgombea yeyote wa Democrats anakuwa ashajihakikishia ushindi kwenye majimbo ya California, Illinois, Deleware, Newyork, DC, n.k

Samia hana strong holds popote hapa Tanzania, Kanda ya ziwa hawezi toboa, Kasikazini hawezi toboa, Dar hatoboi, mikoa ya Iringa na Mbeya hatoboi, mikoa ya kusini haielewekagi.

- Maisha magumu Sana aisee, nipo kwenye ground, maisha magumu hatari,watu ata hawajui kuwa Covid-19 na Vita ya urusi imechangia vitu kupanda Bei, wenyewe wanachojua ni kuwa Samia ndo amepandisha vitu, na Samia ata hakemei, anapiga kimya na mwishowe anakuja sema vitu vitazidi kupanda bei. Mafuta ya kula Lita 7000, sabuni mche ni 3500, ngano Ni 2000,n.k

- Ajira hakuna, mmesikia wenyewe juzi kuhusu magereza, afya anaajiri watu elfu mbili, Elimu ambayo ilikuwa na ajira nyingi anaajiri walimu elfu, ajira hamna kabisa, mbaya zaidi wananchi wamekaririshwa kuwa ufisadi umerudi chini ya Samia,

Ili Samia ashinda uchaguzi 2025 hana budi kuteka, kutesa, nyanganya fomu za wapinzani, wawekee mapingamizi wapinzani, kuingiza kura vituoni n.k hapo atashinda.

Huo ndo ukweli whatever you like or not.
Iko wazi kabisa , sema mama hana shaka akianguka anarudi zake Kisiwandui , kazi ni kwa hao Mamluki wa Tanganyika
 
CCM wanalijua Hilo ndio maana Kuna mtu alisemaga ,'watatumia dola kubaki kwenye dola' mwingine akasema watashinda hata kwa bao la mkono.

CCM wanajua hawana ideas za kuendesha nchi that is why they are beating about the bush.
 
Bila Katiba mpya tume ni lazima itamtangaza. N. B. Ni lazima imtangaze tume yetu ni huru kwenye makaratasi tu kiuharisia ni chombo kinachomilikiwa na Rais
Ndo maana nimesema uchaguzi huru na haki hatoboi
 
CCM wanalijua Hilo ndio maana Kuna mtu alisemaga ,'watatumia dola kubaki kwenye dola' mwingine akasema watashinda hata kwa bao la mkono.

CCM wanajua hawana ideas za kuendesha nchi that is why they are beating about the bush.
Kabisa mkuu, ukiangalia mikutano ya wabunge wa CCM utawaonea huruma[emoji1]
 
Huu Uzi ningependa usomwe kwa umakini, na tuweke siasa za mihemuko pembeni.

Ni dhahiri CCM watamsimamisha SSH Kama Mgombea wao wa uraisi,lakini ukweli lazima usemwe sioni Samia akitoboa kwenye sanduku la kura, kwenye uchaguzi ulio huru na haki kwa sababu zifatazo.

- Samia hana strongholds hata moja ambayo ina wapiga kura wengi, asikudanganye mtu, hata Marekani Kuna strongholds za Republican na Democrats, mgombea yeyote wa Republican anakuwa ashajihakikishia ushindi wa, Texas, Indiana, South Carolina, na Ohio. na Mgombea yeyote wa Democrats anakuwa ashajihakikishia ushindi kwenye majimbo ya California, Illinois, Deleware, Newyork, DC, n.k

Samia hana strong holds popote hapa Tanzania, Kanda ya ziwa hawezi toboa, Kasikazini hawezi toboa, Dar hatoboi, mikoa ya Iringa na Mbeya hatoboi, mikoa ya kusini haielewekagi.

- Maisha magumu Sana aisee, nipo kwenye ground, maisha magumu hatari,watu ata hawajui kuwa Covid-19 na Vita ya urusi imechangia vitu kupanda Bei, wenyewe wanachojua ni kuwa Samia ndo amepandisha vitu, na Samia ata hakemei, anapiga kimya na mwishowe anakuja sema vitu vitazidi kupanda bei. Mafuta ya kula Lita 7000, sabuni mche ni 3500, ngano Ni 2000,n.k

- Ajira hakuna, mmesikia wenyewe juzi kuhusu magereza, afya anaajiri watu elfu mbili, Elimu ambayo ilikuwa na ajira nyingi anaajiri walimu elfu, ajira hamna kabisa, mbaya zaidi wananchi wamekaririshwa kuwa ufisadi umerudi chini ya Samia,

Ili Samia ashinda uchaguzi 2025 hana budi kuteka, kutesa, nyanganya fomu za wapinzani, wawekee mapingamizi wapinzani, kuingiza kura vituoni n.k hapo atashinda.

Huo ndo ukweli whatever you like or not.
Kwani uchaguzi uliopita mzee yule alishinda?
 
Angalia iyo tikiti Sasa ajira12 elfu Ni nusu ya ajira 46elfu,,Samia ashaferi vibaya
Kwani Samia amekaa madarakani miaka mingapi?? Kwa taarifa yako atake asitake tutamlazimisha atawale milele.
 
Don't dream mchana.

CCM bado kuondoka madarakani.

Jina lao ni lazima lipite.

Tena ameshajiongeza kaweka wa goli la mkono,

Wabunge upinzani watakuwa wengi, ila huko juu ni SIRI KUU
Umezaliwa mjini, ukasoma soma mjini, unaganga njaa mjini utasema unayajuwa maisha wew.., tembea uone kijana raia walivyobadilika, si mjini wala kijijini raia wameshanawa uso.
 
Huu Uzi ningependa usomwe kwa umakini, na tuweke siasa za mihemuko pembeni.

Ni dhahiri CCM watamsimamisha SSH Kama Mgombea wao wa uraisi,lakini ukweli lazima usemwe sioni Samia akitoboa kwenye sanduku la kura, kwenye uchaguzi ulio huru na haki kwa sababu zifatazo.

- Samia hana strongholds hata moja ambayo ina wapiga kura wengi, asikudanganye mtu, hata Marekani Kuna strongholds za Republican na Democrats, mgombea yeyote wa Republican anakuwa ashajihakikishia ushindi wa, Texas, Indiana, South Carolina, na Ohio. na Mgombea yeyote wa Democrats anakuwa ashajihakikishia ushindi kwenye majimbo ya California, Illinois, Deleware, Newyork, DC, n.k

Samia hana strong holds popote hapa Tanzania, Kanda ya ziwa hawezi toboa, Kasikazini hawezi toboa, Dar hatoboi, mikoa ya Iringa na Mbeya hatoboi, mikoa ya kusini haielewekagi.

- Maisha magumu Sana aisee, nipo kwenye ground, maisha magumu hatari,watu ata hawajui kuwa Covid-19 na Vita ya urusi imechangia vitu kupanda Bei, wenyewe wanachojua ni kuwa Samia ndo amepandisha vitu, na Samia ata hakemei, anapiga kimya na mwishowe anakuja sema vitu vitazidi kupanda bei. Mafuta ya kula Lita 7000, sabuni mche ni 3500, ngano Ni 2000,n.k

- Ajira hakuna, mmesikia wenyewe juzi kuhusu magereza, afya anaajiri watu elfu mbili, Elimu ambayo ilikuwa na ajira nyingi anaajiri walimu elfu, ajira hamna kabisa, mbaya zaidi wananchi wamekaririshwa kuwa ufisadi umerudi chini ya Samia,

Ili Samia ashinda uchaguzi 2025 hana budi kuteka, kutesa, nyanganya fomu za wapinzani, wawekee mapingamizi wapinzani, kuingiza kura vituoni n.k hapo atashinda.

Huo ndo ukweli whatever you like or not.
Anashinda vizuri sana....wabunge ndio wa kugawana...
 
Huu Uzi ningependa usomwe kwa umakini, na tuweke siasa za mihemuko pembeni.

Ni dhahiri CCM watamsimamisha SSH Kama Mgombea wao wa uraisi,lakini ukweli lazima usemwe sioni Samia akitoboa kwenye sanduku la kura, kwenye uchaguzi ulio huru na haki kwa sababu zifatazo.

- Samia hana strongholds hata moja ambayo ina wapiga kura wengi, asikudanganye mtu, hata Marekani Kuna strongholds za Republican na Democrats, mgombea yeyote wa Republican anakuwa ashajihakikishia ushindi wa, Texas, Indiana, South Carolina, na Ohio. na Mgombea yeyote wa Democrats anakuwa ashajihakikishia ushindi kwenye majimbo ya California, Illinois, Deleware, Newyork, DC, n.k

Samia hana strong holds popote hapa Tanzania, Kanda ya ziwa hawezi toboa, Kasikazini hawezi toboa, Dar hatoboi, mikoa ya Iringa na Mbeya hatoboi, mikoa ya kusini haielewekagi.

- Maisha magumu Sana aisee, nipo kwenye ground, maisha magumu hatari,watu ata hawajui kuwa Covid-19 na Vita ya urusi imechangia vitu kupanda Bei, wenyewe wanachojua ni kuwa Samia ndo amepandisha vitu, na Samia ata hakemei, anapiga kimya na mwishowe anakuja sema vitu vitazidi kupanda bei. Mafuta ya kula Lita 7000, sabuni mche ni 3500, ngano Ni 2000,n.k

- Ajira hakuna, mmesikia wenyewe juzi kuhusu magereza, afya anaajiri watu elfu mbili, Elimu ambayo ilikuwa na ajira nyingi anaajiri walimu elfu, ajira hamna kabisa, mbaya zaidi wananchi wamekaririshwa kuwa ufisadi umerudi chini ya Samia,

Ili Samia ashinda uchaguzi 2025 hana budi kuteka, kutesa, nyanganya fomu za wapinzani, wawekee mapingamizi wapinzani, kuingiza kura vituoni n.k hapo atashinda.

Huo ndo ukweli whatever you like or not.
Samia akiendelea kutafuta pesa na kuzitumia kwa wananchi kama anavyofanya sasa hiyo 2025 atapeta kama anamsukuma mlevi.

Kuna siasa halisi za huko kwa wapiga kura na zile za humu jukwaani. Hizo ni siasa za aina mbilii tofauti.
 
Samia akiendelea kutafuta pesa na kuzitumia kwa wananchi kama anavyofanya sasa hiyo 2025 atapeta kama anamsukuma mlevi.

Kuna siasa halisi za huko kwa wapiga kura na zile za humu jukwaani. Hizo ni siasa za aina mbilii tofauti.
Kwa tume huru hachomoki hata kwa Kuloga.
 
Upo sahihi sana mkuu. Ila CCM itashinda nakuhakikishia na SSH atarudi tena ikulu. Sababu kuu tatu ni hizi;

1. Watanzania wengi bado wana mwamko mdogo kuhusu uchaguzi. Hawajui thamani ya kura yao. Hivyo wengi wanaotaka mabadiliko ya kweli huwa hawajitokezi kupiga kura. CCM hutumia mwanya huo kuhamasisha wanachama wake hai takribani milioni 8 nchi nzima kujitokeza kumpigia kura mgombea wao hata kama ni bogus.

2. Wakati wa uchaguzi ukifika wapinzani huwaleti mgombea wa maana zaidi ya kuleta watu kama TAL au ZZK ambao hawakubaliki wala hakuna anayewajua huko kijijini ambapo ndio kuna wapiga kura wengi mtaji wa CCM. Hao niliowataja muda mwingi wanatumia kufanya harakati ambazo ni watu wenye elimu na uelewa kama mimi naweza kung'amua propaganda na mambo ya msingi kwa maslahi ya taifa. Kijijini kwetu Butiama hakuna anayewaelewa hata kidogo.

3. CCM wakati wa uchaguzi wanakuwa wamoja, focused, determined na well organized kuliko kipindi chochote hutumia mtaji wa watu, fedha na hata nguvu kuhakikisha wanachukua dola. Watanzania wengi ni waoga husubiria haki iwafuate hawana uwezo wa kupigania haki kwa maandamano wala chochote.

Kiufupi watanzania tumeridhika tunajua malalamiko tu na kufuatilia umbea, vibonzo na mpira wa Simba na Yanga nchi imeachiwa CCM tena kundi dogo tu
Acha uongo. Watanzania wako vizuri sana.

Unadhani Jpm kukodi vikosi vya kubeba mabox ya kura alikuwa mjinga?

Alijua kwa uhuru na usawa hachomoki.
 
Back
Top Bottom