1. Kila asubuhi watoto eti wanafanya mitihani. Mtoto anawajibika kuripoti shuleni saa 12 asubuhi na kuanza mtihani saa 12.30 asubuhi. Ada shiling 200 kila asubuhi.
2. Jumamosi mtihani. Toka saa 1 mpaka saa 7 mchana. Ada ya mtihani shilingi 1,200. Hii ndiyo utaratibu kutoka ofisini kwako? Au ni invention ya walimu kwamba kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake?
3. Mtoto anarudi saa 11 jioni. na break ya saa nne ni kama haipo maana wanapewa dakika 5 kwenda kujisaidia. Shule inafungwa saa ngapi?
4. Wazazi tujue shule inafungwa saa ngapi tuweze kuwafuatilia watoto vema kama wanafika nyumbani inavyotakiwa.
OMBI: Waacheni watoto Jumamosi wapumzike na kuwasaidia wazazi.
2. Jumamosi mtihani. Toka saa 1 mpaka saa 7 mchana. Ada ya mtihani shilingi 1,200. Hii ndiyo utaratibu kutoka ofisini kwako? Au ni invention ya walimu kwamba kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake?
3. Mtoto anarudi saa 11 jioni. na break ya saa nne ni kama haipo maana wanapewa dakika 5 kwenda kujisaidia. Shule inafungwa saa ngapi?
4. Wazazi tujue shule inafungwa saa ngapi tuweze kuwafuatilia watoto vema kama wanafika nyumbani inavyotakiwa.
OMBI: Waacheni watoto Jumamosi wapumzike na kuwasaidia wazazi.