mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 704
- 2,435
Huwa mnapata faida gani kuongea uongo?
unaogopa nini kutoroka , kwani boss wako serikalini ni naniUnajisifu kutoroka aiseee 😝
SAS unataka wife wako asifanye kazi bila pressure kazi lazm iwe na pressure nduo kulipa kwake SAS aikienda huko serekali had akapelekeshwe na mijitu wachawiWife kapata kazi serikalini huko,mshahara ni TGS D ambayo ni sawa na laki 7.6, kwa sasa anafanya kazi private sector ambako mshahara ni 1.6m gross.
Kampuni anayofanyia ina pressure za hapa na pale ila kuna a lot of incentives kama bima ya afya ya Jubilee,holidays allowance na nyingine nyingi.
So right now yuko dilemma, aache hapo private au aende government?
Siogopi kutoroka maana nitakuwa najitoroka mwenyewe 😄unaogopa nini kutoroka , kwani boss wako serikalini ni nani
Wife kapata kazi serikalini huko,mshahara ni TGS D ambayo ni sawa na laki 7.6, kwa sasa anafanya kazi private sector ambako mshahara ni 1.6m gross.
Kampuni anayofanyia ina pressure za hapa na pale ila kuna a lot of incentives kama bima ya afya ya Jubilee,holidays allowance na nyingine nyingi.
So right now yuko dilemma, aache hapo private au aende government?
Good pointutakuja ujute utakapovuka miaka 35 , baada ya hapo serikali haikuhitaji ndipo utaelewa kwa nini serikalini ni kuzuri
Haya mambo mkuu yakupasa mjadiliane kivyenu na shemeji huko mahome kwenuWife kapata kazi serikalini huko,mshahara ni TGS D ambayo ni sawa na laki 7.6, kwa sasa anafanya kazi private sector ambako mshahara ni 1.6m gross.
Kampuni anayofanyia ina pressure za hapa na pale ila kuna a lot of incentives kama bima ya afya ya Jubilee,holidays allowance na nyingine nyingi.
So right now yuko dilemma, aache hapo private au aende government?
Ilipotokea corona, watu wa private wengi nnaowajua waliachishwa kazi kwa sababu eti kampuni imeshindwa kujiendesha. Ila serikalini ndo kwanza mnalipwa per diem msafiri mkafanye kazi kwenye mikoa ya watu. Uzuri ameomba ushauri ana maamuzi ya kuupokea au kuukataaa.Watu wa serikali na serikali yenu 😂
Halafu unajisifu unatoroka kila siku sasa kama unatoroka kila siku nani atafundisha watoto? Ndio maana watoto wanazidi kufeli kila kukicha,ujinga huo huwezi kufanya private na ndio maana nyie mnakwamisha maendeleo ya serikali mmejaa uvivu kupindukia.ukiwa na fursa ya kupata kazi serikalini do it aisee, salary ni nini eti , mimi mwalimu wa government kwa mwaka nina likizo april siku 14, june siku 30, september siku 14, december siku 30, plus weekend zote, natoroka karibu kila siku , ninafundisha mikondo miwili , kila mkondo una vipindi vitatu per week so ni dk 40 * 3 kwa kila mkondo , halafu nipo TGTS E ,hizo pesa za private ache nipate mtaani
Jinga sana ilo jamaaUnajisifu kutoroka aiseee 😝
Halafu bado tunatafuta mchawi wa haya masifuri wanayopata watoto huko mashuleni.ukiwa na fursa ya kupata kazi serikalini do it aisee, salary ni nini eti , mimi mwalimu wa government kwa mwaka nina likizo april siku 14, june siku 30, september siku 14, december siku 30, plus weekend zote, natoroka karibu kila siku , ninafundisha mikondo miwili , kila mkondo una vipindi vitatu per week so ni dk 40 * 3 kwa kila mkondo , halafu nipo TGTS E ,hizo pesa za private ache nipate mtaani
Kuwa private au kuwa government kote ni kuajiriwa. So hayupo salama. AJiajiriWife kapata kazi serikalini huko,mshahara ni TGS D ambayo ni sawa na laki 7.6, kwa sasa anafanya kazi private sector ambako mshahara ni 1.6m gross.
Kampuni anayofanyia ina pressure za hapa na pale ila kuna a lot of incentives kama bima ya afya ya Jubilee,holidays allowance na nyingine nyingi.
So right now yuko dilemma, aache hapo private au aende government?
Yaani hadi ije kufika hiyo hela ya private sijui ni miaka mingapi 🤔 nyongeza hadi mtumie mabango aahNa walisotaaa hapo kati bila nyongeza, sijui anazungumzia nyongeza ipi
Ahsante nimefurahi piaNzuri sana aisee,nmefurahi kupata salamu yako!
Ukiingi humo kwenye LSS ndio kazi ya serikali inapoanza kuwa tamuHiyo hapo maana zakeView attachment 2510799
TZS 1.6m Private atakua labda Waitress Serena? Private unatakiwa ugonge 5m hukoWife kapata kazi serikalini huko,mshahara ni TGS D ambayo ni sawa na laki 7.6, kwa sasa anafanya kazi private sector ambako mshahara ni 1.6m gross.
Kampuni anayofanyia ina pressure za hapa na pale ila kuna a lot of incentives kama bima ya afya ya Jubilee,holidays allowance na nyingine nyingi.
So right now yuko dilemma, aache hapo private au aende government?