2025 uchaguzi ukiwa huru na haki, Rais Samia hawezi kushinda uchaguzi

Don't dream mchana.

CCM bado kuondoka madarakani.

Jina lao ni lazima lipite.

Tena ameshajiongeza kaweka wa goli la mkono,

Wabunge upinzani watakuwa wengi, ila huko juu ni SIRI KUU
Sema hivi Siri ni chafuzi na SII box la ushindani wa haki🤔
 
Tayari umeshauondolea uhuru na haki becquse majibu yakija usivyotaka utasema haukua hurup

Tuna shida kubwa sana ya kudhani mawazo yetu ndio mawazo ya wote
 
Upo sahhihi ila point ya strong hold haina mashiko hapa maana hata watangulizi wake hawakuwa na hilo.

Ila point ni kwamba hauziki....inahitajika nguvu ya ziada plus huo wizi.
 
Unaropoka tuu kama unajamba huna hata Takwimu,Samia kaajiri zaidi ya ajira rasmi 12,000 na kapandisha madaraja zaidi ya 190,000.

Ongea kingine wewe kenge mwenye chuki.
Angalia iyo tikiti Sasa ajira12 elfu Ni nusu ya ajira 46elfu,,Samia ashaferi vibaya
 
Upo sahhihi ila point ya strong hold haina mashiko hapa maana hata watangulizi wake hawakuwa na hilo.

Ila point ni kwamba hauziki....inahitajika nguvu ya ziada plus huo wizi.
We vipi mbona Magufuli alikuwa anakubakika Sana Kanda ya ziwa, kuliko Kasikazini,,,hiyo ndo ilikuwa stronghold yake
 
Tayari umeshauondolea uhuru na haki becquse majibu yakija usivyotaka utasema haukua hurup

Tuna shida kubwa sana ya kudhani mawazo yetu ndio mawazo ya wote
Ndo ukweli japo unauma, ndo maana anaunda kamati na tume shikizi
 
Ndo maana US Kuna polls, na sisi tuna predict kuwa 2055,Samia kwa kura halali hatoboi
 
Utashinda wewe.
 
We vipi mbona Magufuli alikuwa anakubakika Sana Kanda ya ziwa, kuliko Kasikazini,,,hiyo ndo ilikuwa stronghold yake
Nani ka kwambia kanda ya ziwa alikubalika...au hujui kanda ya ziwa ni wapi.

Mkoa kama mwanza na kagera hawakumkubali hata kidogo..hata chato alikataliwa ww unaonge nn hapa...

wakatumi aumafia wa koforce kukubalika. ungenambia Dodoma ningekuelewa.
 
Eti Nini Hivi Kama sio kuiba uchaguzi, TAL alimshika pabaya mwendazake, ata CCM wanajua Hilo, Samia hamuwezi Lissu, kwenye speech, hoja, ushawishi, kujenga hoja yenye mashiko, Samia mwenyewe ukweli anaujua, ndo maana anaandaa Tume shikizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…