Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Inafikirisha!
Nilidhani wenye kipato cha kuanzia 1.5m cash ni watu wasio na mida kabisa na mitaa hii!
Pole mkuu
Huku kuna mpaka mawaziri [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inafikirisha!
Nilidhani wenye kipato cha kuanzia 1.5m cash ni watu wasio na mida kabisa na mitaa hii!
[emoji16][emoji16][emoji1][emoji1][emoji1][emoji16][emoji16][emoji3577][emoji3577][emoji3577] kabisaaa yaani Kuna madon humu balaaaMkuu humu kuna mafogo hatari.
Uzuri wa humu muosha magari anamtukana boss wake, muuza vitunguu sokoni anavimba kuwa anafanya kazi UN Geneva.
[emoji16][emoji16][emoji1][emoji1][emoji1][emoji16][emoji16][emoji3577][emoji3577][emoji3577] kabisaaa yaani Kuna madon humu balaaa
Kuna mmoja namjua daaahhh...mwamba shikamooo zako nyingi mnooo...gari mbaya Noah zotee Kali[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
DuuhHiyo ni basic salary ya mwalimu wa digrii[emoji2]
Hapo hajakatwa kodi, bima, nssf nk
Inatosha sana ukiishi kwa akili na kiba unaweka. Elewa kuwa hakuna pesa nyingi duniani. Kuna mtu anachukua 1.5m kwa mwezi lakini haitoshi, ukubwa wa mshahara ni namna utakavyoamua kupanga bajeti zako.Wakuu nilikuwa nauliza tu kama 750k ni takehome inayoweza kumfanya mtu aishi kidogo standard life.
Maana isikute nadharau kumbe naweza kufanya kitu.
Hii 1.5m ni $ au Tzs?Inafikirisha!
Nilidhani wenye kipato cha kuanzia 1.5m cash ni watu wasio na mida kabisa na mitaa hii!
Wewe ndio utakaeishi na hio hela sio mwingine. Unaweza kuamua itoshe au isitoshe.Wakuu nilikuwa nauliza tu kama 750k ni takehome inayoweza kumfanya mtu aishi kidogo standard life.
Maana isikute nadharau kumbe naweza kufanya kitu.
Nina ndugu yangu anakuambia alikuwa anatumia elfu tano kwa siku na inatosha yeye na wanae wawili.Inatosha sana ukiishi kwa akili na kiba unaweka. Elewa kuwa hakuna pesa nyingi duniani. Kuna mtu anachukua 1.5m kwa mwezi lakini haitoshi, ukubwa wa mshahara ni namna utakavyoamua kupanga bajeti zako.
Hivi unajua kuna walimu wanalipwa 2mlWewe ni mwalimu
Hapo inategemea na mkoa na mazingira ya kaziInatosha sana.
Cha kwanza panga nyumba karibyu na kazini.. utembee kwa miguu kwenda job
Hii ni level ya maisha, kama unaspend 1.5M kwa mwezi maana yake income yako haipungui 4M kwa mwezi.Mkuu nikiandika ukweli hapa nitaonekana najisifu lakini ukweli hio 1.5 nusu mwezi labda.
Na wengi ndo mishahara yao ila wakija humu jukwaani sasa wengi wanamiliki rangeNdugu maisha ni magumu sana lakini bado yanawezekana kabisa, binafsi nalipwa 400,000 , nina familia na ninaishi dar lakini hakuna hata siku moja niliwahi kulala njaa.
Hili neno umetype wewe...?😅mamaeeee