SPACE CADET
JF-Expert Member
- Dec 15, 2022
- 2,280
- 3,555
Wapi wangapi tzHivi unajua kuna walimu wanalipwa 2ml
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi wangapi tzHivi unajua kuna walimu wanalipwa 2ml
DuuuhNdugu maisha ni magumu sana lakini bado yanawezekana kabisa, binafsi nalipwa 400,000 , nina familia na ninaishi Dar lakini hakuna hata siku moja niliwahi kulala njaa.
Siyo siku wiki tu ata ukitaka kwa siku itaisha na ukitaka kwa mwezi itaisha tu wewe mwenyewe jinsi unavyo panga bajeti zako ukitaka lakini nne imalizike mwezi itawezekanaAiseee maisha kweli yanataka tafakari, yaani mimi 400,000 wiki imekwisha.
Kabisa ni budget yako tuSiyo siku wiki tu ata ukitaka kwa siku itaisha na ukitaka kwa mwezi itaisha tu wewe mwenyewe jinsi unavyo panga bajeti zako ukitaka lakini nne imalizike mwezi itawezekana
Dili hazigaiwi kwa staili hiyo [emoji3]Tupeane dili mjini hapa matajiri wa JF
Uko sahihi mtu asiforce kula kuku wakati uwezo wa dagaa.Ishi kulingana na kipato chako mkuu.
Ukipata elfu 50 kwa mwezi ishi kielfu 50 ,ukipata 750k pm ishi hivyo hivyo....Hela huwa haitoshagi hata ulipwe 10m per month maana matumizi nayo yataongezeka ,cha msingi ni kuishi kulingana na kipato unachoingiza.
Gharama kivipi tena uku umesema mifugo bei rahisi na ugali wa mtama upo na viazi shida ipo wapi kuku bei rahisi ni mwendo wa kubadili mboga tuKwa nyanda za juu upo sahihi mkuu ila kwa Singida hapana aisee maisha ya Singida ni shida kuna Tatizo kubwa la maji na chakula na ukame ni mkubwa sana kule ,nimeishi Singida miaka mingi sana ,mambo ya kula ugali wa mtama,mihogo na viaz vitamu kila siku yaliboa sana,kitu ambacho ahueni Singida ni mifugo kama mbuzi na kuku bei yake n ndogo sana lakini kwa maisha ya kawaida Singida ni gharama
Ni mwendo wa kula kuku na mbuzi ukichoka una kula mboga za majaniKama kuku na mbuzi bei rahisi, then maisha ya Singida ni mepeso
Hapo mademu wa nje utawaona kama shetaniUnasave vizuri tu, pamoja na vyakula kupanda bei
Familia ya watu 4
Mume, mke, watoto 2
Mchele 90k
Unga 60k
Maharage 20k
Nyama 20k
Umeme 30k
Gesi 50k
Mengineyo 200k
Kodi 150k
Jumla 620
Baki 130k
Jesuu mi mwenyewe Kama Mimi hainitoshi unaishi mbeya nn daaaMbona hiyo ni kubwa sana. Mimi nalipwa 70,000/- kwa mwezi na nina familia, maisha yanaenda.
HILI SWALI LA KIZUSHI MWANANGUWakuu nilikuwa nauliza tu kama 750k ni takehome inayoweza kumfanya mtu aishi kidogo standard life.
Maana isikute nadharau kumbe naweza kufanya kitu.
Mimi nalipwa milioni tano lkn. Mishahara haikutaniAiseee maisha kweli yanataka tafakari, yaani mimi 400,000 wiki imekwisha.
Mambo,,, vp ile bussiness unaendeleaje nayo?Ni bora kidogo kuliko kukosa.
Anza hapo mengine yatajisumbukia mbele.
Kila la kheri.
Kweli,kwa morogoro,mwanza,mbeya,iringa,katavi,kahama na hata dar hiyo pesa inakusongesha vizuri kabisa,ila ukipita kwenye kimji kama cha arusha usishuke kwenye basi,usile hata mshikaki,utakuwa umeilaani hela yako,itaisha ndani ya siku nne,arusha,moshi,bagamoyo,kinondoni() hivi vi mji vina majini helaHpo inategemea na mkoa na mazingira ya kazi
😂😂😂😂 alooooBora ukose hela ya Kula lakini usikose hela ya kuweka Akiba 🤗
Manake Kuna watu Wana kula hadi Akiba alafu wakikwama kwa kupata tatizo hata la shilingi 30,000 lazima wapige simu kukopa. Hii ni mbaya Sana kwa kweli
😂😂😂😂Ungeniuliza mahala pengine sio humu jeifu ningekujibu 750k unaishi vizuri tu na pisi kali ungekata
Ila kwa kua umeuliza jukwaani hapa nitajibu
750k ni matumizi ya mafuta tu ya gari yangu