peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Rais Samia hauziki.
Walikopo ccm wenyewe wanamuonea huruma.
Walikopo ccm wenyewe wanamuonea huruma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umempa ukweli mtupu.Kwa hiyo wewe ktk hali ya kawaida utaacha kumpigia kura kiongozi Samia halafu umpigie kura mwanaharakati wa SPACE? NO
Mara kumi tumpigie kura Samia nchi itabaki salama kuliko kuwapigia wapinzani wasio na mwelekeo
Na hiv kafukuza machinga n now anafukuza watu mbugan.. haahhaahs.. .umene hovyo.. jua kal... Petrl 2500.. etc etc etcHuu Uzi ningependa usomwe kwa umakini, na tuweke siasa za mihemuko pembeni.
Ni dhahiri CCM watamsimamisha SSH Kama Mgombea wao wa uraisi,lakini ukweli lazima usemwe sioni Samia akitoboa kwenye sanduku la kura, kwenye uchaguzi ulio huru na haki kwa sababu zifatazo.
- Samia hana strongholds hata moja ambayo ina wapiga kura wengi, asikudanganye mtu,ata marekani Kuna strongholds za Republican na Democrats, mgombea yeyote wa Republican anakuwa ashajihakikishia ushindi wa, Texas, Indiana, South Carolina, na Ohio. na Mgombea yeyote wa Democrats anakuwa ashajihakikishia ushindi kwenye majimbo ya California, Illinois, Deleware, Newyork, DC, n.k
Samia hana strong holds popote hapa Tanzania, Kanda ya ziwa hawezi toboa, Kasikazini hawezi toboa, Dar hatoboi, mikoa ya Iringa na Mbeya hatoboi,mikoa ya kusini haielewekagi.
- Maisha magumu Sana aisee, nipo kwenye ground, maisha magumu hatari,watu ata hawajui kuwa Covid-19 na Vita ya urusi imechangia vitu kupanda Bei, wenyewe wanachojua ni kuwa Samia ndo amepandisha vitu, na Samia ata hakemei, anapiga kimya na mwishowe anakuja sema vitu vitazidi kupanda bei. Mafuta ya kula Lita 7000, sabuni mche ni 3500, ngano Ni 2000,n.k
- Ajira hakuna, mmesikia wenyewe juzi kuhusu magereza,afya anaajiri watu elfu mbili, Elimu ambayo ilikuwa na ajira nyingi anaajiri walimu elfu, ajira hamna kabisa, mbaya zaidi wananchi wamekaririshwa kuwa ufisadi umerudi chini ya Samia,
Ili Samia ashinda uchaguzi 2025 hana budi kuteka, kutesa, nyanganya fomu za wapinzani, wawekee mapingamizi wapinzani, kuingiza kura vituoni n.k hapo atashinda.
Huo ndo ukweli whatever you like or not.
Amiri Jeshi Mkuu,Rais Wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania,Mheshimiwa Mama,Samia Suluhu Hassani.Rais Samia hauziki. Walikopo ccm wenyewe wanamuonea huruma.
Fanyakazi,acha kulia lia.Na hiv kafukuza machinga n now anafukuza watu mbugan.. haahhaahs.. .umene hovyo.. jua kal... Petrl 2500.. etc etc etc
Atatobolea wapi? Tangu apewe urais wa bure, kwanza hapiti kwenye barabara za vumbi au za vijijini.Nimekuelewa mkuu, Sasa Samia izo mikoa atatoboa,?
Hao walimu 12000 alioajiri Samia aliajiri lini?Zinazokumbukwa ni 6500 ambazo watu mbalimbali wengi waliweka watu wao.Unaropoka tuu kama unajamba huna hata Takwimu,Samia kaajiri zaidi ya ajira rasmi 12,000 na kapandisha madaraja zaidi ya 190,000.
Ongea kingine wewe kenge mwenye chuki.
Acha kulia lia.Fanyakazi.Atatobolea wapi? Tangu apewe urais wa bure, kwanza hapiti kwenye barabara za vumbi au za vijijini.
Mikoa yote ya kusini mwa Tanzania amemwachia Rais wa Msumbiji.
Mkoa wa Tabora, singida, shinyanga, katavi, Simiyu , Tanga,Kagera, amemwachia nani? Hajawahi kufika ni mwaka sasa.
Mkoa wa Mara alifika kwa gari kutokea mwanza siku ya kurudi Ali Rudi kwa helkopita hawezi tena kupanda gari.
Ccm inakubalika ila Mgombe urais Hakubaliki.
Wapi uongozi uone kama watashindwa kazi,Ukimuona mtu analalamika,kokote kule,ujuwe ni mvivu,hataki kazi.
Acha kulia lia.Fanyakazi.Uvivu hautakusaidia.Hao walimu
Hao walimu 12000 alioajiri Samia aliajiri lini?Zinazokumbukwa ni 6500 ambazo watu mbalimbali wengi waliweka watu wao.Yaani zinatangazwa,zinakua zishajaa.
Wewe huna familia na unakula huko ccm bure.Acha kulia lia.Fanyakazi.Uvivu ndio unakufanya ulie lie.
Mvivu siku zote,ni kulia lia.Fanyakazi,upate pesa.Wapi uongozi uone kama watashindwa kazi,
Bila kazi utakuwa walalamika.Wewe huna familia na unakula huko ccm bure.
Acha uvivu, Fanyakazi.Huu Uzi ningependa usomwe kwa umakini, na tuweke siasa za mihemuko pembeni.
Ni dhahiri CCM watamsimamisha SSH Kama Mgombea wao wa uraisi,lakini ukweli lazima usemwe sioni Samia akitoboa kwenye sanduku la kura, kwenye uchaguzi ulio huru na haki kwa sababu zifatazo...
Usilolijua waliopo Jf usidhani wote wana lia njaa kama kule Badooo.Mvivu siku zote,ni kulia lia.Fanyakazi,upate pesa.
Kaka kunywa jamkaya ya baridi na kuja kulipaHuu Uzi ningependa usomwe kwa umakini, na tuweke siasa za mihemuko pembeni.
Ni dhahiri CCM watamsimamisha SSH Kama Mgombea wao wa uraisi,lakini ukweli lazima usemwe sioni Samia akitoboa kwenye sanduku la kura, kwenye uchaguzi ulio huru na haki kwa sababu zifatazo...
Kulia lia,hakusaidii.Fanyakazi,kwa juhudi na maarifa,utakuja nishukuru hapa.Usilolijua waliopo Jf usidhani wote wana lia njaa kama kule Badooo.
Tunayaelezea tunayoyaona kwenye jamii iliyopewa mke bila kumchagua mwenyewe,