binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Nenda kazini wewe... Bongo watu hawaishi kwa mshahara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya kweli haya Extrovert? Nadhani wewe una make zaidi ya hiyo 1.5m kwa mwezi. Siajabu hiyo ni income ya wiki tu kwako.Hii ni level ya maisha, kama unaspend 1.5M kwa mwezi maana yake income yako haipungui 4M kwa mwezi.
Hongera sana wewe ni miongoni mwa watu wenye kazi mjini. Sisi wenye vibarua acha tukomae maana me natumia 10% ya unachotumia wewe kwa mwezi.
Kwa nyanda za juu upo sahihi mkuu ila kwa Singida hapana aisee maisha ya Singida ni shida kuna Tatizo kubwa la maji na chakula na ukame ni mkubwa sana kule, nimeishi Singida miaka mingi sana.Unatosha kbsaa tena mipango unazuka kbsaa
Mm nililipwa laki sita take home niliishi vzr San kama upo Mbeya au mikoa ya Singda na nyanda za juu kusini
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ni approx. 25k kwa siku chief, tafakari.Wakuu nilikuwa nauliza tu kama 750k ni takehome inayoweza kumfanya mtu aishi kidogo standard life.
Maana isikute nadharau kumbe naweza kufanya kitu.
Aiseee maisha kweli yanataka tafakari, yaani mimi 400,000 wiki imekwisha.
Kwa nyanda za juu upo sahihi mkuu ila kwa Singida hapana aisee maisha ya Singida ni shida kuna Tatizo kubwa la maji na chakula na ukame ni mkubwa sana kule ,nimeishi Singida miaka mingi sana ,mambo ya kula ugali wa mtama,mihogo na viaz vitamu kila siku yaliboa sana,kitu ambacho ahueni Singida ni mifugo kama mbuzi na kuku bei yake n ndogo sana lakini kwa maisha ya kawaida Singida ni gharama
Ningependa sana iwe ya week moja ila sijafika huko still napambana tu sahizi.Ya kweli haya Extrovert? Nadhani wewe una make zaidi ya hiyo 1.5m kwa mwezi. Siajabu hiyo ni income ya wiki tu kwako.
Nchi gani?Hivi unajua kuna walimu wanalipwa 2ml
Sio kweli mkuuInafikirisha!
Nilidhani wenye kipato cha kuanzia 1.5m cash ni watu wasio na mida kabisa na mitaa hii!
Kabisa mkuu. Kuna mdada humu japo sio mtu wa kucomment na kuchangia sana ila ukisoma comment zake unaweza kuhisi ni jobless anayetafuta kazi kumbe ni meneja mradi wa NGO moja ya kimataifa inayofanya kazi hapa TZ, na kala shavu kufanya kazi kwenye NGO nyingine kubwa zaidi kuanzia february nje ya TZ lakini hapa hapa Afrika.Mkuu humu kuna mafogo hatari.
Uzuri wa humu muosha magari anamtukana boss wake, muuza vitunguu sokoni anavimba kuwa anafanya kazi UN Geneva.
Uamuzi ni wako uwe nani humu...
#fakeituntillyoumakeit#
Kweli kuishi kuridhika, mimi mwisho wa mwezi najikuta nimetumia mara sita ya mshahara ndio maana ni muhimu kufungua biashara.Aiseee maisha kweli yanataka tafakari, yaani mimi 400,000 wiki imekwisha.
Aaah!! Usiachie hiyo.Wakuu nilikuwa nauliza tu kama 750k ni takehome inayoweza kumfanya mtu aishi kidogo standard life.
Maana isikute nadharau kumbe naweza kufanya kitu.
Hiyo ingekuwa mimi hadi kusave ningesave. Pesa nyingi mno.750k Hiyo ni kubwa mkuu pangilia tu vizuri mambo 😂😂😂 Hiyo pesa yako ni mshahara wangu wa miezi minne kasoro yani !! Halafu nna furaha kichizi !! kikubwa uhai
Kwamba wewe hauwezi kuishi Kwa 15,000/= Kwa siku yaani (450,000) Kwa mwezi ukabaki na 300,000/=. Mpaka ushauriwe !!??Wakuu nilikuwa nauliza tu kama 750k ni takehome inayoweza kumfanya mtu aishi kidogo standard life.
Maana isikute nadharau kumbe naweza kufanya kitu.
Take hom 640hapo take home si 400k tu hivi?..aisee
Heri yako.... Tajiri.Aiseee maisha kweli yanataka tafakari, yaani mimi 400,000 wiki imekwisha.
Hiyo ni basic salary ya mwalimu wa digrii[emoji2]
Hapo hajakatwa kodi, bima, nssf nk
Twiraaa🤣Mitaa yao ni wapi?
Hamna makato ya hivyo .... Msidanganye watu.hapo take home si 400k tu hivi?..aisee