Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Pamoja mkuu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja mkuu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Subiri uteuzi,kwenye upinzani.Kwi kwi, Eti Samia amshinde Lissu, kwenye nini, speech, hoja, uelewa mpana wa Mambo, ushawishi,[emoji1]
Toa namba yako,upewe uteuzi kwenye upinzani.Tangu kipindi cha mrema ccm hawapiti kwenye sanduku la kura. Wananyang'anya tu
Toa namba ya simu,upewe uteuzi kwenye upinzani.Haya weka namba.Naona nimekushika kende[emoji1]
Toa namba,upate uteuzi ,kwenye upinzani.Kwa mfano anapataje kura? Wanawake mwenyewe hawataki kuona sura ya huyo mama.
Mimi niko kwenye uteuzi ila huyo maza mmmmToa namba,upate uteuzi ,kwenye upinzani.
Upate uteuzi wa kumbania mkubwa,kuliko hapo ulipo.Mimi niko kwenye uteuzi ila huyo maza mmmm
Mwenzako ni Amiri Jeshi,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,wewe wataja udiwani.Ukiwa wa haki, hashindi hata udiwani
Dunia hairudi nyuma,wataka bei za zamani,huko zamani miaka ya 80,bei zilikuwa ndogo.Kila miaka inavyokwenda mbele,na vitu vinapanda.Unafahamu bei ya diesel, petrol, mafuta ya kula, bei ya kulipia line ya umeme mjini, kutumia pesa kwa mpesa, mabati, cement, nk?
Sasa mbona huandiki uzi huu kule Facebook ili uhimize watu kumwaga hiyo damu na wewe ukiwa mstari wa mbele kuongoza huo umwagaji damu?BTW atapita as long as tume ya taifa iko intact na katiba hakuna. Cha muhimu mkae mkijua changes always comes with pains..
,Hakuna mabadiliko bila kumwaga damu endeleeni na itikadi za kuomba huruma ya Mungu tu muone mnavyokufa maskini
Ni kama mnaongea lugha moja na mleta UZI kwamba "Uchaguzi ukiwa HURU na HAKI" naona na wewe umesema the same thingDon't dream mchana.
CCM bado kuondoka madarakani.
Jina lao ni lazima lipite.
Tena ameshajiongeza kaweka wa goli la mkono,
Wabunge upinzani watakuwa wengi, ila huko juu ni SIRI KUU
We ndo umeelewa,,Samia kwa uchaguzi huru hatoboi ngoo