Pre GE2025 Abdulrahman Kinana: Chaguzi za 2019 na 2020 zilileta hofu, Mwaka 2024 na 2025 zitakuwa za Huru na Haki

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Aliyesababisha hofu yupo chini futi sita
Mifumo iliyopelekea uhayawani ule bado ipo hivyo hivyo. Kwanini kusiwe na tume huru badala ya hadithi za mdomoni? Ni kipi kinawafanya mlazimishe kubaki kwenye mifumo ile ile inayolinda ubatili? Kama mnagoma tume huru ya kisheria, mnapata uhalali gani wa kutaka muaminike kwa porojo za mdomoni?
 
This is rubbish! Unaogopa nini kuweka tume huru kama unataka haki?
Hawa msiwaamini , these are thugs! Ujinga mtupu, hilo analoliambia ni tawi la CCM
 
Hata Magufuli kwenye uchaguzi wa 2019/2020 aliahidi hivyo hivyo tena mbele ya mabalozi kwenye sherehe zao za mwaka mpya ndani ya Ikulu,kikichofuata ni uchafuzi baadala ya uchaguzi chini ya uratibu wa tisi!
 
kuzira na kususa hakutasaidia wala kubadili chochote....

ukiona hakuna haja kushiriki uchaguzu kaa kando na uwe mtulivu, acha watakaoshiriki wafanye hivyo kwa haki, uhuru na namani...

we watizame tu kwa tv...
Tunasema hivi, Tanzania hakuna uchaguzi bali Kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura. Wanaofaidika na mfumo wa wizi hawataki tume huru ya uchaguzi, ili waendelee kuwa na maamuzi ya kiwango Cha ushindi wautakao wao, na kidogo wa kuwapa wapinzani Ili kupunguza kelele.

Halafu wanaohadaa umma kuwa kutakuwa na uchaguzi, wanasema ukichagua mpinzani serekali haitapeleka maendeleo!
 
Kisheria au utashi wa watawala, je baada ya hapo miaka ijayo akija mtawala mpumbavu kama aliyepita itakuwaje?
 
HATA MAGUFULI ALIUELEZA ULIMWENGU KUWA ATAFANYA UCHAGUZI HURU NA WA HAKI MATOKEO YAKE NI KUWAKAMATA WAPINZANI KUWAJAZA MAGEREZANI KWA KESI ZA MAUAJI KUWATEUA KINA HALIMA MDEE NA WENZAKE KUWAPA UBUNGE hivyo CCM HAIAMINIKI
 
Hivi ni kusudi lake au ni takwa la kikatiba.
 
Kwa hiyo uchaguzi kuwa huru na haki ni matakwa binafsi ya Rais au ni matakwa ya kidemokrasia na kisheria? Mpaka lini tutaendelea kuongozwa na hulka binafsi za kiongozi
 
Naskia harufu ya udnii,udni udini...
Hawa viongozi wakizeeka watubu basi wapumzike nyumbani wabaki kufanya ibada zaidi...
Sasa mtu mzeeee bado hutosheki unang'ang'ana na dhulma,WIZI na uongo hujiandalii hata pepo njema daah????
 
huna dira, huna wagombea mahiri wala makini, huna ishawishi, huna mipango, huna mikakati wala uelekeo, atakuchagua nan? uibiwe isichokua nacho kivip sasa...

Tz hayupo wa kuchagua mihemko na malalamiko...
 
huna dira, huna wagombea mahiri wala makini, huna ishawishi, huna mipango, huna mikakati wala uelekeo, atakuchagua nan? uibiwe isichokua nacho kivip sasa...

Tz hayupo wa kuchagua mihemko na malalamiko...
Kabla ya 2005 ccm ndio ilikuwa na uhakika wa kushinda kihalali maana kile Bado kilikuwa kizazi chake. Kwa uhayawani unaoendelea kwenye chaguzi zetu, nakushauri 🌈 unyamaze yu.

Na sio kwamba ccm haiwezi tu kushinda kihalali, Bali haitakaa iweze tena. Imeisha hiyo. Sana sana tutaishia kushuhudia chaguzi zilizopuuzwa na wapiga kura.
 
Hata JIWE alitoaga ahadi hiyo hiyo ,tulichokuja kushuhudia 2019 & 2020 ilikuwa ni AIBU na FEDHEHA kubwa..

Leteni Katiba mpya iliyo bora tume huru + usawa,..vumbi litimke!
 
Kwani uchaguzi HURUMA
Kwani uchaguzi HURU na WA haki ni lazima upinzani ushinde ??

Anyway hio ni fursa nzuri kwa upinzani kujijenga hakuna mtawala atakubali kukupa usawa kirahisi au kukufungilia magoli yote umfunge
Fursa yoyote inayopatikana ni vyema mkatumia effectively sio kusasa susa kijinga
MWISHO wa siku hata msiposhiriki watawala hawajali Nyie ndo mnaumia
Wazee wetu wangesusa susa wakoloni wasingeachia nafasi
 
Daaaa nawatazama TU viongozi wa Tanzania walivyo na uchu na madalaka

CCM embu kuweni wazalendo na taifa msifanye vitu kwa maslah binafsi
Saivi kila mtanzania anaelwa huwezi danganya hata mtoto wa miaka mitano
Teuweni mtu mwingine tofauti na Samia Ili msibolonge25
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…