Afunga ndoa na wanawake watatu kwa mkupuo. Jamaa atafaidi sana

Mpelekeni salamu yengayenga sisi boda boda tutamchapia.....,

Otherwise awe AHEAD OF TIME 😺😺😺😺
 
Jamaa atafaidi sana

Hujamsikiliza Target yake sio kufaidi target yake ni kubaki na mmoja wengine wakimkimbia maana mwanzo alioa mmoja akamkimbia, sasa kaona aoe watatu ili hata wawili wakimkimbia atabakia na mmoja
 
Yan wanaume hii Ndo wanaona sunna kubwa ya mtume ni kuoa tu wake weng lkn sunna zngn wala hawatilii maanani
 
Yale yale maigizo ya dokta mwaka na wakeze. Jamaa bado hana pesa ya kuwatuliza. Kati ya hao watoto 40 anaopanga 15 atakuta sio wake
 
Hiyo ndo tiba ya kufanya zina, kwasbb mda wako wote unatumka kwa hao tu.
 
Noted
[emoji3578]
Mahindi gunia 100 kwa kijijini huyu ni tajiri kwasbb anunuwi chakula hizo pesa ni za kununua nguo na maendeleo mengine 100× 120'000@= 12m uwezo wakuwatunza anao hata akiamua kila mwezi atumia 1m inatosha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…