Kati ya haya uliyoandika hakuna ambalo mke wako anafanya?Safi sana. Kesho wapige marufuku kujiangalia kwenye kioo, kesho kutwa wazuie mafuta, marashi na sabuni za kuogea zinazonukia, na baadae wapige marufuku hijab za rangirangi nk.
Hao Taliban wanafahamika akili hawana hata waislam hawafanyi wanachofanya wao.Serikali inayoongozwa na Talibani nchini Afghanistan imepiga marufuku wanawake kuongea ama kubadilishana mawazo. Ni marufuku wanawake kuongea na mwanamke mwezake na kumuelezea mawazo ama maoni yake.
Khalif Hanif, waziri wa tabia njema na mwenendo mwema katika jamii amesema ni marufuku wanawake kuongea wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ni kinyume na mafundisho ya kiislamu hasa ya Mtume na Allah. Mwanamke aongee na mumewe tu.
Kumbuka hivi karibuni Talibani ilipiga marufuku saluni za kike na za kiume na kutangaza kwamba ni marufuku kwa mwananchi wa Afghanistan kunyoa nywele na ndevu kwani ni kinyume na mafundisho ya kiislamu. Pia Talibani ilipiga marufuku wanawake kupiga simu redioni ama mwanamke kuongea sauti yake ikasikika public.
View: https://x.com/HabibKhanT/status/1850241627530424578?s=19
Indoctrination ilishawakaa. Ni sawa tu na kwa akina MwamposaUtashangaa wanakuja London kudai hiyo "sharia" nayo iwepo hawa watu sijui wamerogwa
Hata humu Sheria ya Islam haikuruhusu kujadili na wanaume kajadiliane na mmeo huko.Kondoo na wale ambao kila mwanamme anaeingia kwao anaambiwa "mwamkie babako", hawawezi kukuelewa.
Wamesema mtume na allah wameagiza hivyoHao Taliban wanafahamika akili hawana hata waislam hawafanyi wanachofanya wao.
Hamna kitu hao ni vichaa tu.
Bila mtutu au jambia huwezi kuifuata hiyo dini kwa hiyari. Imagine ina masharti kwamba ukishaingia, ukitoka adhabu yake ni kifoIli uwe mwisalmu kamili inatakiwa uwehuke kwanza...
Haiingii akili eti mwanaume usinyoe ndevu ...si uchafu huo
Uwongo! Taliban ndio wanaonesha sura halisi ya uislamHao talibani kuna mambo wanafanya ambayo sio katika sheria za kiislamu kabisa au kinyume na uislamu,kama mtu anauona uislamu kupitia talibani hakika hatapata uislamu sahihi,hao asilimia kubwa mambo yao kama wanaharakati
Uislamu haujakataza wanawake kuongea na wanawake wenzao na wala si sunna ya Mtume wala maagizo ya Allah. Wake za Mtume tu walikuwa wanaongea na wanaume nyuma ya pazia katika kuwaelekeza mambo fulani fulani ya dini,kama hiyo haikuruhusiwa je ilikuwaje wakeze wakafanya hivyo?
Kuhusu wanaume kunyoa nywele au ndefu wanaruhusiwa sana,ila si katika uislamu sijui kunyoa kiduku na stahili za ajabu ajabu,kama unaondoa nywele zote basi ondoa na kama unanyoa kawaida basi nyoa kwa heshima
Kuhusu kufuga ndevu hiyo ni sunna sio lazima kwa wanaume kufuga ndevu,ingawa ni bora kufuata sunna ya Mtume,binafsi nanyoa ndefu,sio agizo la lazima la dini
Kuhusu wanawake kwenda saluni,wanawake wanatakiwa kujipamba kwa ajili ya waume zao,wapendeze na wanoge,ila naona kuna namna labda hizo saluni zimeonekana ni sehemu ambazo kuna ajenda nyingine zinafanyika
Kuhusu wanawake kuongea kwenye redio au television,kwa mfano katika tv yapaswa mwanamke ajistiri anapokuwa hewani na si kuwa uchi kwa mujibu wa uislamu,kuhusu kuongea kwenye redio,hiyo hata huku Tanzania kuna redio moja Redio imani nayo kipindi fulani fulani walikataza lakini wakapewa hoja mbona wake za Mtume Muhammad (s.a.w) walikuwa wanaongea na wanaume nyuma ya pazia,kwahiyo hapo hoja nzito ilipatikana
Kwahiyo si kila linalo fanywa na hivi vikundi vyenye misimamo mikali ni uislamu bali mengine ni taratibu zao binafsi
Asante
Nakubaliana na weweUzuri wa wa hawa jamaa ni wanafiki, hata pombe wanakunywa but kimya kimyaaa.
Cha ajabu wakienda nchi za makafiri wanaanza vuguvugu na maandamano kushinikiza utawala wa sharia walizokimbiaNimeelewa ni kwanini wavaa Kobazi huwa wanakimbilia nchi za Makafikir badala hizo za wavaa Kobazi wenzao. Sharia ni Ushetani mtupu.
waendelee hivyo hivyo niko pamoja nao wanajua wanacho kifanyaSerikali inayoongozwa na Talibani nchini Afghanistan imepiga marufuku wanawake kuongea ama kubadilishana mawazo. Ni marufuku wanawake kuongea na mwanamke mwezake na kumuelezea mawazo ama maoni yake.
Khalif Hanif, waziri wa tabia njema na mwenendo mwema katika jamii amesema ni marufuku wanawake kuongea wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ni kinyume na mafundisho ya kiislamu hasa ya Mtume na Allah. Mwanamke aongee na mumewe tu.
Kumbuka hivi karibuni Talibani ilipiga marufuku saluni za kike na za kiume na kutangaza kwamba ni marufuku kwa mwananchi wa Afghanistan kunyoa nywele na ndevu kwani ni kinyume na mafundisho ya kiislamu. Pia Talibani ilipiga marufuku wanawake kupiga simu redioni ama mwanamke kuongea sauti yake ikasikika public.
View: https://x.com/HabibKhanT/status/1850241627530424578?s=19
Hapana, ni SunnaIli uwe mwisalmu kamili inatakiwa uwehuke kwanza...
Haiingii akili eti mwanaume usinyoe ndevu ...si uchafu huo
Wangese tu baada ya kupakwa mafuta ya PDidy wamebakia kuonea kina Mama wapuuzi hawa hivi kweli hawa dada zetu uilete hiyo sheria yao ya kimbuzi patakalika kweli?Islam did it...............tena they want a Sharia............hivi miaka ile kibongo bongo pia si nilisikia mlikuwq mnaitaka Sharia?? Bado mnaitaka tuwape??........na Sharia kwa ulaya hata iweje haiwezi kutokea ..............
Wanaongoza kwa unafiki hawa mabwana na kiukweli wanaboa mno hapo ndio utaona sometimes mazayuni wapo sahihi kuwafutilia mbali hawa mafalaAaa wapi..!
Hata nzi hawezi kutua kwenye moto.
Kubazi wengi wanakimbilia nchi za makafri, hutaweza kusikia wakitamani kwenda kwenye nchi zinazoongozwa kwa sharia za Allah.
Patatokea kishindo kama cha Iran..........wanawake tu wanaweza kupindua inchi wakireta hii Sharia yao hapo tanzaniaWangese tu baada ya kupakwa mafuta ya PDidy wamebakia kuonea kina Mama wapuuzi hawa hivi kweli hawa dada zetu uilete hiyo sheria yao ya kimbuzi patakalika kweli?
Hii dini ni ya kibabe Sana sio kutoka Kwa mungu , ni mungu gani anawanyanyasa wanawake!Mudi aliwapoteza sana hawa watu
Mudi apigwe mawe kabisa