Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,010
- 4,083
Mwongo mwepesi, hiyo pesa yako si itumie kuanzisha?Mkuu wanasiasa wa Africa usiwape dhamana maana wanajifikiria wao kuliko wananchi Kuna Mbunge wa CHADEMA mwaka 2015 nilimuingiza Bungeni na nilimuambia Mimi sihitaji pesa yako lakini ukimaliza kuapa tutengeneze mfumo wa kuanzisha miradi midogo midogo ili kutoa Ajira kwa vijana kwa wingi lakini Jamaa alikataa wakati I spent a lot of my money kuhakikisha anapata ubunge na kurinda kula Usiku na mchana
So Jamaa alihamia dsm akajenga ghorofa na akasema haitaji siasa Tena it all about fucking mind in most Africans Politicians.
Mrejesho wa Profesa Magomeni uko wapi?Wakitokea hapo wanakwenda CCM
Huo mchezo anaucheza Freeman ili aonekane anafanya jambo kubwa kwenye MaridhianoMrejesho wa Profesa Magomeni uko wapi?
Mungu ibariki CHADEMAKumekucha mamia ya wana CUF wanapotimkia CDM haijulikani mwenye chama yuko wapi.
View attachment 2545995
Alifanya mkutano mmoja Magomeni. Hatukupata mrejesho wa nini kilijiri.
Ikasemekana waziwazi bila kumtaja Lissu au CDM Prof hana wa kumsikiliza.
Apewe pole Profesa Lipumba anapoelekea kumfanana mzee mapesa.
-------
Source: Mwananchi
Wanachama 384 wajiengua CUF, wajiunga Chadema
Bwashee, Kwa hiyo unampinga mwenyekiti wako ambaye ni mhusika kwenye hayo maridhiano?!Huo mchezo anaucheza Freeman ili aonekane anafanya jambo kubwa kwenye Maridhiano
Mkutano wake ulibuma !Mrejesho wa Profesa Magomeni uko wapi?
Huna akili Jo na kichwani mwako mmejawa upumbavu mwingi sanaHuo mchezo anaucheza Freeman ili aonekane anafanya jambo kubwa kwenye Maridhiano
Mbowe anataka aendelee na uenyekitiBwashee, Kwa hiyo unampinga mwenyekiti wako ambaye ni mhusika kwenye hayo maridhiano?!
Huo mchezo anaucheza Freeman ili aonekane anafanya jambo kubwa kwenye Maridhiano
Siasa ni Sayansi atawapateni Matutusa kama akina Mshana jr!Huna akili Jo na kichwani mwako mmejawa upumbavu mwingi sana
Karibuni Lumumba, mmefanya jambo jema sana!!Kumekucha mamia ya wana CUF wanapotimkia CDM haijulikani mwenye chama yuko wapi.
View attachment 2545995
Alifanya mkutano mmoja Magomeni. Hatukupata mrejesho wa nini kilijiri.
Ikasemekana waziwazi bila kumtaja Lissu au CDM Prof hana wa kumsikiliza.
Apewe pole Profesa Lipumba anapoelekea kumfanana mzee mapesa.
-------
Source: Mwananchi
Wanachama 384 wajiengua CUF, wajiunga Chadema
Karibuni Lumumba, mmefanya jambo jema sana!!
Waje CCM tuuuuKumekucha mamia ya wana CUF wanapotimkia CDM haijulikani mwenye chama yuko wapi.
View attachment 2545995
Alifanya mkutano mmoja Magomeni. Hatukupata mrejesho wa nini kilijiri.
Ikasemekana waziwazi bila kumtaja Lissu au CDM Prof hana wa kumsikiliza.
Apewe pole Profesa Lipumba anapoelekea kumfanana mzee mapesa.
-------
Source: Mwananchi
Wanachama 384 wajiengua CUF, wajiunga Chadema
Waje CCM tuuuu
Huko kwingine watapata tabuu saana. Waje CCM ndo kumenogaaWanakujaje CCM?
"Ikasemekana waziwazi bila kumtaja Lissu au CDM Prof hana wa kumsikiliza."
Wanaelekea kunakotajwa CDM. Zingatia D siyo C.
Huko kwingine watapata tabuu saana. Waje CCM ndo kumenogaa