Afukuzwa kazi ya Umeneja TRC kwa kumkosoa Rais Samia kuhusu tozo kwenye miamala ya simu na kukusanya mapato

Afukuzwa kazi ya Umeneja TRC kwa kumkosoa Rais Samia kuhusu tozo kwenye miamala ya simu na kukusanya mapato

Hii ni hatari sana. Ina maana kutoa maoni ni kosa? Ibara ya 18 ya katiba JMT inasema vipi?


TAMKO LA TRC
Mkuu wa Kitengo cha Habari na Uhusiano TRC, Jamila Mbarouk alipoulizwa kuhusu suala hilo amesema: “Kwa sasa sijapata taarifa rasmi ya suala hilo, nalifanyia kazi kisha nitatoa taarifa rasmi,” - Jamila
Hv akijitetea alikua anatoa maoni yake kama raia wa kawaida na co kwa kofia ya utumishi wake haiwez muokoa,?
 
Amtafute Peter Kibatala wakafungue kesi mahakamani.Ufukuzwaji wa kihuni na kujipendekeza kwa mteuaji HAUKUBALIKI
 
Back
Top Bottom