Afghanistan: Talibani imepiga marufuku wanawake kuongea ama kubadilishana mawazo. Marufuku mwanamke kuongea na mwanamke mwenzie

Safi sana. Kesho wapige marufuku kujiangalia kwenye kioo, kesho kutwa wazuie mafuta, marashi na sabuni za kuogea zinazonukia, na baadae wapige marufuku hijab za rangirangi nk.
Kati ya haya uliyoandika hakuna ambalo mke wako anafanya?
 
Hao Taliban wanafahamika akili hawana hata waislam hawafanyi wanachofanya wao.
Hamna kitu hao ni vichaa tu.
 
Kalibu kila nchi inayo fuata Sharia Law wanawake wananyanyasika sana.
Kila mtu anaelewa kinacho tokea Iran na Afghanistan dhidi ya wanawake.
We angalia fundisho kama hili linalo mdhalilisha mtoto wa kike kwa kumlinganisha na Mbwa mweusi na punda.

Jami` at-Tirmidhi 338
Abu Dharr said that :
Allah's Messenger said:

"When a man performs Salat, and there is nothing in front of him like the post of a saddle, or a camel saddle, then his Salat is severed by (passing of) a black dog, a woman, and a donkey."

It was said to Abu Dharr:

"What is the problem with the black dog rather than the red or white one?" He said: "
O my nephew! I asked Allah's Messenger just as you have asked me.
He said: 'The black dog is a Shaitan (devil).'"

Hivi kwa akili ya kawaida tu hili fundisho ni la Kimungu kweli ?
Na ndimo zinapo tokea Sharia Law.
Mnaowakataa watunga Sharia wa Afghanistan hamuijui vizuri hii Imani.
Ina mafundisho ya ajab ajab.
Eti ndio watu wanajilipua na wengine kuandamana ili Dunia ifuate haya mafundisho.
Mungu mwenyewe hawezi kuruhusu jambo kama hili kutokea katika Dunia yake.
 
Uwongo! Taliban ndio wanaonesha sura halisi ya uislam
 
waendelee hivyo hivyo niko pamoja nao wanajua wanacho kifanya
 
Islam did it...............tena they want a Sharia............hivi miaka ile kibongo bongo pia si nilisikia mlikuwq mnaitaka Sharia?? Bado mnaitaka tuwape??........na Sharia kwa ulaya hata iweje haiwezi kutokea ..............
Wangese tu baada ya kupakwa mafuta ya PDidy wamebakia kuonea kina Mama wapuuzi hawa hivi kweli hawa dada zetu uilete hiyo sheria yao ya kimbuzi patakalika kweli?
 
Aaa wapi..!
Hata nzi hawezi kutua kwenye moto.

Kubazi wengi wanakimbilia nchi za makafri, hutaweza kusikia wakitamani kwenda kwenye nchi zinazoongozwa kwa sharia za Allah.
Wanaongoza kwa unafiki hawa mabwana na kiukweli wanaboa mno hapo ndio utaona sometimes mazayuni wapo sahihi kuwafutilia mbali hawa mafala
 
Wangese tu baada ya kupakwa mafuta ya PDidy wamebakia kuonea kina Mama wapuuzi hawa hivi kweli hawa dada zetu uilete hiyo sheria yao ya kimbuzi patakalika kweli?
Patatokea kishindo kama cha Iran..........wanawake tu wanaweza kupindua inchi wakireta hii Sharia yao hapo tanzania
 
Waswahili kujadili mambo yasiyo wahusu,they are very good,lkn mambo yanayo wahusu huwezi Kuta mtu hpo.

Tanzania or Africa Kwa ujumla ndio sehemu yenye majanga,Dunia inatambua hilo.

I guess,you could use most of your fucking time discuss yanayo wahusu na namna ya kuyatatua than that shit.

Maisha magumu,magonjwa,vita isiyo Isha(Congo DRC), mifumo mibaya ya kiuongozi,ufisadi,dhuruma na mengne mengi vyote vipo na mnaishi navyo just is part of your fucking life.
You must please your self
LoL.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…