Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

Yah ile elimu ya vile nilikataa nkamuacha na CPA yake ambayo mpka leo hajagraduate nakumbuka nilimwambia ntakukuta hujamaliza cpa kipnd nmeshamaliza masters
Mzee finnest ni class mate wako?
 
Nikienda nitajua. Nikishindwa si basi bwana kwani lazima [emoji23][emoji23][emoji23]

Huwezi shindwa unakomaa mpaka kieleweke ......sema tu inaweza chukua mda mrefu! Si unajua ile unafaulu kwa somo so mpaka kuyachomoa yote si kazi ndogo , Thu inawezekana ukiamua
 
halafu maswali ya physics huwaga yanaanza kama hadithi fulani hivi,yaani ****** mtungaji anakuvuta weeeeee anakuvuta weeeeee unakuujaaaa unakuja aaaaunaingia kwenye line zake then hapo hapo anakutupia jiwe paaaaaahhh la uso...yaani utakuta anaaza...

two stones thrown simutlaneously at a velocity of 20m/s at an angle of 60• to the horizontal,a man with a gun stand at 26m from the point of throwing,if the man has a mass of 80kg,calculate mass of the sun approximate to 6 decimal places..

ku**make hapa lazima ujambe,unaanza kujiuliza asa hapa ni topic gani,mtunzi kachanganga

projectile
calculating device
linear motion
planetary motion/gravity
error and dimension

unabaki tu kukumbuka maisha yako,marafiki zako,ndugu na jamaa,unakumbuka ulivokuwa unafaulu shule yako ya kata...unajikaza kiume mzee,unaandika data collection,unazugazuga pale na viformula basi unapoteza muda....unakusanya zako karatasi basi,unawaza hivi nimemkosea nini mungu mimi....kinyooonge unatoka class,sema ukikutana na wauni mnacheeeeeeeeekaaaaaaaaa basi unasahau na maisha ya shule yanaendelea.

nitarudi shule zote ila siyo advance ya tanzania *****....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahah nimesoma huku nacheka aisee mkuu.Yani hadithi tamu na unaielewa vizuri kabisa bila uwepo wa maneno magumu ila sasa baada ya story unabaki kujiuliza hii ni topic gani
 
Ila si wapo wanaofaulu? Kwanini mimi nishindwe sasa. Nikiamua kusoma nasoma japo siwagi serious. Hata hii nikipiga nitachomoka tu naamini.
Ndiyo wapo wanaofaulu ila wengi wao ni fresh from school, pia wengine ndo wale wa kurudia mitihan hata miaka 5
Kama una nia, muda na hela ya mchezo (jokin) jaribu bahati yako mkuu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa jinsi jamaa alivyokuwa anatiririka ukategemea aseme alifaulu hata E hahah
 
Enzi hizo baba yangu alikua anataka nije kua doctor, akanipeleka kuniandikisha F.5 hata kabla serikali haijatoa selection za shule zake (nilikua na div. 1) F.4

Kufika akaniregister kusoma PCB(Shule 1 hivi ya private) ,nilisoma mwezi mzima hiyo physics naona nyota nyota tu nikaamua kuhamia CBG.

Mpaka namaliza Advance mzee anajua nipo PCB kumbe fizikia ilinipiga hat trick mapema tu.
 
1: Hivi kati ya pure mathematics na Advanced physics lipi somo gumu???
2: kwanini Hesabu ndo inaonekana ni somo gumu zaidi (ugonjwa wa taifa) na sio physics???
Hahaaaa.... Hesabu n ngumu o level huko kwa watoto wasiosoma...ila somo gumu dunian huwa n physics...physics ya advance weeeeeeee
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Mkuu kumbe na wewe ulisoma haya nadude.

Ndio maana posts zako hua zipo tofauti na wadada wa H-kunanii
Sasa nisome nielewe ili iweje. Nikisubiri kuelewa muda wenyewe hautoshi matopic mengiii bado usistaduu unanisubiri akaa
 
Back
Top Bottom