2025 uchaguzi ukiwa huru na haki, Rais Samia hawezi kushinda uchaguzi

2025 uchaguzi ukiwa huru na haki, Rais Samia hawezi kushinda uchaguzi

Hao walimu

Hao walimu 12000 alioajiri Samia aliajiri lini?Zinazokumbukwa ni 6500 ambazo watu mbalimbali wengi waliweka watu wao.Yaani zinatangazwa,zinakua zishajaa.
Bora umempa za uso
 
Hakuna Rais niliyeshuhudia anapigiwa prom kama huyo najiuliza kazi zake zimeshidwa mnadi kiukwel iko wazi maza atakosa kula za wengi kwa kujihusisha na magenge ya watoto wa mjini kina kikwete na gang yake pamoja na makamba
Ndo ukweli yaani anapewa promo lakini bado raia hawamuelewi[emoji1]
 
Analijua vizuri hilo. Anajaribu sana kutumia Mkangala, Zitto, Masheikh njaa, Mutungi na Mahera ili atawale kwa miaka 9. Kazi kwetu wapenda hali kubadilisha hii hali.
We ndo mkweli, maza ilo analijua kuwa kwenye sanduku la kura hatoboi
 
Hakuna umeme hapa na kazi yangu ni saluni .Unataka nifanye kazi gani??
Dunia imeendelea wewe,usisubiri umeme wa Tanesco.Kuna Umeme mbadala,kuna ume wa jua.Kuna vifaa kunyoleabvinatumia battery,kuna vifaa vya umeme vya kuchaji.Acha uvivu.
 
Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM Mkoa wa Dar - Es - Salaam Cde. Eng Ally Ummiy 😳( Mtoto wa Ummy Mwalimu).


Tanzania ccm ni wale wale, wengine wanaambiwa wafanye kazi au watafute ajira.
 
Back
Top Bottom