issa yurry
JF-Expert Member
- Apr 20, 2014
- 626
- 818
Mpaka leo bado munatumia siasa za kina wasiraLISSU akishinda Taifa litaangamia. CHADEMA hakuna sera, ni uhuni tu. Tulikuwa huko tunaijua vizuri CHADEMA
Labda Ashinde kwa vitambulisho vya wamachingaMtalia kilio cha mbwa siku hiyo. Hakuna kitu kama hicho. JPM Lazima ashinde.
Hii hapana, is un ethical. Waeleze tu kuwa Upinzani wa Mwaka huu ni Kama ni mchanganyo mchanganyo kwani haiwezekani Wanamgombea wao wanashindwa kumnadi si ni upuuzi huo. Sasa Mbobezi hapo si atajinyonga. Kwisha habari yake. Kiherehere kimemponzaAtajinyea yeye kwanza na kale kamguu kake.
Mwenyekiti kashasema..anaweza hata kumfukuza uwanachama
huu mwaka tutaona mengi
Mwenyekiti kashasema..anaweza hata kumfukuza uwanachama
Na ubaya zaidi walichofeli vyama vya upinzani, ni ku copy, edit &paste Ilani ya CCM, kwa maana nimebahatika kusoma ilani zote hizo na nimegundua hilo, upinzani bado hawana uwezo wa kuiongoza nchi hii ya Tanzania.
Mtu hata kiingereza hajui..kweliMAGUFULI anamzidi LISSU mara mamilioni (millions times).
Zama zinabadilika sio kila homa ni maleria,wewe endelea kukariri hivyo hivyo.JP Magufuli hatoachia urais kupitia sanduku la kura. Hivyo hivyo Zanzibar. Maalim Seif hatopewa urais..
mwenyekiti alishanyoosha maelezo bbc kwamba mgombea wao ni membe,
View attachment 1576755
Hii siasa inabadirika kila sekunde..unataka na kavideo
Hii ni Tanzania mpya baada ya hapo sahau kitu mnajiita amaniJP Magufuli hatoachia urais kupitia sanduku la kura. Hivyo hivyo Zanzibar. Maalim Seif hatopewa urais...
Huyo abaki huko hukoBado mama Tanzania
Haya Lord Denning subiri uone. Mungu yuko nasi na hawezi kuruhusu ukoloni mambosasa. Magufuli ni kiboko cha Mabeberu wanaotamani kupora mali zetu na sasa wanaendelea kutapatapa. Hiyo ni Plan B yao baada ya kuona maji yako shingoni. Tusubiri mwisho watakaposema wameibiwa kura.Hadi sasa nilichogundua ni kuwa ACT na Chadema wana strategist ambao ni over extra smart. Ni dhahili sasa CHADEMA NA ACT wamewaoutsmart Ccm...
Kama mlivyokuwa mnamsifia jiwe kwamba 2020 hana haja ha kupiga kampein badala yake kakutana na mziki mnene Hadi kaamua kubeba wasanii wote ili kuvuta watu [emoji2957]Ogopa watz... wanakusifia kisha wanakusahau...
Mbobezi out....
Viva JPM
Hata bado mtatembea kibuno juu kama siafu Lissu kawashika pabaya ndembe ndembeAtajinyea yeye kwanza na kale kamguu kake.
Haya Bwana/Bibi Consultant endelea kujifariji kwa uongo uliotukuka lakini Watanzania walio wengi hawadanganyiki. Hivi wewe unapendelea sera mfu za kutugawa Watanzania, kushabikia ushoga, kuweka rehani mali zetu, n.k.? Hatuwezi kufanya majaribio ya kunywa sumu. Hata wakiungana CCM itaibuka kidedea kwa sababu sera zake nzuri sana na wameishaonyesha uwezo wa kutenda wanayoahidi.JP Magufuli hatoachia urais kupitia sanduku la kura. Hivyo hivyo Zanzibar. Maalim Seif hatopewa urais.
Humu jamvini tunajifariji tu. Mwaka 1995 na 2015 bila shaka Wapinzani walishinda (Mrema & Lowassa) lakini hawakupewa Nchi. Maalim anashinda kila uchaguzi. Kwa wenye kumbukumbu kiduchu tu wanakumbuka walichofanya jeshi/TISS mwaka 2015 pale Zenji.... mchana kweupe!
Hii comment ntairudia early November 2020 baada ya NEC & ZEC kufanya yao