Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeishi huko huwez fananisha na sehemu zingne sawa mifugo ni bei rahisi lakini upatikanaji wa vyakula vingne ni shida kuna ukame mwingi sana kule sio utani,maji ni shida kuna baadhi ya sehemu watu wanakunywa maji machafu hakufai kuleGharama kivipi tena uku umesema mifugo bei rahisi na ugali wa mtama upo na viazi shida ipo wapi kuku bei rahisi ni mwendo wa kubadili mboga tu
Kweli siku hizi mwanza maisha yanakuwa expensive sana, kuanzia nyumba za kupanga bei kubwa kama za Dar tuu ingawa wenye nyumba wanajenga nyumba nzuri sana, misosi bei kubwa.Hata mwanza pamekaa kinafiki sana
Hee, Mbona wengine tuna cash zaidi ya hiyo na tuko humuInafikirisha!
Nilidhani wenye kipato cha kuanzia 1.5m cash ni watu wasio na mida kabisa na mitaa hii!
Vizuri, tujenge utamadani wa kuweka akiba na tuwafundishe Watoto wetu tabia ya kuweka Akiba Wakiwa wangali Wadogo.Somo taken
Kuna watu wanaitwa HESLB unawajua?Basic ya mwalimu wa degree anayeanza ni kama 760,000 TSH.Take home baada ya makato so chini ya 600,000.
Inategemea na life style yako ,ukubwa wa familia na majukumu uliyonayo.Wakuu nilikuwa nauliza tu kama 750k ni takehome inayoweza kumfanya mtu aishi kidogo standard life.
Maana isikute nadharau kumbe naweza kufanya kitu.
TzsHii 1.5m ni $ au Tzs?
Vyakula vipo bei sana...samaki bei yake ipo juu ndio usiseme mtu kama haupo mwanza unaweza dhani kila siku tunakula samaki hukuKweli siku hizi mwanza maisha yanakuwa expensive sana, kuanzia nyumba za kupanga bei kubwa kama za Dar tuu ingawa wenye nyumba wanajenga nyumba nzuri sana, misosi bei kubwa.
Maji ya kunywa yanayouzwa 600 Dar kwa mwanza ni 1000. Cha urahisi kule ni usafiri tuu
Hiyo ni 13,000 kwa siku.. Bajeti yake lazima iwe ya uhakikaAiseee maisha kweli yanataka tafakari, yaani mimi 400,000 wiki imekwisha.
Acha chai bwasheheMi nalipwa elfu 75 kwa mwezi na kila ijumaa nachinja kuku nyumbani, namsomesha na mdgo wangu ada 3M kwa mwaka.
Zamani nilikua siamini uchawi Ila navyoishi ni Kama ndo nimekua huyo mchawi mwenyewe
15% ×760000=?Kuna watu wanaitwa HESLB unawajua?
Walimu wengi wamesoma kwa mkopo.So wengi hukatwa.
114k15% ×760000=?