Pre GE2025 Abdulrahman Kinana: Chaguzi za 2019 na 2020 zilileta hofu, Mwaka 2024 na 2025 zitakuwa za Huru na Haki

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
uhodari wa kuporomosha dhihaka hauta kusaidia wewe wala chama chako chochote, zaidi sana wenye hekima na busara kujitenga nawe na kuhamia wanapostahili heshima na watakao vumilie hiyo mihemko na ghadhabu ambazo si kitu utabaki wewe tu....
Watahamia kwa majizi?
 
Haikuwa sawa Kiongozi mkubwa wa Chama kusema vile

Ni hilo tu

Mlale Unono πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…