Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wamuunga mkono Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wamuunga mkono Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Nimeshiriki figisu figusu za uchaguzi mkuu kuanzia mwaka 2000 hadi 2010, sikuwahi kupiga kura.

Lakini mwaka huu, nikijaaliwa afya njema nitampigia Lissu, siwezi kuishi na mateso haya ya Magufuli kwa miaka 5 mingine. Eeh mwenyezi Mungu nisaidie.
Nimekupa like ya 60 na ukafanye hivyo Kama ulivyo nena
 
Nimeshiriki figisu figusu za uchaguzi mkuu kuanzia mwaka 2000 hadi 2010, sikuwahi kupiga kura.

Lakini mwaka huu, nikijaaliwa afya njema nitampigia Lissu, siwezi kuishi na mateso haya ya Magufuli kwa miaka 5 mingine. Eeh mwenyezi Mungu nisaidie.
Utabarikiwa mkuu maana Mungu ni mkubwa
 
Hivi mna habari kwamba jina lake bado litakuwepo kwenye orodha ya wagombea?

Hata kama amejiondoa kimya kimya, bado kuna watu watampigia kura, labda aje sasa hadharani atamke kuwa amejitoa, vinginevyo kuna kura ataharibu
Wapi wewe...watanzania wa leo sio wa jana..watu wanasmart phones hadi vijijini..Maalim kasema imepita hiyo..
 
Tanzania ni taifa huru
Hatuwezi kuingiliwa na fala yoyote yule hata awe nani tutamgalagaza
Wanapasha mazoezi kidogo hapo bahari ya hindi 😂😂😂😂😂!! Dadeki CCM mtajua hamjui mwaka huu
151C4E96-4904-4328-BC1D-BADF6A5F46F4.jpeg
 
Hadi sasa nilichogundua ni kuwa ACT na Chadema wana strategist ambao ni over extra smart. Ni dhahili sasa CHADEMA NA ACT wamewaoutsmart Ccm.

Mwaka huu Hiatoria Kuu inaenda kuandikwa Tanzania.

Tundu Antiphas Lissu Raisi Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020 - 2025

Maalim Seif Raisi wa Zanzibar 2020- 2025.
Mungu ibariki Tanzania [emoji1241]
 
Jamaa ana roho mbaya sana ndugu zangu mkimchagua tu hali itakuwa mbaya sana Mara dufu.
Naitafute ile video ya dogo mmoja alikuwa anatamka hayo maneno ya "ana roho mbayaaaa!!!"

Sijui intaipata wapi ile video[emoji1787][emoji1787]
 
jamaa yako aliwatosa na kuwadharau wale waliokuwa wapanga mikakati ya wizi wa kura.. akawanyang'anya chama akawadhihaki, akawatukana, akawatenga wakati wao ndo walimpigia kampeni mpaka wakavunjikia huko na mikono, wakakesha kwenye vyumba huko kubadili matokeo ya kura lakin baada ya jamaa kuapishwa akawatenga kama wakoma, chama akakikabidhi kwa kina sloo sloo wasiokijua chama, akawachukua na wale wale wapinzani akawalundikia vyeo kwa nguvu huku kina februari maropu kinana na napi wakafanywa vidampa.

ccm asilia hawatampa kura hata moja jamaa yako bali atapata tukura tuchache twa ccm mpya(ambayo kimsingi ni "ccm isiyo ccm"), kura za ccm asilia zote ni kwa tundu lisu..ccm asilia wanajua na wameshaamua ni kheri usu shari kuliko shari kamili...kuliko kumpa jamaa miaka mitano tena ya kuwanyamyasa ni heri tu nchi akabidhiwe Lisu ufunguliwe ukurasa mpya...bushiru hata akitishia nyau haisaidii kwanza haijui ccm huyo na ccm si yake, yeye ni wakuja tu ndani ya chama..

na wanachokifanya CCM Asilia wala si cha ajabu, wao kama wenye CCM Asili wanatunza heshima ya chama na kutimiza maono ya muasisi wa chama kuwa Upinzani wa kweli utatoka Ndani ya CCM na kuwa CCM si baba yangu wala si mama yangu...by JK Nyerere.
Baada ya 28 oktoba uje urejee hii coment yako, ccm ni zaidi ya jabali
 
Tanzania ya jamiiforum ni tofauti kabisa na Tanzania ya mtaani. Nikisoma comments za makada humu jf naishiaga kucheka.

Oktoba 28 inakuja aliye na kisu kikali ndio atakula nyama. Upinzani hamjajipanga na huo ndio ukweli. Acheni kudanganyana humu mitandaoni.
 
So what? Kuna jipya lolote? Hivi kweli chadema inaamini kuwa inaweza itoa CCM kwa kuungana na act?
Kama Hamjui mtajua mwaka huu. Lindi, Mtwara, Zanzibar na Tanga Membe na Maalim wanapeleka kura zote kwa Lissu!

Kigoma na Tabora- Zitto Kabwe anapeleka kura zote kwa Lissu

Tundu Lissu anamalizia Dar es Salaam, Morogoro, Iringa, Singida, Mara, Kagera , Mwanza, Simiyu, Katavi, Rukwa , Mbeya , Songwe,Njombe na Pwani, Arusha, Kilimanjaro na Manyara huku Shinyanga akibeba Nusu!


Magu anachukua Geita na Dodoma!!!

CCM ndo watajua hawajui mwaka huu😂😂😂

Go Lissu.......,,,,,,,,,
 
Back
Top Bottom