kambagasa
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 2,269
- 1,803
Itakuwa TangawiziKwa hiyo Tanganyika itakuwa Vipi !.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa TangawiziKwa hiyo Tanganyika itakuwa Vipi !.
Huku ikitawaliwa na Zanzibar pamoja na hilo koti ililovaa.Tanganyika imevaa koti la Tanzania.
Yaani kustuka kwamba wananyonywa, wanatawaliwa, kwamba hawautaki muundo wa serikali mbili bora ziwe tatu, au iwe moja au muungano uvunjwe kila mtu arudi kwao aanze mambo upya ndiyo unaita chuki zilizomo mioyoni?Ktk threads km hizi nd tunagundua chuki zilizomo mioyoni mwetu dhidi ya wazanzibar na zanzbar yao kwa ujumla.
Muungano wenye zanzibat na mamlaka kamili ndio muungano gani? Mtu anajiona mjanja hadi anakua mjinga.Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Masoud Othman amesema Chama chake cha ACT Wazalendo kinataka Muungano utakaoitambua Zanzibar yenye Mamlaka kamili
Masoud amesema hayo kwenye mkutano wa Chama chake huko Nungwi
Chanzo: ITV habari
ACT ni CUF(ile CUF original) kwani hiyo CUF iliyopo sasa hivi ni tawi ndani ya jumuia ya CCM.ACT wana mpango gani na Tanganyika, naona wao wanatetea Zanzibar tu ila Tanganyika hawana mpango nayo!
Huu mtego kabisa ,mamlaka ziwe machoMakamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Masoud Othman amesema Chama chake cha ACT Wazalendo kinataka Muungano utakaoitambua Zanzibar yenye Mamlaka kamili
Masoud amesema hayo kwenye mkutano wa Chama chake huko Nungwi
Chanzo: ITV habari
ACT ni chama cha Wapemba kwa sasa na Zitto ni chawa mtiifu wa hicho chama, finances zote za kuendesha chama zinatoka 'ujombani'.Akina Zitto wamegeuka wafanya bidding wa Wazanzibari, Wanaitetea Zanzibar passionately huku wakifumbia macho concerns zetu sisi Watanganyika ndani ya huu muungano wa chako changu, changu changu..
Kwa mtindo huu ACT kitaishia kuwa chama cha Zanzibar ila huku Tanganyika kitapata tabu sana
Zanzibar ikiwa na mamlaka kamili Zitto atakuwa wapi?Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Masoud Othman amesema Chama chake cha ACT Wazalendo kinataka Muungano utakaoitambua Zanzibar yenye Mamlaka kamili
Masoud amesema hayo kwenye mkutano wa Chama chake huko Nungwi
Chanzo: ITV habari
Sio kweli sisi tunao jiita wabara ndio wanufaika wakubwa, ndio maana tuko tayari mpaka kuua watu ili muungano uwepoWazanzibar wananufaika zaidi na Muungano kuliko bara lakini haviishi kelele.
Kwani wameongea jambo baya?Sema watu wa Kigoma Wana vipaji sana vya UCHAWA.
Sasa hivi kina Zitto kila wanachotaka wapemba wanawakubalia tu.
Hicho chama waliwauzia wapemba.
Zanzibar ni sehemu ya Tanganyika na haiwezi kupewa mamlaka kamili, kama China imechukua Hong Kong na inahitaji Taiwan, hatuwezi kuachia Zanzibar hata iweje, soon tunaenda kufuta mamlaka waliyonayo hiyo kidogo na kusimika utawala moja na serikali mojaBinafsi
Zanzibar ijitegemee kwa kila kitu kuanzia jeshi, wawe nchi huru
Kuja huku waanze kutumia passport
Waliowekeza huku wahesabiwe kama wawekezaji
Wengine warudishwe kwao
Kwani msimamo wa Zitto kuhusu Muundo wa muungano ni upi?Kwani wameongea jambo baya?
Msimamo wa chama ndio muhimuKwani msimamo wa Zitto kuhusu Muundo wa muungano ni upi?
Maana tunajua wapemba hawataki muungano.
JKU ni nini?Zanzibar haina Jeshi
Naunga mkono hojaBinafsi
Zanzibar ijitegemee kwa kila kitu kuanzia jeshi, wawe nchi huru
Kuja huku waanze kutumia passport
Waliowekeza huku wahesabiwe kama wawekezaji
Wengine warudishwe kwao
Yaani mambo yasiyo ya muungano wawe na mamlaka kamili. Mfano afya sio muungano ila hawawezi kuwa mwanachama WHO!!Hivi haya ma act yanavichaa, si waseme wazi tu kuwa wanataka kuvunja Muungano???
Sasa Zanzibar itakuwaje na mamlaka kamili ndani ya Muungano??