Chama cha ACT Wazarendo leo kimetoa majibu kufuatia barua ya msajiri wa vyama vya siasa nchini kukituhumu kuvunja sheria ya vyama vya siasa kifungu 11a,ambapo mgombea urais wa Zanzibarkupitia chama hicho mhe,Sharif Hammad alimuombea kura mgombea urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mheshiwa Tundu Atipas Lisu.
Ikumbukwe kuwa kufuatia mafanikio ya vyama vya siasa mwaka 2015,Sheria ya vyama vya siasa ilifanyiwa marekebisho ili kuzuia muunganiko wa ghafra wa vyama vya siasa na kuweka mashariti magumu ili kuzuia ukawa nyingine. Baada ya kusoma barua ya ACT nimeona kuna tundu kwenye sheria linaweza kutumiwa na vyama vya upinzani kufikia adhima yao.