Afrika tutapata maendeleo endapo tutawapa wazungu nafasi ya Urais na Mawaziri

Nawaangalia mnakokwenda bado kidogo mtasema wake zenu wapewe watasha!
Kama watazaa watoto wenye akili kama za Makonda ni bora kumpa mtasha akusaidie. I am serious! Kuzaa mtoto mwenye akili kama za Makonda ni laana!
 
Kuna nchi zilipitia masaibu kuliko ya utumwa na wako mbele... Ni suala la bidii ya kazi na uadilifu tu. Nchi yenye viongozi wanafanya usanii wa kutembea kwa punda na ngamia maendeleo yatatoka wapi?
 
[emoji3][emoji3][emoji3] kwamba kabla ya interview anauliza kuna ulaji hapa?
 
Mkuu maprofesa wenyewe waliotakiwa kuonesha maajabu ili wathibitishe unachoongea si ndo hawa wakina Kabudi na Lipumba?
Elimu bora kwa kila MTANZANIA, Watanzania wote wakielimika hatutoona upuuzi tena Mkuu.

TUNAPELEKESHWA KWASABABU ASILIMIA KUBWA YA WATANZANIA HAWANA ELIMU WALA UFAHAMU WA HAKI ZAO.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
BILA Shaka we NI mzungu.huwa cpendi kutukana,Acha upumbavu.nyie mmeshindwa kuongozana?Afrika tunahitaji watu wenye akili kichwani sio vichwa box.hatuitaji mzungu pumbavu nnyie.
Mkuu ina maana tangu uhuru hatujapata hao wenye akili? Mfano nchi yetu tu miaka 60 ya uhuru ni kipindi kirefu sana lakini hatuna uelekeo wowote kama taifa
 
Acheni kulalamika.

Mmeshaamua kutawaliwa na ccm, kwa hiyo kaeni kwa kutulia
 
Unachosema ni kweli mkuu,nipo hapa SA,wazungu walijenga hii nchi,ila tunachofanya ngozi nyeusi ni aibu
 
Elimu bora kwa kila MTANZANIA, Watanzania wote wakielimika hatutoona upuuzi tena Mkuu.

TUNAPELEKESHWA KWASABABU ASILIMIA KUBWA YA WATANZANIA HAWANA ELIMU WALA UFAHAMU WA HAKI ZAO.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Hata wenye elimu bado mkuu. Vetting yetu ya kupata viongozi ni mbovu sana. Fikiria mtu kama mwana fa zaidi ya umaarufu wake nini kingine kimempa uongozi? Mtoa mada ana hoja, binafsi nina uhakika kabisa tungemuacha muingereza atutawale leo hii tungekua kwenye hatua nzuri lakini angalia leo nchi ina miaka 60+ ya uhuru na hakuna uelekeo wowote kama taifa.
 
Mtu alie elimika ni ngumu sana kumtawala kiboya.

ELIMU BORA KWA WOTE NDIO SULUHU YA HILI TATIZO NA SI VINGINEVYO.

Yangu ni hayo tu!

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Hii mijadala inaonyesha jinsi Mwafrika alivyokata tamaa mimi nadhani solution ni tubalishe Mindset zetu tu.
 
Black people ni shida tuongozwa na viongozi wenye uwezo mdogo na wanao ongozwa nao hatujitambui sasa angalia hata taasisi kama mashule walio jenga wazungu yapo strong mpaka leo fuatilia sasa shule walio jenga wabongo zimechoka issues ni kwamba kabisa wazungu wangerudi Africa juzi nimesikitika karne hii kuna madam kapata ajari wakampeleka hospital hata huduma ya kwanza hawana mpaka akafia hapo daaaah
 
Uko sahihi
 
Kweli

Waje hao watu wanaoweza kuvaa jeans moja mwaka mzima wao na kazi
Hawa wakwetu ni mashindano ya kuvaa tu na akiwa mwanamke ufundi ni kuonyesha mitindo ya vilemba tu
 
Huoni kuchukuliwa kupelekwa utumwani ni dalili ya kuzidiwa??
 
[emoji3][emoji3][emoji3] kwamba kabla ya interview anauliza kuna ulaji hapa?
Yaani imetokea kwenye kampuni ya mshkaji na mdogo wake alikuwa amekaa na wanaosubiri interview
Akaja la kwanza kasalimia akasema vipi bado?
Kuna ulaji lakini humu
Jamaa hakupata kazi alifukuziwa getini 😄 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…