Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Wewe umeamua kua nani mkuu??Mkuu humu kuna mafogo hatari.
Uzuri wa humu muosha magari anamtukana boss wake, muuza vitunguu sokoni anavimba kuwa anafanya kazi UN Geneva.
Uamuzi ni wako uwe nani humu.
#fakeituntillyoumakeit#
Binafsi nabadilika kulingana na mada husika, kwa hapa hata mimi take home ni $5000 per month.