lyalya
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 602
- 555
FactsMkuu humu kuna mafogo hatari.
Uzuri wa humu muosha magari anamtukana boss wake, muuza vitunguu sokoni anavimba kuwa anafanya kazi UN Geneva.
Uamuzi ni wako uwe nani humu.
#fakeituntillyoumakeit#
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FactsMkuu humu kuna mafogo hatari.
Uzuri wa humu muosha magari anamtukana boss wake, muuza vitunguu sokoni anavimba kuwa anafanya kazi UN Geneva.
Uamuzi ni wako uwe nani humu.
#fakeituntillyoumakeit#
Mkuu humu Kuna watu Wa kila lika Kuna hadi Viongozi wakubwa tu Kuna mmoja namfahamu ni Bishop.Inafikirisha!
Nilidhani wenye kipato cha kuanzia 1.5m cash ni watu wasio na mida kabisa na mitaa hii!
Bora ukose hela ya Kula lakini usikose hela ya kuweka Akiba 🤗
Na bado hamkosi Maison!kumbe watu mnalipwa laki7 na nusu afu hamsemi [emoji23][emoji23]
daaah dunia hii[emoji2969] watu hata aftatu hatuna
ZoeaKwahiyo net spend yako kwa mwezi ni zaidi ya 1.5m?
Tatizo watu wana hisia kuwa watu wote humu ni masikini au JF ni ya watu wenye maisha magumuJamiiForums ni mtandao wa kijamii ina jamii zote wapo wenye zaidi ya 1 billion hapa. Angalia kama kule tweeter Elon musk anavyo comment, kabla hajawa CEO wa tweeter mpaka amekuwa na bado yupo vilevile. Hela isimfanye mtu kujitenga na jamii wakati jamii ndio imemfanya kupata hela hio.
we jamaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Unahoji nguvu ya take home 750k wakati watu wanaishi kwa take home ya 250k hao mtoto achukue njiti ya kiberiti aiwashe halafu aipulize kuizima anakula mabanzi
Hapo hata iphone unanunua,unajenga,na Dem mkali unapata,Wakuu nilikuwa nauliza tu kama 750k ni takehome inayoweza kumfanya mtu aishi kidogo standard life.
Maana isikute nadharau kumbe naweza kufanya kitu.
futa hii comment itakuletea shidaInafikirisha!
Nilidhani wenye kipato cha kuanzia 1.5m cash ni watu wasio na mida kabisa na mitaa hii!
Bado ni kwa kujibana tu kwa yale maisha ya chini, na inakuwa shida zaidi ukiwa na familia.......mishahara kwenye hizi nchi maskini ni mzaha tu.Wakuu nilikuwa nauliza tu kama 750k ni takehome inayoweza kumfanya mtu aishi kidogo standard life.
Maana isikute nadharau kumbe naweza kufanya kitu.
Watu wanafuga watuFamilia ya watu wangapi hiyo wanayokula mchele kilo 2 na unga kilo 1.5 kwa siku?
Nyie watu mnaishi Mars au?
Arusha aisee..Hapo hata iphone unanunua,unajenga,na Dem mkali unapata,
Ila itqbidi ujibane sana,na kama unaishi Dodoma,Arusha,huko ni maumivu,
Kwa pesa hiyo,harsfu unaishi Songwe,au Kahama,maisha ni mteremko,
Chumba Cha laki hapa Dar,Kahama ni elfu 40 tu.
Kuna billionaire mmoja hapa ni mfanyabiashara kkoo anaingiza 13m daily mkuu we acha tu na hizi I'd fakeInafikirisha!
Nilidhani wenye kipato cha kuanzia 1.5m cash ni watu wasio na mida kabisa na mitaa hii!
Badoo 😑🤣🤣Mitaa yao ni wapi?