Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Sasa kama sina mke?😁Mwambie mkeo leo nataka niruke ukuta alafu mwangalie usoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama sina mke?😁Mwambie mkeo leo nataka niruke ukuta alafu mwangalie usoni
Sio ka ukweli kadogo bali li ukweli mkuu😄😄 Kuna kaukweli.
Huna hata kamanzi ka kupunguzia uzito?Sasa kama sina mke?😁
Wewe ukijua inatosha.Kuandika shida kweli kweli, jifunze kuandika kwanza.
Sina😎Huna hata kamanzi ka kupunguzia uzito?
Unapiga gitaa la rizimu au solo?Sina😎
Yote😎Unapiga gitaa la rizimu au solo?
Unapaka mafuta kabla ya kupiga gitaa? Si unajua nyuzi zile zinapasua vidole bila kupaka mafutaYote😎
Wewe mbona hujibu swali umekalia mafumbo tu?😎Unapaka mafuta kabla ya kupiga gitaa? Si unajua nyuzi zile zinapasua vidole bila kupaka mafuta
Nishajibu km huna wa kumwambia fika Riverside kwanza alafu nikupe mwongozoWewe mbona hujibu swali umekalia mafumbo tu?😎
Kuna mechi leo😎... fika Riverside kwanza alafu nikupe mwongozo
Wewe fika hapo Zambezi Bar au Micasa alafu nshtueKuna mechi leo😎
Hongera sanaSio wanawake ni mwanamke ...kijana.
Mimi ni muumini wa mapenzi ya kujitoa kwa mpenzi mmoja.
Porojo zingine ziache huu ndio ukweli
Kwa nini hakumwambia wiki moja au mwezi mmoja kabla?Alienda kumuambia ex aache kumfatilia kama tu mke wa masanja alivoenda kwa yule naniliu.
Ok ntakushtua🙂Wewe fika hapo Zambezi Bar au Micasa alafu nshtue
Sawa usiniwekeOk ntakushtua🙂