Afisa Elimu Jiji La Tanga, wazazi tunaomba ufafanuzi wa hii michango ya fedha

Afisa Elimu Jiji La Tanga, wazazi tunaomba ufafanuzi wa hii michango ya fedha

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
1. Kila asubuhi watoto eti wanafanya mitihani. Mtoto anawajibika kuripoti shuleni saa 12 asubuhi na kuanza mtihani saa 12.30 asubuhi. Ada shiling 200 kila asubuhi.

2. Jumamosi mtihani. Toka saa 1 mpaka saa 7 mchana. Ada ya mtihani shilingi 1,200. Hii ndiyo utaratibu kutoka ofisini kwako? Au ni invention ya walimu kwamba kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake?

3. Mtoto anarudi saa 11 jioni. na break ya saa nne ni kama haipo maana wanapewa dakika 5 kwenda kujisaidia. Shule inafungwa saa ngapi?

4. Wazazi tujue shule inafungwa saa ngapi tuweze kuwafuatilia watoto vema kama wanafika nyumbani inavyotakiwa.

OMBI: Waacheni watoto Jumamosi wapumzike na kuwasaidia wazazi.
 
1. Kila asubuhi watoto eti wanafanya mitihani. Mtoto anawajibika kuripoti shuleni saa 12 asubuhi na kuanza mtihani saa 12.30 asubuhi. Ada shiling 200 kila asubuhi.

2. Jumamosi mtihani. Toka saa 1 mpaka saa 7 mchana. Ada ya mtihani shilingi 1,200. Hii ndiyo utaratibu kutoka ofisini kwako? Au ni invention ya walimu kwamba kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake?

3. Mtoto anarudi saa 11 jioni. na break ya saa nne ni kama haipo maana wanapewa dakika 5 kwenda kujisaidia. Shule inafungwa saa ngapi?

4. Wazazi tujue shule inafungwa saa ngapi tuweze kuwafuatilia watoto vema kama wanafika nyumbani inavyotakiwa.

OMBI: Waacheni watoto Jumamosi wapumzike na kuwasaidia wazazi.
Wazazi sijui mnataka nini? Watoto wakifeli mnalalamika waalimu wakiwasaidia watoto kujiandaa na mitihani mnalalamika. Hizo shule za private mnaona wanavyoandaa watoto na mitihani. Watoto hao wa private wanashindana na hao watoto wenu.

Wazazi msipende vya bure wajibika kwa elimu ya mtoto wako kughalamia shilingi elfu tatu kwa wiki kwa ajili ya elimu ya mtotk wako unaona ni gharama?
Unataka mwalimu afanye kazi ya ziada lakini usimlipe. Wasikilizeni wana siasa wenyewe watoto wao wako private wanawalipia wewe wanakudanganya.
 
MiWazazi sijui mnataka nini? Watoto wakifeli mnalalamika waalimu wakiwasaidia watoto kujiandaa na mitihani mnalalamika. Hizo shule za private mnaona wanavyoandaa watoto na mitihani. Watoto hao wa private wanashindana na hao watoto wenu.
Wazazi msipende vya bure wajibika kwa elimu ya mtoto wako kughalamia shilingi elfu tatu kwa wiki kwa ajili ya elimu ya mtotk wako unaona ni gharama?
Unataka mwalimu afanye kazi ya ziada lakini usimlipe. Wasikilizeni wana siasa wenyewe watoto wao wako private wanawalipia wewe wanakudanganya.
Mitihani kila siku alfajiri siyo kumuelimisha mtoto,labda Kama hukufika mbali kitaaluma...hatukusoma hivyo zamani na tulikua vizuri kuliko watoto wa siku hizi
 
Pamoja na mambo yote lakini mtoto anatakiwa apate muda wa kupumzisha mwili na akili. Ashiriki kufanya kazi za nyumbani hata kwakiasi kidogo sana.

Ukitazama hao wanao wasaidia wanafunzi muda wa ziada(WENGI WAO) wanalenga hela kwahiyo kama hamna hela huduma haipo.

Maisha yanataka kwenda kwa kazi na kupumzika. Mtatia watoto uwendawazimu
 
Mnachokitafuta ni
1678514930709.jpg
 
Mi shule zote nilisoma siku 5 tu

Hao wanakaririshwa kujibu mitihani
hili jambo huwa naliwaza na kulisema kila siku. Nimesoma msingi miaka ya 90. Tuliingia shule saa 2 mpaka saa 8 na hii ilikuwa ni Jumatatu mpaka Ijumaa, darasa la kwanza mpaka la saba.

Sasa najiuliza leo wanafundishwa nini cha ziada kiasi kuwekwa mashule mpaka saa 1 usiku, Jumapili wanakwenda shule pia. Matokeo yakitoka na uoza ule ule.
 
hili jambo huwa naliwaza na kulisema kila siku. Nimesoma msingi miaka ya 90. Tuliingia shule saa 2 mpaka saa 8 na hii ilikuwa ni Jumatatu mpaka Ijumaa, darasa la kwanza mpaka la saba.

Sasa najiuliza leo wanafundishwa nini cha ziada kiasi kuwekwa mashule mpaka saa 1 usiku, Jumapili wanakwenda shule pia. Matokeo yakitoka na uoza ule
 
1. Kila asubuhi watoto eti wanafanya mitihani. Mtoto anawajibika kuripoti shuleni saa 12 asubuhi na kuanza mtihani saa 12.30 asubuhi. Ada shiling 200 kila asubuhi.

2. Jumamosi mtihani. Toka saa 1 mpaka saa 7 mchana. Ada ya mtihani shilingi 1,200. Hii ndiyo utaratibu kutoka ofisini kwako? Au ni invention ya walimu kwamba kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake?

3. Mtoto anarudi saa 11 jioni. na break ya saa nne ni kama haipo maana wanapewa dakika 5 kwenda kujisaidia. Shule inafungwa saa ngapi?

4. Wazazi tujue shule inafungwa saa ngapi tuweze kuwafuatilia watoto vema kama wanafika nyumbani inavyotakiwa.

OMBI: Waacheni watoto Jumamosi wapumzike na kuwasaidia wazazi.
Kuna shule inaitwa Diamond na mwenzie Olympio. Hawa jamaa mpaka jumapili watoto wa darasa la saba wanakwenda shule na wasipoenda walimu wanapiga kama wanapiga mwizi. Ukihoji kama mzazi unaambiwa ndio tushapanga kama shule.

Serikali kuna haja wakaja na kauli moja kuhusu swala la elimu na masaa ya masomo. Tunakoelekea watoto watakuwa hawapati hata muda wa kulala.
 
Tanga watoto wengi vichwa ngumu aka uelewa hafifu so walimu wanahitaj nguvu ya ziada ili shule ipate matokeo mazuri,waacheni walimu wapige kazi,motisha ndogo hiyo ni haki yao 😅nb;ufaulu mkoa wa Tanga uko chini miaka chungu tele🏃
1. Kila asubuhi watoto eti wanafanya mitihani. Mtoto anawajibika kuripoti shuleni saa 12 asubuhi na kuanza mtihani saa 12.30 asubuhi. Ada shiling 200 kila asubuhi.

2. Jumamosi mtihani. Toka saa 1 mpaka saa 7 mchana. Ada ya mtihani shilingi 1,200. Hii ndiyo utaratibu kutoka ofisini kwako? Au ni invention ya walimu kwamba kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake?

3. Mtoto anarudi saa 11 jioni. na break ya saa nne ni kama haipo maana wanapewa dakika 5 kwenda kujisaidia. Shule inafungwa saa ngapi?

4. Wazazi tujue shule inafungwa saa ngapi tuweze kuwafuatilia watoto vema kama wanafika nyumbani inavyotakiwa.

OMBI: Waacheni watoto Jumamosi wapumzike na kuwasaidia wazazi.
 
Katika saikolojia kuna kitu kinaitwa attention span hicho ndo kinatofautisha kizazi cha sasa na zamani kwani kizazi cha zamani walikuwa wanatumia muda mchache kujifunza na kuelewa kwani attention span yao ilikuwa kubwa ila watoto wasasa wanajifunza kwa wakati mwingi na nguvu kubwa sababu attention span yao ni ndogo.
 
Tanga watoto wengi vichwa ngumu aka uelewa hafifu so walimu wanahitaj nguvu ya ziada ili shule ipate matokeo mazuri,waacheni walimu wapige kazi,motisha ndogo hiyo ni haki yao 😅nb;ufaulu mkoa wa Tanga uko chini miaka chungu tele🏃
Ndiyo policy ya Elimu? haya ya kujitungia walimu is not acceptable! kama hawawezi kufudisha Monday to friday, basi waache.
 
Back
Top Bottom