Pre GE2025 Abdulrahman Kinana: Chaguzi za 2019 na 2020 zilileta hofu, Mwaka 2024 na 2025 zitakuwa za Huru na Haki

Pre GE2025 Abdulrahman Kinana: Chaguzi za 2019 na 2020 zilileta hofu, Mwaka 2024 na 2025 zitakuwa za Huru na Haki

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
View attachment 2925116

"Uchaguzi mwaka huu na mwaka ujao utakuwa wa huru na wa haki, wakati nazungumza hivi nina hakika wapo ambao wana mashaka na kauli hii, na hao wenye mashaka wanazo sababu, na sababu zao zinatokana na 2019 na 2020 huo ndio ukweli"

"Sheria tuliyokuwa nayo ya uchaguzi ambayo ilitupeleka kwenye uchaguzi wa 2015 iliwezesha wanachama kutoka upinzani 117 kuingia bungeni, sheria hiyo hiyo iliwezesha karibu asilimia 40 ya madiwani kuingia kwenye nafasi za halmashauri, tulipokuja 2020... msema kweli lazima tuseme kweli"

"Hofu ya watanzania hofu ya wenzangu vyama vya siasa, asasi za kiraia, baadhi ya viongozi wa dini, msingi wa hofu yao ni yale yaliyotokea 2019/2020. Niwahakikishie Rais Samia Suluhu Hassan ameamua uchaguzi mwaka huu na mwakani mtaachwa wapiga uamuzi wao utoe tafsiri ya uchaguzi" - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa.

Chanzo: EATV
Hana jipya huyu mwizi wa tembo.
 
View attachment 2925116

"Uchaguzi mwaka huu na mwaka ujao utakuwa wa huru na wa haki, wakati nazungumza hivi nina hakika wapo ambao wana mashaka na kauli hii, na hao wenye mashaka wanazo sababu, na sababu zao zinatokana na 2019 na 2020 huo ndio ukweli"

"Sheria tuliyokuwa nayo ya uchaguzi ambayo ilitupeleka kwenye uchaguzi wa 2015 iliwezesha wanachama kutoka upinzani 117 kuingia bungeni, sheria hiyo hiyo iliwezesha karibu asilimia 40 ya madiwani kuingia kwenye nafasi za halmashauri, tulipokuja 2020... msema kweli lazima tuseme kweli"

"Hofu ya watanzania hofu ya wenzangu vyama vya siasa, asasi za kiraia, baadhi ya viongozi wa dini, msingi wa hofu yao ni yale yaliyotokea 2019/2020. Niwahakikishie Rais Samia Suluhu Hassan ameamua uchaguzi mwaka huu na mwakani mtaachwa wapiga uamuzi wao utoe tafsiri ya uchaguzi" - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa.

Chanzo: EATV


Kwa sheria au matakwa binafsi. Kwanini wanakataa kuweka sheria nzuri🤣
 
Kwa Watu Wenye Akili na ukongwe ndani ya CCM kama mzee Mgaya wamemuelewa Vizuri sana Komredi Kinana

Ni kwamba Uchaguzi Mkuu ujao Wapinzani hawatakubali kuchezewa mazingaombwe, ndicho alichomaanisha Kanali mstaafu Kinana

Mungu wa Mbinguni awabariki Sana
 
Wale mliosimamia Madudu ya Uchaguzi wa 2019 na 2020 mjitafakari ikiwemo wale ambao walipata nafasi Kwa mbeleko.

2025 hakuna Cha mbeleko Kila mtu atavuna alichopanda akiwemo Rais Samia mwenyewe hata kama atashinda Kwa 51% ila uchaguzi utakuwa huru na Haki so Wapinzani msitafute visingizio.

697666202.jpg
 
Kwa Watu Wenye Akili na ukongwe ndani ya CCM kama mzee Mgaya wamemuelewa Vizuri sana Komredi Kinana

Ni kwamba Uchaguzi Mkuu ujao Wapinzani hawatakubali kuchezewa mazingaombwe, ndicho alichomaanisha Kanali mstaafu Kinana

Mungu wa Mbinguni awabariki Sana
Wewe na genge lenu la Mwendazake mlivuruga uchaguzi wa 2019 & 2020.

Unajisemesha ujinga
 
Wale mliosimamia Madudu ya Uchaguzi wa 2019 na 2020 mjitafakari ikiwemo wale ambao walipata nafasi Kwa mbeleko.

2025 hakuna Cha mbeleko Kila mtu atavuna alichopanda akiwemo Rais Samia mwenyewe hata kama atashinda Kwa 51% ila uchaguzi utakuwa huru na Haki so Wapinzani msitafute visingizio.View attachment 2925988
CCM ni Ile Ile hata Magufuli alisema uchaguzi utakua huru na haki , ila alichokifanya yeye na ibilisi ndo wanajua
 

Attachments

  • Screenshot_20240306-140510_1.jpg
    Screenshot_20240306-140510_1.jpg
    277.5 KB · Views: 1
Kabla ya 2005 ccm ndio ilikuwa na uhakika wa kushinda kihalali maana kile Bado kilikuwa kizazi chake. Kwa uhayawani unaoendelea kwenye chaguzi zetu, nakushauri 🌈 unyamaze yu.

Na sio kwamba ccm haiwezi tu kushinda kihalali, Bali haitakaa iweze tena. Imeisha hiyo. Sana sana tutaishia kushuhudia chaguzi zilizopuuzwa na wapiga kura.
uhakika na uhalali uliutoa wap na leo umeenda wap au kwa vile chama tawala kilikua chadema wakati huo 🐒

So ukishinda ndio halili ukishindwa umeibiwa 🤣

ndezi sana🤣
 
View attachment 2925116

"Uchaguzi mwaka huu na mwaka ujao utakuwa wa huru na wa haki, wakati nazungumza hivi nina hakika wapo ambao wana mashaka na kauli hii, na hao wenye mashaka wanazo sababu, na sababu zao zinatokana na 2019 na 2020 huo ndio ukweli"

"Sheria tuliyokuwa nayo ya uchaguzi ambayo ilitupeleka kwenye uchaguzi wa 2015 iliwezesha wanachama kutoka upinzani 117 kuingia bungeni, sheria hiyo hiyo iliwezesha karibu asilimia 40 ya madiwani kuingia kwenye nafasi za halmashauri, tulipokuja 2020... msema kweli lazima tuseme kweli"

"Hofu ya watanzania hofu ya wenzangu vyama vya siasa, asasi za kiraia, baadhi ya viongozi wa dini, msingi wa hofu yao ni yale yaliyotokea 2019/2020. Niwahakikishie Rais Samia Suluhu Hassan ameamua uchaguzi mwaka huu na mwakani mtaachwa wapiga uamuzi wao utoe tafsiri ya uchaguzi" - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa.

Chanzo: EATV
Saa100 ameshasema! Chawa wake hawataacha!! tumejiandaa vizuri kiakili na kimwili! Hatutabweteka na kauli za kishamba kama hizi! Ukatae kubadili sheria za kuhakiki huru na haki alafu ulete nye nye nye !! Tuko tayari!
Amemchagua mkwewe mwenye kifua kipana atushughulikie lakini nasi tuko porini tunabeba vyuma!!
 
uhakika na uhalali uliutoa wap na leo umeenda wap au kwa vile chama tawala kilikua chadema wakati huo 🐒

So ukishinda ndio halili ukishindwa umeibiwa 🤣

ndezi sana🤣
Ww kweli ndio 🌈, ni wapi wapinzani walisema tume ni huru kisha wameshinda sehemu fulani Fulani? Hicho kilio Cha tume huru ni Cha Jana? Au unadhani watu kukubali kushiriki kwa shingo upande ndio waliamini tume ni huru. Ni hivi, kuendelea kushiriki chaguzi chini ya tume hii ukitegemea hisani za rais ni upuuzi kama upuuzi mwingine.
 
Ww kweli ndio 🌈, ni wapi wapinzani walisema tume ni huru kisha wameshinda sehemu fulani Fulani? Hicho kilio Cha tume huru ni Cha Jana? Au unadhani watu kukubali kushiriki kwa shingo upande ndio waliamini tume ni huru. Ni hivi, kuendelea kushiriki chaguzi chini ya tume hii ukitegemea hisani za rais ni upuuzi kama upuuzi mwingine.
sasa shingo upande yako inahusu nini wengingi wasio na shungo upande?

mihemko na ghadhabu zako ziwe kwa manuafaa na faida yako mwenyewe,

wanaoshiriki uchaguzi wasisumbuliwe na mihemko na ghadhabu zako, kua mtulivu unyoroshwe vizuri kwenye debe tena ili akili ikukae sawa...

wananchi hawachagui mihemko, uhodari wa kutukana, kejeli wala ghadhabu, wanachagua chama chenye sera, mipango na wagombea makini na mahiri wa kuwaongoza kwenye maendeleo...
 
sasa shingo upande yako inahusu nini wengingi wasio na shungo upande?

mihemko na ghadhabu zako ziwe kwa manuafaa na faida yako mwenyewe,

wanaoshiriki uchaguzi wasisumbuliwe na mihemko na ghadhabu zako, kua mtulivu unyoroshwe vizuri kwenye debe tena ili akili ikukae sawa...

wananchi hawachagui mihemko, uhodari wa kutukana, kejeli wala ghadhabu, wanachagua chama chenye sera, mipango na wagombea makini na mahiri wa kuwaongoza kwenye maendeleo...
Hicho Chama chenye sera kinachochaguliwa na wananchi ndio kwenye huo uchaguzi wa kihayawani aliosema kinana Jana?
 
Hicho Chama chenye sera kinachochaguliwa na wananchi ndio kwenye huo uchaguzi wa kihayawani aliosema kinana Jana?
uhodari wa kuporomosha dhihaka hauta kusaidia wewe wala chama chako chochote, zaidi sana wenye hekima na busara kujitenga nawe na kuhamia wanapostahili heshima na watakao vumilie hiyo mihemko na ghadhabu ambazo si kitu utabaki wewe tu....
 
Back
Top Bottom