Wale mliosimamia Madudu ya Uchaguzi wa 2019 na 2020 mjitafakari ikiwemo wale ambao walipata nafasi Kwa mbeleko.
2025 hakuna Cha mbeleko Kila mtu atavuna alichopanda akiwemo Rais Samia mwenyewe hata kama atashinda Kwa 51% ila uchaguzi utakuwa huru na Haki so Wapinzani msitafute visingizio.
View attachment 2925988