Fallback
JF-Expert Member
- Aug 12, 2023
- 3,686
- 6,958
Sasa hapo ni wewe kuamua unatema au unamezaapigwe chini tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hapo ni wewe kuamua unatema au unamezaapigwe chini tu
Inakera sana hii ex anatunukiwa kuliko mume muhusika,Ndoa nyingi mtoto wa kwanza ni wa ex
Wewe mkeo vipi sio ndio walewale?Kitu watu wengi hawakijui ni kwamba, Mwanamke/Mwanaume asiekuwa na hofu na Muumba ataendelea kuufanya ushetani maisha yake yote.
KABLA HAMJAOANA HAKIKISHENI KUWA MNACHUNGUZANA TABIA, NA IMANI ZENU KAMA ZIPO THABITI KWA MUUMBA.
MALAYA NI MALAYA TU! USIOE/KUOLEWA NA MALAYA UTAJUTA!
Sijajua imetokea mchi gani nafikili kati ya congo au west africa kule.
Afu Ex wake inasemekana aliudhulia kwenyw ndoa.
View: https://youtu.be/ezzvU60-B9w?si=N9Q1C1AJn2tg1eBw
Nguo za zamani aitupwi.
Chakushangaza mbona ex wake hakumchumbia😳😳😳.
Mshikamawili moja umponyoka.
Mkuu 😂Wewe mkeo vipi sio ndio walewale?
Huyo ulienae hawamgongi huko nje?Mkuu 😂
Maisha hayapo hivyo bhana! Mimi sina Wife ila haimaanishi kuwa sitakiwi kutoa maoni kwenye jambo hili.
Nijifunze🙂Wewe unataka ujue ili ufanyaje?
Sijui watu wanatoa wapi ujasiri, akikuua je?Hii kitu ni kama fashion siku hizi, kwenda kuaga kwa ma ex
Wanawake wa hivyo wanaolewa kwasababu nyengine tofaut na sio upendo Mkuu.Wanawake wengi hasa wajinga wanatudanganya sana.
Mtu amekukula miaka hajakuoa, unapata mshikaji anakupenda na kujitoa bado una msaliti.
Nikigundua utalia hadi unaingia kaburini
Mwambie mkeo leo nataka niruke ukuta alafu mwangalie usoni ata-react vipiNijifunze🙂
Huu ujinga sifanyi nna Mambo mengi ya kufanya sio kuchunguzana na mtoto wa mtu ambae tumekulia mazingira tofauti, ukichunguza sana hauoiUshauri : Kabla hujaoa hakikisha unamchunguza mwenza wako vizuri.
😄😄 Kuna kaukweli.Ndoa nyingi mtoto wa kwanza ni wa ex
Ujinga kumchunguza mtu kabla ya Ndoa?Huu ujinga sifanyi nna Mambo mengi ya kufanya sio kuchunguzana na mtoto wa mtu ambae tumekulia mazingira tofauti, ukichunguza sana hauoi
Acha kuchunguza kilichowashindwa wenzio yaan mtu kashindikana hadi na wazazi wake kuchunguzwa utaweza wewe?Ujinga kumchunguza mtu kabla ya Ndoa?
HAYA BHANA MZEE WAKUBISHA BISHA
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Sasa mbona husemi unaogopa nini?😎Mwambie mkeo leo nataka niruke ukuta alafu mwangalie usoni ata-react vipi
Mwambie mkeo leo nataka niruke ukuta alafu mwangalie usoniSasa mbona husemi unaogopa nini?😎