Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimepoteza muda wangu.
kaingiaje jukwaa hili
uhuru na mzalendo.
Upelelzi gani hataki kuuharibu hivi kuna upelelezi wa kweli kuliko ukweli atakao usema yeye muathirika? Sidhani lakini kwa vile msifuji mvua imemnyeshea tusubiri na tuone kipi kitafuata au kuunda tume? Mie simo kibanda goo
Sijapenda hajafunguka kisawa sawa kaacha ishu pending....!!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Inasikitisha' serikali hawakugharimikia matibabu,, kazi waliyoifanya ni uchunguzi...je, angepoteza maisha kwa kukosa huduma ya matibabu uchunguzi ungesaidia nini??
Ukijua una-kaugonjwa ka kuhara tafadhali usitishie watu kujamba!!!!
Pengine Kibanda hajui hili hapa: Kwamba vyombo vya dola katika nchi zote duniani hutumia sana uncertainty, suspense, obscurity, gray facts kuchelewesha taarifa; na hilo hufanywa si kwa faida ya Subjects, bali kwa faida ya upande wa Serikali. Angalizo hapo ni haya maneno: uncertainty, Suspense, obscurity, gray facts. Nina mashaka Kibanda kaweka katika mazingira hayo akidhani litamsaidia.
Anaweza akatokea mtu kutoka ofisi fulani akakuambaia subiri kidogo hili jambo linafanyiwa kazi. Lengo ni kupitisha muda yatokee mengine hilo liwe historia. Na Historia mambo yakipitwa sana na wakati, au niseme muda, wakati una desturi ya kupunguza hasira au hata relevance ya jambo.
Uncertainty, Suspense, obscurity, gray facts: Mtu amshauri Kibanda awe mwangalifu na watu
wanaomsubirisha kusema kilicho moyoni. Kwa sababu kama wapo hawana nia njema. They are pushing the problem to him. He should consider pushing the problem to them. Aseme tu anachokijua.
Thank you.Pengine Kibanda hajui hili hapa: Kwamba vyombo vya dola katika nchi zote duniani hutumia sana uncertainty, suspense, obscurity, gray facts kuchelewesha taarifa; na hilo hufanywa si kwa faida ya Subjects, bali kwa faida ya upande wa Serikali. Angalizo hapo ni haya maneno: uncertainty, Suspense, obscurity, gray facts. Nina mashaka Kibanda kaweka katika mazingira hayo akidhani litamsaidia.
Anaweza akatokea mtu kutoka ofisi fulani akakuambaia subiri kidogo hili jambo linafanyiwa kazi. Lengo ni kupitisha muda yatokee mengine hilo liwe historia. Na Historia mambo yakipitwa sana na wakati, au niseme muda, wakati una desturi ya kupunguza hasira au hata relevance ya jambo.
Uncertainty, Suspense, obscurity, gray facts: Mtu amshauri Kibanda awe mwangalifu na watu
wanaomsubirisha kusema kilicho moyoni. Kwa sababu kama wapo hawana nia njema. They are pushing the problem to him. He should consider pushing the problem to them. Aseme tu anachokijua.
Lakini bado naona anaficha jitu sijaelewa ni woga au ustaarabu
Lakini nimuombe tu aseme kila kitu wakati ni huu kwa maana akificha ni kutengeneza bomu kwa wengine ngoja tuone mpaka mwisho wa kipindi kama atafunguka kwa maana ya kufunguka kwani nafasi ni hii gooooooooo absalom kibanda