SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
- Thread starter
-
- #61
Ila sure...Ila bro ukisema mambo ya Mauritius ni nchi ndogo Ile na kisiwa. Huwezi fananisha maendeleo yake na Tanzania hata kwa GDP. Yaani si kama Rwanda.....Mauritius ni Africa lakini mkuu. Hara Hivyo ubinafsi kama huu wa CCM, ZANU PF, ANC, FRELIMO, MPLA, RPF, NRM na WA namna hiyo nchi hIzi zinatoboa vipi?
Tumekalia wizi wa chaguzi. Wananchi hawana furaha.
Tunajikita vipi kwenye uzalishaji?
Nani kawajibishwa kwa safari haram ya Slaa Dar-Mbeya-Dar. Hasara hiyo nani aliwajibishwa nayo?
😂So wakipewa wengine unadhani itabadilikaKwa Tanzania, shida ni CCM
Very true ..na innovation haiwi encouraged...huko nchi za wenzetu wanavumbua kitu sisi tunachofanya ni kuvumbua vitu vya 1980 hukoElimu ya maarifa imetupiliwa mbali, watu wapo busy kujaza mavyeti yasiyoweza kuwasaidia.
Very true...so changamoto ni dini...Ila waarabu pia Wana dini na wameendelea(even though ni mafuta and all)... Lakini wazungu hao hao Wana dini pia... Ila kweli tumejenga emphasis kubwa kwenye utamaduni wao kuliko maendeleo yetuWakati tunatawaliwa na wakoloni walituaminisha Kila kitu chetu ni kibaya kuanzia dini mpaka utamaduni wetu. Tofauti na Asia waliendelea kutumia tamaduni zao na dini zao za asili.
Sisi mpaka Sasa hivi mifumo ya Manisha yetu imejengwa kwa kuwategemea wakoloni tofauti na wao.
😂Maombi na kazi ....Wizi ni ngazi ya familia hadi juu Kila mmoja kwa level yake.Mwingine atauza nchi,baba anaiba ofisin analeta home,mama nae anampiga baba apate za vicoba,dada wa kazi nae anapiga za matumizi huku anawashindisha watoto wa boss viporo ili atume kijijini kwa mzazi wake amlimie mazao, mzazi kijijini nae anakula bata kilabuni ye ndo boss akitamba kwamba ye ndo anajua kuzaa binti anafanya kazi mjini.
Tufanye maombi tu kuondoa hii roho ya upigaji
Ndio...lakini hatuko tayari kuwa na sheria ya kuua. Mbona kipindi Cha magu mambo yalikuwa yanaenda tuWachina ni corrupt wakiwa Africa kwa sababu ya sheria loose.
China ukila rushwa utoliona jua milele,ulaya,marekani unapotea kabisa.
Wachina wakija Africa wanafunga ndoa na watawala wa kiafrika kuwaibia waafrika kwenye mikataba, uzalishaji, ujenzi nk.
Wapo radhi kujenga barabara chini ya kiwango kulingana na pesa yenu.
Watu kama Magu utokea kila baada ya miaka 30Ndio...lakini hatuko tayari kuwa na sheria ya kuua. Mbona kipindi Cha magu mambo yalikuwa yanaenda tu
Tuangalie sehemu moja tu, kujitambua.Jamani tuongee serious, nchi Kama India, Singapore, Malaysia, Indonesia zimepata uhuru almost the same time na nchi za kiafrika. Cha ajabu wenzetu wameendelea Sana halafu sisi bado tuna umaskini wa kutupa.
Afrika jamani shida ni Nini?
Hapana😂So wakipewa wengine unadhani itabadilika
Waarabu walituletea dini, dini waliyonayo ni asili yao.Very true...so changamoto ni dini...Ila waarabu pia Wana dini na wameendelea(even though ni mafuta and all)... Lakini wazungu hao hao Wana dini pia... Ila kweli tumejenga emphasis kubwa kwenye utamaduni wao kuliko maendeleo yetu
Na wakitokea wanakaa miaka 6Watu kama Magu utokea kila baada ya miaka 30
Walafi wanawamalizaNa wakitokea wanakaa miaka 6
Alright kiranga hapo umeongea India tu...what about Indonesia na Malaysia na hata SingaporeTuangalie sehemu moja tu, kujitambua.
Wahindi wana maandishi yao, wana dini yao, wana falme zao, wana kalenda yao, kabla ya wahindi dhana ya 0 ilikuwa haitumiki katika hesabu, wao ndio wameiongeza, wameanza haya kwa maelfu na maelfu ya miaka.
Ukoloni umekuja kuwaingilia kidogo tu katika mambo yao hayo, sasa umewaacha, wamerudia walipoishia wakajiongeza na mambo ya dunia ya leo.
Chukua Waafrika walio Tanzania ya leo.
Dini yao ya asili imeandikwa katika kitabu gani? Maandishi yao ya asili ni yapi? Kalenda yao ya asili ni ipi? Falme zao kubwa za miaka maelfu na maelfu ziko wapi? Wamechangia nini kipya katika literature ya dunia, sayansi, falsafa?
😂Na kutojielewaAfrika ubinfsi unatukwamisha
So solution ni Nini haswa.Hapana
Tunahitaji kuanza upya ndugu yangu
Tukubalianr 60yrs ni miaka ya kijinamizi na ushetani mwingi.
CCM tuisamehe lakini ikae pembeni
Watanzania wapewe kipaumbele kwanza ndipo vyama vije
Hamna kitu Kama ngozi ya laana hapo unapromote discrimination na kutojiamini..mbona south Africa wanaweza,Uafrika ni Laana.
Uafrika hasa utanzania ni laana.
Ngozi nyeusi ina laana ya milele.