Afukuzwa kazi ya Umeneja TRC kwa kumkosoa Rais Samia kuhusu tozo kwenye miamala ya simu na kukusanya mapato

Afukuzwa kazi ya Umeneja TRC kwa kumkosoa Rais Samia kuhusu tozo kwenye miamala ya simu na kukusanya mapato

Na nidhamu ya uoga huzaa taifa la mazezeta
Ukimdharau mwajiri wako anayo haki ya kukupiga chini. Tumesahau enzi ya JPM haya mambo yalikuwa hayaishii kwa wafanyakazi wa serikali peke yao, sisi wa humu mitandaoni kuna kipindi ikabidi tutumie VPN kuwasiliana.

Siku zinakwenda kasi, watanzania tunasahau upesi sana.
 
Kwani mkataba wake wa ajira unasemaje?
Huyu atashinda ila haki atakosa.
Bosi wake Kadogosa atakuwa anazo taarifa kamili. Mambo ya kuchat katika group la familia na yale ya vyuoni yeye nadhani kaenda kuyaandika katika group la viongozi wa serikali kasahau mambo ya miiko ya kikazi.
 
Hii ni hatari sana. Ina maana kutoa maoni ni kosa? Ibara ya 18 ya katiba JMT inasema vipi?


TAMKO LA TRC
Mkuu wa Kitengo cha Habari na Uhusiano TRC, Jamila Mbarouk alipoulizwa kuhusu suala hilo amesema: “Kwa sasa sijapata taarifa rasmi ya suala hilo, nalifanyia kazi kisha nitatoa taarifa rasmi,” - Jamila
Rais ajaye atamteua kuwa mfuatiliaji wa haki za wastaafu. ili apiganie haki za bibi Tozo.
 
Hii ni hatari sana. Ina maana kutoa maoni ni kosa? Ibara ya 18 ya katiba JMT inasema vipi?


TAMKO LA TRC
Mkuu wa Kitengo cha Habari na Uhusiano TRC, Jamila Mbarouk alipoulizwa kuhusu suala hilo amesema: “Kwa sasa sijapata taarifa rasmi ya suala hilo, nalifanyia kazi kisha nitatoa taarifa rasmi,” - Jamila
Hata Ndugai alifukuzwa baada ya kusema 2025 watu waamue kati ya huyu bibi tozo na asiyekuwa na haya matozo.
 
Nidhamu kazini na mahali popote pale utakapo kuwepo Ni Jambo la muhum sana. Out of that utateseka Sana.
 
Yule mwanatenesi wa kimataifa wa kichina yupo na alitoka hadharani kupinga hayo mashataka unayoyazungumzia wewe na wale wote wa magharibi waliozungumza hizo habari.
Wewe wasema na je mbona hajasema ame retire sababu mpaka points zake hazitatolewa kwenye mfumo kama ka retire.
 
Hata Ndugai alifukuzwa baada ya kusema 2025 watu waamue kati ya huyu bibi tozo na asiyekuwa na haya matozo.
Hivi Ndugai nae mnamhurumia?
Nina sababu mbili zakutomuonea huruma huyo bwana na napenda kukushawishi uungane NAMI.

1: Mahali alipo semea hapakua sahihi .
Ndugai alikua sipika,
Kwakanuni walizo jitungia hahojiwi namamlaka yeyote kwa maneno alio yasema akiwa Bungeni.

Je ni wazimu gani walimupelekea kutohoji hiyo mikopo ndani ya mjengo ambako angepewa majibu ,pengine yasio lizisha nasisi wapiga kura tungepima nakuchekecha.

Pia bunge kama chombo lingepata nafasi ya kujadili na kushauli.

Ikumbukwe Bungeni yumo waziri wa fedha na mwana Sheria mkuu.

2:Ndugai kama kiongozi mkuu wa wa bunge , alikua na nafasi ya kuitisha kura ya kutokua na Imani na Rais.
pengine asingefanikiwa kufika kwenye kipengere Cha kupiga kura, kulingana najinsi chama chenyewe kilivyo jawa nawatu woga hata nje yahuyo anae pigiwa kura.
Bila kujali angeondolewa kati kahatua ipi kabla ya kamilisha zoezi tajwa, angeheshimika kwangu nawapenda Democrasia Duniani .

Kitendo chakwenda kujifungia Kongwa nawale walio itwa wazee nikitendo Cha uoga na unafiki, hakistahili hata kuonewa huruma.
 
Jamaa kajikaanga mwenyewe...kama tuhuma zilizotajwa ni za kweli
 
Kitu pekee ninachojua JF ni jukwaa la watu waelewa sana,ndio maana JF inaenda na GT! Ila sasa naona kama kuna tatizo,sehemu kubwa ya wachangiaji hapa lawama ni kwa serikali na rais,Yaan hakuna gt mmoja ambae kaamua kufuatilia jamaa hayo mnayoita maoni aliyatoa kwa lugha gani! Hivi mfano ukiongea au kuandika kistarabu tu maoni hayafiki hadi utumie kauli alizotumia huyu mwamba? Kuna ambao tunajua ni kauli gani alizitoa? Mi nafikir ifike mahali tuchangie "nyuzi" huku tukifikiria na kukishughulisha kichwa! Kuna uzi umetuita watanzania mapoyoyo kutoka kenya watu wamemwaga povu la kutosha sasa kwenye uzi huu nafikiri tukubali tu kuwa upoyoyo upo
 
Back
Top Bottom