Abby Chams: Sijawahi kula miguu ya kuku wala firigisi, wala sijawahi kusikia sehemu inaitwa Mburahati

Umenena vyema sana
 
Kuna watu hapa bongo hawaamini kuwa Kuna wabongo wanaishi kama wapo ulaya,hapa hapa bongo.

Kuna mtoto mmoja wa kishua nilienda kufanya nae manunuzi ya nguo mikocheni,tukaingia maduka ya Woolworth na ndiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza. Milioni mbili alitoka na nguo hata kwenye begi la mgongoni hazijai. Bei za bidhaa za Woolworth ni balaa na mtu hawazi.

Watu kama hawa wakikuambia hawajawahi kufua nguo tangu wazaliwe unaona kama wanakuletea dharau.

Wakisema ugali ni chakula cha kimasikini unaona wanakufuru Mungu. Pata Hela alafu uone unakula ugali mara ngapi kwa mwezi,labda tu uwe unakula kama mazoea na utamaduni.

Wakati Mimi najichanga ninunue Toyota second hand,Kuna mtu kwao Kuna magari kama kwa lugumi na hakuna Toyota kwenye yard.

Alafu wandishi walivyo wanoko wanamuuliza maswali ya uchokonozi ili awajibu wapate content maana wanajua dogo atasimangwa na watz na contents zao zitaenda viral.

Juzi kwenye janga la kariakoo huyo Binti kajitoa sana kwa kuchangia hadi kwenye list ya waliotajwa na waziri mkuu yumo,hao macelebs wao wanaojifanya Wana Hela sana ndiyo kwanza wanatapeli kwa kuchangisha michango watz wenye njaa.
 
Mkuu inaezekana kabisa.
Mtu unaweza kuhisi maisha unayoishi wewe ndiyo wanayoishi wengine lakini kumbe hapana.
Nafahamu watoto kadhaa hawajawahi kupanda daladala, mara nyingi wanakuja kupanda daladala chuo na hapo kwa sababu wanataka ule ufree hawataki kuongozana na madereva wa home, wanataka kwenda wanakotaka
Pasipow kufuatiliwa.
 
Broo mbona hata mimi pia siijui buza ,mbagara saku.....kinyerezi.......kibangu.......mbezi kwa magufuri ...........so hiyo ni kawaida tu ........usishangae........sema angeulizwa kama aijui dildo au m.b.o.o.o.o.o.o harafu mngesubilia majibu
 
Anajua miguu na firigisi ndio mboga zao za bei rahisi huko ughaibuni alikokuwepo!
 
Tunaangalia kipaji hayo mengine ni udaku usio na maana kiufupi ana kipaji itoshe kusema hivyo mengine ni kuchimbana ovyo tu
Huu ni uwongo.

Aliyekuambia wabongo mnaangalia kipaji nani? Tangu lini? Wabongo mnamsapoti mtu/msanii mwenye scandals na hekaheka.

Mngekuwa mnaangalia kipaji mngemsuport Belle 9,ila mmempa kisogo kisa Hana hekaheka na scandals za kiwaki wenyewe mnaita kiki.

Huyu dogo si msanii bali ni mwanamuziki. Anaujua muziki kuliko hata zuchu. Anajua kupiga karibia Kila kifaa cha muziki Tena kwa ufasaha na kwa kujiamini,ila Kuna watu humu humu kwenye huu Uzi wanasema hawamjui. Why? Hana heka heka,ndiyo mmeanza kumchokonoa ili angalau aende na hizo kiki mjini. Ila yuko real hafeki kama hao mastar waliotoka kwangu pakavu.

Ukiangalia ile nyimbo ya wasanii wa kike "super woman" utaona jinsi alivyo poa kupiga ile nini sijui mnaita.

Nyimbo ya maomboleza ya Magufuli ya wasafi WCB kaimba kidogo ila kaua,coz ana kipaji. Nyimbo yake na Mario pia Kali sana pia. Tusapoti kipaji.
 
Nilikutana na rafiki yangu mmoja wa Oysterbay akiwa New York. Aliondoka Tanzania mara baada ya kumaliza sekondari kwenda kusoma chuo Marekani akabakia kufanya kazi huko.

Siku moja nikamuuliza kama kashawahi kufika Buguruni, alikuwa hajawahi kufika.

Alikuwa hana sababu ya kwenda Buguruni.

Alisema kwao Oysterbay, alisoma Oysterbay na Tambaza, hakuwa na ndugu wala rafiki Buguruni, sasa angeenda Buguruni kufanya?

Akarudi Tanzania likizo, ikabidi aende kutembea tu Buguruni.
 
Iweje mumjadili mtu ambaye hajala miguu ya kuku tu wakati mimi ambaye sijawahi kula mkia wa kuku, makende ya kuku wala masikio ya kuku hamjawahi kunijadili.
 
Vishua hao.
 
Pumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…