Uzima Tele
JF-Expert Member
- Jan 20, 2023
- 1,270
- 2,822
Ziko wapi hizo hoja za msimamo wao ili tuziweke kwenye mizani ya kipimo?Leo Jumatatu tar. 4. 9.2023 Saa 5:00 asubhhi Chama cha @ACTwazalendo kitatoa Uchambuzi, msimamo na Mapendekezo yake kuhusu sakata la #Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na @DPWorldUAE.
View attachment 2738378..
Zitto ni mnafiki sana. Amevizia sakata limepoapoa huku wengine wakidai DP World hawaji tena ndo anajifanya kuleta maoni ya ACT. Walikuwa wapi muda wote!?, Zitto ni mnafiki na mdini sana.
Kama hauna shida mbona mnasema mtaurekebisha kutokana na hoja zinazotolewa na wananchi?Au mnadanganya hata kwenye hilo?Mkataba hauna shida yoyote Ile, chadema wanapinga kila jema la serikali ili wapate political advantage wapate cha kusema Kwa wananchi.
Ni zaidi ya wendawazimu ni uzombi kabisa huu.Tunataka majibu ya hoja....
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa
1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)
2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?
3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?
4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!
6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Ulitaka CHADEMA wakubali mkataba wa kijinga vile?Mkataba hauna ubovu Ila nyie chadema kazi yenu ni kupinga kila kitu cha serikali!!
ACT kwa Sasa haina nguvu Sana Zanzibar.ACT Wazalendo iko Zanzibar baba Waislamu Watupu
Huyu Zitto alishaga muuzia Chama Maalim Seif 🤣🌟🐼
Dar al Salaam maana yake nini? Historia ya Ikulu ya Dar es Salaam inasemaje? ni tofauti na ile iayosema kuwa ilijengwa na wajerumani na ilikamilika 1905 kabla ya kupigwa mabomu na waingereza wakati wa vita ya kwanza ya dunia na kujengwa upya 1922 na waingereza? Au unazungumzia kijiji cha wavuvi cha Mzizima ambacho Sultan Majid bin Said alichokikuta alipokuwa anatafuta bandari mbadala ambayo ingemwezesha kuendelea na biashara yake haramu ya utumwa na kuipa jina la Dar al Salam?Ndivyo manvyojdanganya, hao wamekuja wamekuta watu wameshaanza kujenga vyuo vikuu. Soma hitoria ya jina la Dar Es Salaam kilikuwa nini.
Soma historia ya Ikulu Dar.
Huwa mnadanganyana sana.
Unajuwa neno "Alphabet" kuwa Alif Bee Tee?
mnadharau vyanzo vyenu vya elimu kwa kujazwa ujinga na kanisa, muendelee kuwa watumwa wo wa kuwapelekea fungu la kumi, kama ulikuwa huelewi.
Mbona Mbunge msukuma anadai ni mashine tu ndio zitatumika?. Uhakika haupo imebaki ahadi tu. Eti ajira zitakuwa nyingi, wakati serikali yenyewe imeshindwa.We ndo huna akili inapaswa ukapimwe mkojo. Waonee huruma graduates hawana kazi mtaani uwekezaji ndo solution ya ajira.
ACT shida yao majimbo ya Zanzibar, hawataki kusumbuliwa maana wakipata majimbo yote Pemba na baadhi unguja chama kitapata nguvu. Kwa Sasa kule Zanzibar ACT haina state figure Kama maalim Seif, nguvu sio Kama zamani.Act wazalendo ni chama kinachojielewa
Rais na mwenyekiti wa CCM amemteua makamu wa Rais wa TLS kuwa Jaji mahakama kuuTLS mule wamejaa wafuasi wa lissu watashindwa kupinga kila jema la serikali kweli?
Vibaka nyie mkasumbua sana babu zetu na biashara ya Slave ...munataka tena kutuludisha utumwani ...nyooko zenuNdivyo manvyojdanganya, hao wamekuja wamekuta watu wameshaanza kujenga vyuo vikuu. Soma hitoria ya jina la Dar Es Salaam kilikuwa nini.
Soma historia ya Ikulu Dar.
Huwa mnadanganyana sana.
Unajuwa neno "Alphabet" kuwa Alif Bee Tee?
mnadharau vyanzo vyenu vya elimu kwa kujazwa ujinga na kanisa, muendelee kuwa watumwa wo wa kuwapelekea fungu la kumi, kama ulikuwa huelewi.
Hao wa alif bee tee walilitoa kwenye aphabetUnajuwa neno "Alphabet" kuwa Alif Bee Tee?
Kwanini mkuu?ACT imejaa wajinga sn
Kwani machine hazihitaji watu kama hr, accountants, management, marketing nk?Mbona Mbunge msukuma anadai ni mashine tu ndio zitatumika?. Uhakika haupo imebaki ahadi tu. Eti ajira zitakuwa nyingi, wakati serikali yenyewe imeshindwa.
Kuna point umeona wameongea?Kwanini mkuu?
NdioKuna point umeona wameongea?
Basi sawaNdio