zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Yaani muungano wa Sasa Kuna masuala ya muungano, masuala yasiyo ya muungano bara, na masuala yasiyo ya muungano Zanzibar.Nimeliona hili la mimi...yanataka mamlaka kamili ndani ya muungano...na tafsiri yake ni kwamba hali ya muundo wa serikali 2 iendelee...katika setup ya serikali 2 tayari Zanzibar inamamlaka....hivyo Tanganyika utaendelea kufyonzwa
Sasa katiba inasema serikali ya muungano ni both masuala ya muungano na masuala yasiyo ya muungano ya bara.
Na Zanzibar inasimamia masuala yasiyo ya muungano kwa upande wake.
ILA
Tanganyika (Ambayo ndio hiyo hiyo muungano) inawaamulia mambo yasiyo ya muungano.
So wanachotaka mfano michezo sio suala la muungano why hawawezi kushiriki Olympic au AFCON!! n.k so wao wanataka hicho tu Cha kujiamulia wenyewe mambo yasiyo ya muungano kama afya, elimu n.k
Cc Mohamed Said