Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Dini ni utumwa wa fikra kwa waafrika wengi.Okay mr Kiranga so solution ni kuondoa dini(which is impossible kwa Africa na unajua Hilo...) And dedollarization..
Corruption na uvivu. Nikiwaambia waafrika sisi ni wavivu namaanisha ni wavivu. Kama watanzania ndiyo komesha.Kwa kweli ...Lumumba aliongea ukweli. So issue kubwa ni corruption, wenzetu wapo serious Sana na kuondoa rushwa
Rangi ndio tatizoJamani tuongee serious, nchi Kama India, Singapore, Malaysia, Indonesia zimepata uhuru almost the same time na nchi za kiafrika. Cha ajabu wenzetu wameendelea Sana halafu sisi bado tuna umaskini wa kutupa.
Afrika jamani shida ni Nini?
Mbona uarabuni kama Saudi Arabia wanaendekeza sana dini tena kwa siasa kali lakini wameweza kuwaendeleza raia wao?Dini ni utumwa wa fikra kwa waafrika wengi.
Badala ya kufanya kazi wana amini eti Mungu atatenda, Mungu ata saidia au kwamba kuna kudra za mwenyezi Mungu.
Kitu ambacho hakipo.
Viongozi wa serikali badala ya kuwa jibika ipasavyo, Wana omba eti viongozi wa dini wawa ombee na kuombea taifa!!!!
This kind of Mentality, ndizo zina zalisha viongozi wa hovyo na wabovu.
Hivi CCM kuna mtu mwenye akili kweli ?Rangi ndio tatizo
Waafrika ni wabishi, wavivu halafu ni wezi sana. Kuna kitu tunaita ''ujanja'' lakini kumbe ni upumbavu. Mtu corrupt anaitwa mjanja. Mimi ningefurahi sana kama tungeajiri viongozi wetu kuitoka nchi zilizoendelea. Urais ufanyiwe usaili, tuchague mmoja kutoka eg Sweden, tumuombe aje na timu ya mawaziri na nafasi nyingine nyeti waje kutuongoza.So wat should be done
MBS kila siku anapunguza makali ya dini huko Saudia.Mbona uarabuni kama Saudi Arabia wanaendekeza sana dini tena kwa siasa kali lakini wameweza kuwaendeleza raia wao?
Kama nikuajiri maafisa kutoka nje basi hizi( China, Japan, Korea, India ) ndio ziwe priority waje wanyooshe watu na mistari iliyo pinda maana tuna upuuzi mwingi sanaWaafrika ni wabishi, wavivu halafu ni wezi sana. Kuna kitu tunaita ''ujanja'' lakini kumbe ni upumbavu. Mtu corrupt anaitwa mjanja. Mimi ningefurahi sana kama tungeajiri viongozi wetu kuitoka nchi zilizoendelea. Urais ufanyiwe usaili, tuchague mmoja kutoka eg Sweden, tumuombe aje na timu ya mawaziri na nafasi nyingine nyeti waje kutuongoza.
Mkuu,Hahaha Mr this is a conspiracy bana I don't think the system inafanyia blacks hivi kweli...
Sababu kubwa ni uchu wa viongozi na akili finyu bila kusahau nidhamu ya uoga TZ included as the firstJamani tuongee serious, nchi Kama India, Singapore, Malaysia, Indonesia zimepata uhuru almost the same time na nchi za kiafrika. Cha ajabu wenzetu wameendelea Sana halafu sisi bado tuna umaskini wa kutupa.
Afrika jamani shida ni Nini?
Tuna changamoto nyingi sana ambazo inabidi tuzitatue ambazo zinatuathiri na kuonekana hatuja kamilikaTatizo ni kwamba maoni haya ya kuisaidia Afrika yamezungumzwa sana, yana zungumzwa sana kila mara na watu mbalimbali, Lakini Nothing happens.
Kina profesa Lumumba na watu wengine wengi wamesha toa semina sana, piga kelele sana za kuwahimiza viongozi wa Afrika kubadilika, wamehubiri vya kutosha kuhusu kuibadili Afrika iwe ya maendeleo, Lakini Hakuna hata dalili ya kubadilika.
Utofauti wa mwafrika na nyumbu ni mdogo sana.
Labda kama Evolution ina endelea waafrika wanaweza kubadilika na kuwa binadamu kamili.
Lakini ni kama vile waafrika ni "incomplete human beings"
Ndio maana yule balozi wa Romania nchini Kenya ali wafananisha waafrika na Tumbili.View attachment 2731601
Tuige North Korea. Wauwawe kwa kupigwa bomu kifuani.Mbona wazungu hawakati wezi mikono...hi sio point nzuri...sijapenda
Tatizo la hawa jamaa ni corrupt. Scandinavian countries is the best.Kama nikuajiri maafisa kutoka nje basi hizi( China, Japan, Korea, India ) ndio ziwe priority waje wanyooshe watu na mistari iliyo pinda maana tuna upuuzi mwingi sana
Bandari ya Dar es salaam hata isingekuwepo kusimgezuia nchi zote landlocked zinazotuzunguka zisipate mizigo kwa Bei rahisi.😅Sisi si tuna bandari
Kwani tatizo la corruption eg Tanzania ni watu kupewa adhabu ndogo? Hell NO! Tatizo letu ni kuwa watu corrupt hawaingii kwenye mkono wa sheria kabisa au wanakamtwa wale wadogo wadogo kabisa.Tuige North Korea. Wauwawe kwa kupigwa bomu kifuani.
Very weak argument, nasema very weak kwa sababu Tanzania rasilimali zipo, wananchi wengi tunaleta janja janja kwenye elimu, na viongozi wao ndo wameshika mpini kabisa kutudidimiza.( Na bado tumewashikiliantu)Hakuna watu corrupt kama wachina popote pale ie kwao au nje ya kwao. Ila ni wachapa kazi.
Singapore, Thailand, Indonesia na Malaysia ni nchi ambazo zipo maeneo strategic hasa the strait of Malacca.
Southern China Sea kupitia strait of Malacca, inapitisha 5.7 Trillion worth of trading goods na hizo nchi zinachukua tax kutoka nchi nyingi, ikiwemo USA. hiyo income ni sawa na kuwa na mafuta.
Mkuu hata ukiwa corrupt vipi, thats a lot of money for small countries kama hizo, lazima kutakuwa na maendeleo. Waafrika hatuna biashara za kimataifa, labda Suez canal ambayo nayo inaipa sana hela Egyp.
Mifano mingine ni Panama canal na Strait of Hormuz kwa Panama na Iran.
Kuna nchi nyingine zimebarikiwa tu, zipo kwenye strategic areas.
Hata kwao, hata Europe na USA Kuna corruption kubwa sana.Nchi ikiwa na corruption kiwango cha juu haiwezi endelea lazima ianguke kiwango cha corruption kilichopo China kinathiriwa na population kubwa waliyo nayo.
Kiwango cha corruption kilichopo Singapore yenye majority Han Chinese kipo chini sana China na Singapore zina sheria kali sana za ndani katika mambo mengi mfano corruption adhabu zake ni kubwa sana hivyo corruption ni jambo la hatari sana inside China and Singapore.
Hawa watu wanafanya sana corruption kwetu huku kwa sababu sisi tunepanda sana shortcuts