Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wajieleza kwa Msajili wa Vyama vya Siasa, kwanini Maalim Seif (ACT) alimuombea kura Tundu Lissu (CHADEMA)

Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wajieleza kwa Msajili wa Vyama vya Siasa, kwanini Maalim Seif (ACT) alimuombea kura Tundu Lissu (CHADEMA)

Kwenye barua ya ofisi au mitaani na kwenye mitandao?
Unaelewa maana ya barua ya kiofisi wewe?

Amejibu kama chama sio yeye binafsi.Hicho kikao cha chama kilichokaa na kutoa tamko LA kuamnini Lisu atashinda ni kipi ? Minute za kikao ziko wapi ? Kaandika sisi Act tunaamii Lisu atashinda sio kesi ambatanisha minute za hicho kikao cha kuamini kilichopitisha azimio LA kuamini Lisu atashinda na Magufuli atashinda

Hiyo ni official letter ya chama sio ya MTU binafsi mtandaoni au mtaani
Wewe dada, kuwa mwangalifu na afya yako.
 
Walichoandika sio utetezi ni kukubali kosa na kuongeza kosa lingine .Kura ndio huamua nani atashinda !! Sio imani!!! Eti tunaamini Lisu atashinda!! Sababu ya umati unaojaa mikutano yake ya kampeni!! Aisee !!!!!!

Jamani hizi ofisi za vyama havina watu makini

Yaani barua wanaandika kwa msajili ya kumnadi Lisu serious? Mgombea wao Membe waliyemchagua wenyewe kupitia vikao halali vya chama wamempeleka wapi kwa kikao kipi ? kama wamemuondoa ugombea na Ku mu replace na Lisu kikao gani cha vyama cha kikatiba kiliamua hayo?

Msajili hiyo barua ni ushahidi tosha hata clip ukiitupa jalalani haina shida hiyo barua ni official letter Ku confirm kuwa wao wana mnadi Lisu bila idhini ya kamati kuu ,mkutano mkuu wao wala taarifa ya kumuengua Membe kutoka Tume ya uchaguzi

Hiyo barua ni ushahidi tosha wa jinsi Act inavyoendeshwa kienyeji
Maelezo hayo yanatakiwa tu kufanyiwa uamuzi wamekiri na ni kama wanasema come what may!!

Uandishi huo wa barua ni uswahilini hasa
Mpiga kura hupiga kura akiamini anayempigia kura atashinda. Unaamini kuwa ccm itashinda? Kama jibu ni ndio unatofauti gani na imani anayoitumia seif? Kama jibu ni hapana basi ww sio mpiga kura.
 
In the written ACT wazalendo official letter it is the party now that is endorsing Lisu not individual!!! Read the letter again

ACT wazalendo have their ow Presidential candidate Bernard Membe but in their official letter the party is endorsing Lisu!!!!! It is no longer an individual issue it is a party issue!!
Mbwa mbwekaji hata akiona karunguyeye usiku, anageuka kuwa kero hata kwa master wake. You know what I mean....
 
Hakuna kosa lolote hapo mbona Mrema kamuombea kura KICHAA?

Chama cha ACT Wazarendo leo kimetoa majibu kufuatia barua ya msajiri wa vyama vya siasa nchini kukituhumu kuvunja sheria ya vyama vya siasa kifungu 11a,ambapo mgombea urais wa Zanzibarkupitia chama hicho mhe,Sharif Hammad alimuombea kura mgombea urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mheshiwa Tundu Atipas Lisu.
Ikumbukwe kuwa kufuatia mafanikio ya vyama vya siasa mwaka 2015,Sheria ya vyama vya siasa ilifanyiwa marekebisho ili kuzuia muunganiko wa ghafra wa vyama vya siasa na kuweka mashariti magumu ili kuzuia ukawa nyingine. Baada ya kusoma barua ya ACT nimeona kuna tundu kwenye sheria linaweza kutumiwa na vyama vya upinzani kufikia adhima yao.
 
Canabis acha kuudharau Umma
Umma upi, huu maana umeshaongea ?
EimLyu9WkAU-Ea6.jpeg
 
Jibu kingereza basi Mimi nimeandika kingereza
Ajibu Kiingereza kwasababu gani? Mlivyo majinga masahaulifu, kipindi fulani juzi kati hapa mlikuwa mnaponda Kiingereza sasa hivi unakitaka cha nini? Mmeshatiwa jiti, kama unaona kero chomoa tambaa, kama vipi, sikilizia kimya kimya.
 
INAONYESHA KAMA MSAJILI ANATAFUTA NAMNA YA JAMBO FULANI LAKINI ANAKOSA CHANZO SAHIHI KITAKACHOWEZA KU KNOCK OUT
 
Hujui wanawaza nini usidanganyike na rangi angalia mwanza wanaccm wanavyojiunga na Dogo janja
Aangalie tu Mwenyekiti wake anavyopata shida kuunganisha Chama chake huko majimboni Hadi anafoka kuwa msipochagua ccm siwapi maendeleo.
 
Aangalie tu Mwenyekiti wake anavyopata shida kuunganisha Chama chake huko majimboni Hadi anafoka kuwa msipochagua ccm siwapi maendeleo.
Halafu hajui Crisis management yeye ni kufoka tu
 
Walichoandika sio utetezi ni kukubali kosa na kuongeza kosa lingine .Kura ndio huamua nani atashinda !! Sio imani!!! Eti tunaamini Lisu atashinda!! Sababu ya umati unaojaa mikutano yake ya kampeni!! Aisee !!!!!!

Jamani hizi ofisi za vyama havina watu makini

Yaani barua wanaandika kwa msajili ya kumnadi Lisu serious? Mgombea wao Membe waliyemchagua wenyewe kupitia vikao halali vya chama wamempeleka wapi kwa kikao kipi ? kama wamemuondoa ugombea na Ku mu replace na Lisu kikao gani cha vyama cha kikatiba kiliamua hayo?

Msajili hiyo barua ni ushahidi tosha hata clip ukiitupa jalalani haina shida hiyo barua ni official letter Ku confirm kuwa wao wana mnadi Lisu bila idhini ya kamati kuu ,mkutano mkuu wao wala taarifa ya kumuengua Membe kutoka Tume ya uchaguzi

Hiyo barua ni ushahidi tosha wa jinsi Act inavyoendeshwa kienyeji
Maelezo hayo yanatakiwa tu kufanyiwa uamuzi wamekiri na ni kama wanasema come what may!!

Uandishi huo wa barua ni uswahilini hasa
Lowassa: Mimi sina mashaka juu ya kushinda, mashaka yangu atapita kwa kura ngapi. Huko kwa kina Lissu wameanza kujipambanua sana, maneno mengi, fujo zile, wanaonekana kwenye mamitaa, matv, matv mengine yanatisha tisha lakini tulimwambia Rais wetu usitishike hata kidogo.
 
Back
Top Bottom