BONNIE GOLD
JF-Expert Member
- Jan 27, 2021
- 414
- 805
Duuuuh!!!!!Kioo cha S7 Kwa 290k????S7 edge unapata kwa 290,000
Wakati K/Koo unapata Samsung S9, simu, sio kioo!!!
View attachment 2612920
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuuh!!!!!Kioo cha S7 Kwa 290k????S7 edge unapata kwa 290,000
Inategemea na soko la kipindi icho kaka,, kwa mfano sasa ivi kioo cha s7 unaipa kwa 180,000 mpaka 200,000..na pia inategemea na duka mana masoko yanayofautiana, pia vioo ninavyotafuta mimi ni OG.Duuuuh!!!!!Kioo cha S7 Kwa 290k????
Wakati K/Koo unapata Samsung S9, simu, sio kioo!!!
View attachment 2612920View attachment 2612921
Karibu tena kaka..Asante kwa support yako..Shukran mkuu kwa huduma,kioo kipo fresh japo kilichelewa na enjoe,maana bei niliyo ambiwa huku hii simu niliamua kuipaki
PamojaKaribu tena kaka..Asante kwa support yako..
Aisee cha Galaxy A10 bei ganiHabari wana JF,
Nimepata chimbo la kupata vioo original vya simu za samsung kutoka China, nakuagizia ndani ya siku 14 za kazi unapokea mzigo wako kwa bei nzuri kabisa.
Nicheki whatsapp 0657940974
Mbona ameeleza vizuri kabisa ni original kutoka wapi mkuu rudi usome kwa umakiniSamsung original kutoka Korea au china?