750k(take home) ni mshahara unaweza kumfanya mtu aishi kidogo bila wasi hapa Bongo?

750k(take home) ni mshahara unaweza kumfanya mtu aishi kidogo bila wasi hapa Bongo?

JamiiForums ni mtandao wa kijamii ina jamii zote wapo wenye zaidi ya 1 billion hapa. Angalia kama kule tweeter Elon musk anavyo comment, kabla hajawa CEO wa tweeter mpaka amekuwa na bado yupo vilevile. Hela isimfanye mtu kujitenga na jamii wakati jamii ndio imemfanya kupata hela hio.
Ahsante kwa muongozo mkuu
 
Mkuu humu kuna mafogo hatari.

Uzuri wa humu muosha magari anamtukana boss wake, muuza vitunguu sokoni anavimba kuwa anafanya kazi UN Geneva.

Uamuzi ni wako uwe nani humu.

#fakeituntillyoumakeit#
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
My current job mkuu maana mwaka juzi nmekataa ajira yenyenkukaribia huo mshahara.
Mkuu hata yeye anafanya kazi halafu anafanya ninachofanya ndichonkilichotufanya tufahamiane na kuwa marafiki wakubwa mkuu.
Sawa sawa kaka.
 
Unasave vizuri tu, pamoja na vyakula kupanda bei
Familia ya watu 4
Mume, mke, watoto 2

Mchele 90k
Unga 60k
Maharage 20k
Nyama 20k
Umeme 30k
Gesi 50k
Mengineyo 200k
Kodi 150k
Jumla 620

Baki 130k
Hapo Kama anawatu wamemuwezesha kufika alipofika na wanauhitaji hawezi acha kuwategemeza pia.
 
Kwa nyanda za juu upo sahihi mkuu ila kwa Singida hapana aisee maisha ya Singida ni shida kuna Tatizo kubwa la maji na chakula na ukame ni mkubwa sana kule ,nimeishi Singida miaka mingi sana ,mambo ya kula ugali wa mtama,mihogo na viaz vitamu kila siku yaliboa sana,kitu ambacho ahueni Singida ni mifugo kama mbuzi na kuku bei yake n ndogo sana lakini kwa maisha ya kawaida Singida ni gharama
Hii mechanism nashindwa kuelewa inakuwaje kuna ukame na mifugo ni mingi singida
 
Yani brother ungejua kama wengine tunatamani hata nusu ya unachopata ili tu survive, being jobless sucks, inflicts and hurts, na hasa ukiwa na majukumu, yaani mbona hata 300k nyingi sana
 
Ungeniuliza mahala pengine sio humu jeifu ningekujibu 750k unaishi vizuri tu na pisi kali ungekata
Ila kwa kua umeuliza jukwaani hapa nitajibu
750k ni matumizi ya mafuta tu ya gari yangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Je una familia, usafiri, unapanga? All factors included.. yote kwa yote inatosha akili kumkichwa. Nikiangaliaga security guard analipwa 130k kwa mwez na ana familia ndo hua naona budget ni ww mwenyewe! Kuna watu viwandan kwa siku anapata elf 7, kuna wale saidia mama ntilie kwa siku elf 3 mpaka 5 na maisha yanasonga!
Hii comments imejibu kila kitu
 
Wakuu nilikuwa nauliza tu kama 750k ni takehome inayoweza kumfanya mtu aishi kidogo standard life.

Maana isikute nadharau kumbe naweza kufanya kitu.
Jibu ni Ndio na unaweza Kuishi vizuri Hata kwa Take home ya laki6 tu

Twende kwenye mahesabu ya msingi sasa, tumia rule of 50/30/20
50 ni yale matumizi ya LAZIMA kama kodi,chakula,maji,umeme,Ada (375,000/=)

30 Hii ielekeze kwenye mahitaji yako sasa,labda kununua furniture ama hitaji lolote ambalo kwako ni la muhimu kwako kwa kipindi husika(225,000/=)

20 hii ni saving na kulipa madeni ya hapa na pale(150,000/=)

NOTE;750,000/= Is not a life Sentence kwamba hautapata hela zingine zaidi Nope, Hela zingine kama za semina,vikao vya nje ya kituo na overtime unaweza zitumbukiza kwenye matumizi ya lazima na ukaongeza Saving yako
 
Back
Top Bottom