na Qatar nao wataruhusu hao jamaa wabakie kwao? Watawatunzaje?Wazee wa fursa wakiona marekani ileeeee.
Hivi unadhani USA wataruhusu hao watu kuingia nchini kwao? Hao wataachwa hapo hapo Qatar wapige vibarua.
😀 😀 😀 hivi kumbe ishu ilikuwa ni dawa za kulevya? Mie nilidhani labda ni ishu za USAvs Urusi, kwamba wameweka kambi ili Warusi wasisogee pande zile?Naona wameona waongee tu mradi siku ipite
Wanajeshi zaidi ya 3000 wamekufa huko na hao ni USA tu bado wale wakandarasi zaidi ya 4000 na majeshi ya NATO zaidi ya 1000
Wanasema hasara zaidi ya £1 tr lakini hawasemi ni faida ngapi wamepata kwenye madawa ya kulevya
Wazee wa fursa wakiona marekani ileeeee.
Hivi unadhani USA wataruhusu hao watu kuingia nchini kwao? Hao wataachwa hapo hapo Qatar wapige vibarua.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] hivi kumbe ishu ilikuwa ni dawa za kulevya? Mie nilidhani labda ni ishu za USAvs Urusi, kwamba wameweka kambi ili Warusi wasisogee pande zile?
Kama wanaakili hizi za kukaa juu ya mwewe basi kuna ambao waliingia kwenye injini kabisa wakihisi ni mahala salama.
Hio midege si inabebaga Vitu vizito viziti , sembuse hao waarabu 600 mkuuHiyo ndege imekuwa ya mwendokasi sasa, maana limebeba uzito x5 ya kawaida yake
Na rubani akakubali na ikapaa du
Kuna movie zingine hazihitaji popcorns kabisa [emoji23][emoji23]
Hata mi nmejiuliza tangu jana [emoji23]Sasa mtu amekaa juu ya ndege inamaana hajui kama ataanguka.? Au ndo kichwani socket imechomoka
Hio midege si inabebaga Vitu vizito viziti , sembuse hao waarabu 600 mkuuHata mi nmejiuliza tangu jana [emoji23]
ila wakuu vita ni mbaya sana
Ndo hao hao tu uzito mmoja Siunajua wenzetu huko hakuna kulala hata mda wa kunenepa hamna sio kama huku ukutane na Ndugu zetu majabali ya Kinyakyusa/ Wasukuma nk tukifika 600 Inakua kidogo kama vifaru kadhaa [emoji28][emoji28][emoji28]Na mimi nilishangaa ila kuna mdau amesahihisha
Ila hao sio waarabu [emoji23]
Ni jamii ya wapakistan huko
Ndo hao hao tu uzito mmoja Siunajua wenzetu huko hakuna kulala hata mda wa kunenepa hamna sio kama huku ukutane na Ndugu zetu majabali ya Kinyakyusa/ Wasukuma nk tukifika 600 Inakua kidogo kama vifaru kadhaa [emoji28][emoji28][emoji28]
Labda hali ikitulia watarudishwa makwao ndio maana wameachwa hapo.na Qatar nao wataruhusu hao jamaa wabakie kwao? Watawatunzaje?
Kachimbe kaburi la Kayafa chukua miwani yake then urudi kucheki tena hiyo picha.Sioni hata mmoja aliyevaa barakoa
Na hapo Qatar wataondolewa tu watarudishwa kwao wakapambane na Taliban.. bakora mia mia zitawahusuHao hawawezi fika USA, ila kuna wale tu ambao walikuwa wakiwasaidia kama kutasfiri/waandishi wa habari, na waliokuwa wakifanya kwenye mashirika yao, wengine walishapelekwa Marekani, na wengine bado ila wataenda.hao kwenye ndege hiyo ni lift tu wanabwagwa hapo qatar tu, kwani kuwashusha ingekuwa ngumu.
Barakoa inakumbukwa tu kukiwa na amani,ktk hali ya Hatari Barakoa kitu gani Chifu?!!!.Sioni hata mmoja aliyevaa barakoa
Sasa Kwani Marekani ni Mbinguni??.Wazee wa fursa wakiona marekani ileeeee.
Hivi unadhani USA wataruhusu hao watu kuingia nchini kwao? Hao wataachwa hapo hapo Qatar wapige vibarua.
Wewe ukipewa visa ya kwenda usa huendi??Sasa Kwani Marekani ni Mbinguni??.
Wavunjifu wa amani ni viongozi wetu,hasa pale wanapotunyonya sisi watu wa hali ya chini, Matharani ongezeko la tozo kwenye miamala ya simu, Ongezeko la bei za mafuta,Polisi kukamata watu ovyo na kisha kuwabambikizia kesi,Kutoheshimu nyumba za ibada hata kukamata watu ndani ya nyumba za ibada,na mengine mengi ya hovyo na yanayonuka.Kazi Sana, yaani amani kitu kizuri Sana! Popote ulipo linda amani ya taifa lako[emoji120][emoji120]
Naenda,lkn kwenda huko sio ishu kivile kiasi Cha wenye Nchi yao kukomplikate Mambo.Wewe ukipewa visa ya kwenda usa huendi??