Afisa Elimu Jiji La Tanga, wazazi tunaomba ufafanuzi wa hii michango ya fedha

Afisa Elimu Jiji La Tanga, wazazi tunaomba ufafanuzi wa hii michango ya fedha

H
li kwa maana ya utamaduni wa kupenda shule kwa watoto na Jamii husika kuzingatia elimu uko chini so lazima zeros zije,upo nyonyo?😅
Hebu Soma Tena ulichoandika
 
Mim si mkazi wa Tanga ila nimebahatika elimu yangu ya advance nimeipatia huko so nina idea kidogo na mazingira ya kielimu ya mkoa wa tanga.
Point kubwa kubwa inayofanya shule nyingi kuwa na matokeo mabovu ni maisha ya tanga kwa ujumla na bila ya kuwa na akili ya ziada elimu ya chuo kikuu ningeisikia kwenye radio
According to my research watoto wengi wakitanga wameendekeza mapenzi, vigodoro, baikoko, uvivu na vingine kama hivyoo
 
Mtoa mada Acha ubahiri toa hizo sumuni za mawazo mwanao asome,,,, nakushauri mkiitwa kwenye kikao cha wazazi usithubutu kuongea Hiki umekiongea hapa,,,, ukifanya hivyo watampeleleza mwanao hadi wamjue baada ya hapo wataanza kumtenga na kumuombea mabaya ili afail uadhirike,,,,, HIVI UNAMJUA MTU MWEUSI WEWE?????
 
Mim si mkazi wa Tanga ila nimebahatika elimu yangu ya advance nimeipatia huko so nina idea kidogo na mazingira ya kielimu ya mkoa wa tanga.
Point kubwa kubwa inayofanya shule nyingi kuwa na matokeo mabovu ni maisha ya tanga kwa ujumla na bila ya kuwa na akili ya ziada elimu ya chuo kikuu ningeisikia kwenye radio
According to my research watoto wengi wakitanga wameendekeza mapenzi, vigodoro, baikoko, uvivu na vingine kama hivyoo
Asante mkuu kwa kutupa mfano hai,we zonda majibu ya quote yako haya hapa 🙏naomba pia usiniquote Tena kwani tumepishana Sana uelewa,bye🙏🏃
 
Walimu wanafanya kwa maelekezo ya wakuu wao na sio kwamba wakuu hawaoni ila ndo wanaona ni njia sahihi ya kusaidia kizazi chetu cha mabroiler
Basi ngoja tuiforward kwa Mkenda, Waziri
 
1. Kila asubuhi watoto eti wanafanya mitihani. Mtoto anawajibika kuripoti shuleni saa 12 asubuhi na kuanza mtihani saa 12.30 asubuhi. Ada shiling 200 kila asubuhi.

2. Jumamosi mtihani. Toka saa 1 mpaka saa 7 mchana. Ada ya mtihani shilingi 1,200. Hii ndiyo utaratibu kutoka ofisini kwako? Au ni invention ya walimu kwamba kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake?

3. Mtoto anarudi saa 11 jioni. na break ya saa nne ni kama haipo maana wanapewa dakika 5 kwenda kujisaidia. Shule inafungwa saa ngapi?

4. Wazazi tujue shule inafungwa saa ngapi tuweze kuwafuatilia watoto vema kama wanafika nyumbani inavyotakiwa.

OMBI: Waacheni watoto Jumamosi wapumzike na kuwasaidia wazazi.
Waziri wao alishatoa maelekezo labda kiburi chao walimu
 
Waziri wao alishatoa maelekezo labda kiburi chao walimu
basi nitaliforward kwa waziri! Wawaache watoto wasome muda uliopangwa na serikali. kama kufeli wacha wafeli
 
Tatizo lingine shule za msingi Zina uhaba mkubwa sana wa walimu
Shule nyingi Zina walimu kuanzia 4 Hadi 6.wakati shule Kuna darasa la awali Hadi la Saba.
 
Wazaz wa Tanga inaonekana wapumbavu sana ndiyo maana elimu kwenu ni duni sana, walimu wanataka kuwasaidia watoto wenu kwajili ya maisha ya baadae nyie mnaona wanawaonea na kuwala pesa... Upumbav mtupu ndio maana mkoa umejaa mashoga kila mtaa...
 
Wewe acha hizo mambo! Nadhani kila mtu hapa amesoma, hamna cha kusaidia wala cha rafiki yake na kusaidia, mtoto anatakiwa kupumzika siyo kila mara anasoma, we angalia ule muda rasmi tu wa wanafunzi kuwa shuleni yaani saa mbili hadi saa tisa na nusu, unakuta wanafunzi wengi wamepiga usingizi, sasa uje uwasomeshe mpaka saa 12 jioni kuna wa kuelewa hapo!! Acheni utani
Kama umemuelewa mtoa mada ni analalamika kihusu hela ndio maana ameweka na gharama.
Halafu usidanganyike kuna uhusiano wa karibu sana kati ya muda wa kusoma na kufaulu.
Kwa akili za watoto wa kizazi hiki bila kuwasimamia kusoma hawawezi kufaulu watoto wanaanza shule wadogo.

Usifanamishe kizazi chetu na hiki. Sisi tulianza shule na miaka 8 hadi 9, siku hizi watoto miaka 6 wanaanza shule. Siku hizi watoto wanamaliza form four miaka 16 hadi 17 zamami umri huo wengine walimaliza la saba.

Halafu swala la ufaulu ni pana sana serikali mtoto wako alipata division 4 point 32 amefaulu na yule aliyepata division One ya point saba amefaulu kwa hiyo ni jukumu lako mzazi mtoto wako afaulu kwa ufaulu upi?
 
1. Kila asubuhi watoto eti wanafanya mitihani. Mtoto anawajibika kuripoti shuleni saa 12 asubuhi na kuanza mtihani saa 12.30 asubuhi. Ada shiling 200 kila asubuhi.

2. Jumamosi mtihani. Toka saa 1 mpaka saa 7 mchana. Ada ya mtihani shilingi 1,200. Hii ndiyo utaratibu kutoka ofisini kwako? Au ni invention ya walimu kwamba kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake?

3. Mtoto anarudi saa 11 jioni. na break ya saa nne ni kama haipo maana wanapewa dakika 5 kwenda kujisaidia. Shule inafungwa saa ngapi?

4. Wazazi tujue shule inafungwa saa ngapi tuweze kuwafuatilia watoto vema kama wanafika nyumbani inavyotakiwa.

OMBI: Waacheni watoto Jumamosi wapumzike na kuwasaidia wazazi.
Somesheni watoto na jitoeni kwa watoto wenu ili nao waje kufanya kazi za maana na sio UALIMU, POLISI AU JWTZ.

Watanzania daraja la kwanza wote wanawaandaa watoto wao kufanya kazi BOT, TRA, TPA, na kwingineko kwa kusimamia Elimu ya watoto kwa hali na mali.

Watanzania daraja la kwanza KAMWE huwezi kumkuta mtoto wake huko kwa michango ya 200 au 1200 unayolalamikia. Watoto wao huwalipia 12M hadi 60M kwa mwaka ili kesho amuongoze mwanao mwenye Elimu ya kuungaunga.

NDUGU MZAZI HIYO 200 WALIMU WANAKUSAIDIA WEWE ILI ANGALAU MWANAO APATE HATA FOUR YA 28.
 
hili jambo huwa naliwaza na kulisema kila siku. Nimesoma msingi miaka ya 90. Tuliingia shule saa 2 mpaka saa 8 na hii ilikuwa ni Jumatatu mpaka Ijumaa, darasa la kwanza mpaka la saba.

Sasa najiuliza leo wanafundishwa nini cha ziada kiasi kuwekwa mashule mpaka saa 1 usiku, Jumapili wanakwenda shule pia. Matokeo yakitoka na uoza ule ule.

Naomba niongezee: Tena miaka ya nyuma na sasa ukifananisha hatua ya maendeleo ya ki teknolojia na ukuaji wa mbinu bora zaidi za kufundishia sikutarajia mtu atumie masaa lukuki kufundisha mtoto wa kizazi hiki, kwa upande mwingine watoto wa miaka hii wengi wamechangamka na wako exposed hivyo hata namna ya kuwafundisha inahitaji mikakati bora.

Inawezekana kuna mambo mengi nyuma ya pazia ambayo yanaendelea hapo alipotaja mleta hoja maana ni taarifa ya upande mmoja, ila kwa maana ya nadharia ya kufundisha watoto wa shule ya msingi hicho kinachofanyika kama ni kweli basi kinaacha maswali!
 
Naamini na wewe umesoma, je mtoto anaweza kufundishwa masaa 10 mfululizo akawa anaelewa?

Je o-level kuna content ndefu kiasi gani kumfanya mwanafunzi aende shule saa 12 na kurudi saa 12?

Makundi hatarishi ni mazingira unayomlea mwanao,
Achana na kusoma kwangu.. hakuna mtoto anayefundishwa masaa Kumi.. kuna ratiba ambayo inamapumziko na watoto wanabaki shule na wanakula chakula shuleni....

Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
 
Kuna mwalimu anaitwa yusuph pangoma yule anayetrend
Swali langu ni je na zamani mlikuwa mnasoma kama anavofundisha yule mwalimu
Yule jamaa amezidisha mbwembwe mno, ule sio ufundishaji unaotakiwa
 
Wazaz wa Tanga inaonekana wapumbavu sana ndiyo maana elimu kwenu ni duni sana, walimu wanataka kuwasaidia watoto wenu kwajili ya maisha ya baadae nyie mnaona wanawaonea na kuwala pesa... Upumbav mtupu ndio maana mkoa umejaa mashoga kila mtaa...
Jibu hoja, matusi yanini? Umetukana sana wartu wa hapa, I guess it might be you are one those benefiting from this stupid type of timetable!
Mwisho basi kama kutukana ni kwema nami nasema acha matusi, inawezekana ukoo wenu wote m-mashoga!
 
Jibu hoja, matusi yanini? Umetukana sana wartu wa hapa, I guess it might be you are one those benefiting from this stupid type of timetable!
Mwisho basi kama kutukana ni kwema nami nasema acha matusi, inawezekana ukoo wenu wote m-mashoga!
Sawa mke wangu mtam
 
Back
Top Bottom