Ahsante kwa muongozo mkuuJamiiForums ni mtandao wa kijamii ina jamii zote wapo wenye zaidi ya 1 billion hapa. Angalia kama kule tweeter Elon musk anavyo comment, kabla hajawa CEO wa tweeter mpaka amekuwa na bado yupo vilevile. Hela isimfanye mtu kujitenga na jamii wakati jamii ndio imemfanya kupata hela hio.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu humu kuna mafogo hatari.
Uzuri wa humu muosha magari anamtukana boss wake, muuza vitunguu sokoni anavimba kuwa anafanya kazi UN Geneva.
Uamuzi ni wako uwe nani humu.
#fakeituntillyoumakeit#
Sawa sawa kaka.My current job mkuu maana mwaka juzi nmekataa ajira yenyenkukaribia huo mshahara.
Mkuu hata yeye anafanya kazi halafu anafanya ninachofanya ndichonkilichotufanya tufahamiane na kuwa marafiki wakubwa mkuu.
Sio kila mwezi utaenda kununua ila tu sio jambo la ziada 😅Ndo kila mwezi upo dukani mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani usione kiatu kimeletwa mbele yako tayari ushaingia mfukoni wew hujiulizi why matajiri unakuta ana raba moja na jinsi flani mwanzo mwishoo
Eehe kweli mkuu kuvaa muhimu hasa ukitaka kuficha umaskini[emoji1787][emoji1787]Sio kila mwezi utaenda kununua ila tu sio jambo la ziada [emoji28]
🤣🤣🤣Eehe kweli mkuu kuvaa muhimu hasa ukitaka kuficha umaskini[emoji1787][emoji1787]
Hapo Kama anawatu wamemuwezesha kufika alipofika na wanauhitaji hawezi acha kuwategemeza pia.Unasave vizuri tu, pamoja na vyakula kupanda bei
Familia ya watu 4
Mume, mke, watoto 2
Mchele 90k
Unga 60k
Maharage 20k
Nyama 20k
Umeme 30k
Gesi 50k
Mengineyo 200k
Kodi 150k
Jumla 620
Baki 130k
Tulianza kazi na.mshahara wa 350k gross na tumeishi wahi tena kwa kukimbia bila kuangalia nyumahapo take home si 400k tu hivi?..aisee
Hii mechanism nashindwa kuelewa inakuwaje kuna ukame na mifugo ni mingi singidaKwa nyanda za juu upo sahihi mkuu ila kwa Singida hapana aisee maisha ya Singida ni shida kuna Tatizo kubwa la maji na chakula na ukame ni mkubwa sana kule ,nimeishi Singida miaka mingi sana ,mambo ya kula ugali wa mtama,mihogo na viaz vitamu kila siku yaliboa sana,kitu ambacho ahueni Singida ni mifugo kama mbuzi na kuku bei yake n ndogo sana lakini kwa maisha ya kawaida Singida ni gharama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ungeniuliza mahala pengine sio humu jeifu ningekujibu 750k unaishi vizuri tu na pisi kali ungekata
Ila kwa kua umeuliza jukwaani hapa nitajibu
750k ni matumizi ya mafuta tu ya gari yangu
Wapo watu nawafahanu na wapo humu kimya[emoji23][emoji23]Pole mkuu
Huku kuna mpaka mawaziri [emoji23][emoji23][emoji23]
Hata ww una mikwara yule wa take home 150k kwa wahindi atasemaje[emoji23][emoji23]Kuna watu wanamikwara sisi wa take home laki 4.5 tusemeje
Hii comments imejibu kila kituJe una familia, usafiri, unapanga? All factors included.. yote kwa yote inatosha akili kumkichwa. Nikiangaliaga security guard analipwa 130k kwa mwez na ana familia ndo hua naona budget ni ww mwenyewe! Kuna watu viwandan kwa siku anapata elf 7, kuna wale saidia mama ntilie kwa siku elf 3 mpaka 5 na maisha yanasonga!
Jibu ni Ndio na unaweza Kuishi vizuri Hata kwa Take home ya laki6 tuWakuu nilikuwa nauliza tu kama 750k ni takehome inayoweza kumfanya mtu aishi kidogo standard life.
Maana isikute nadharau kumbe naweza kufanya kitu.