Pre GE2025 Ahmed Kombo aliyesema akitoka Yesu na Mtume Muhammad anayefuata ni Rais Samia awaomba Radhi Wakristo na Waislam!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkuu ni kweli ulisemalo, tatizo hili ni kubwa!!! Bahati mbaya machawa vinara yapo kwenye media!!! Yaani ni balaa!!!
 
Mkuu kwani kuchapia maanake nini, sio ndio kusema kule kule!!! Kwa kuchapia mtu hamsemi??? 🤣 🤣 🤣
Kuchapia ni kukosea kutamka, kutamka neno ambalo silo ulilokusudia. Kama yule mbunge aliyetamka "kuunga mkonyo hoja" tulicheka ila tulielewa alitaka kusema kuunga mkono hoja na si mkonyo.
 
Kuchapia ni kukosea kutamka, kutamka neno ambalo silo ulilokusudia. Kama yule mbunge aliyetamka "kuunga mkonyo hoja" tulicheka ila tulielewa alitaka kusema kuunga mkono hoja na si mkonyo.
🙏 Nimekusoma Mkuu!!
 
Hoja ni kwamba Je alichapia "ulimi hauna mfupa" au alikusudia kutamka kuwa Magufuli ni mungu?
Mkuu mazingira ya wakati ule, huyo Profesa alikuwa chawa wa kihindi vibaya kwa Magufuli.

Kisaikolojia haikuwa bahati mbaya, ndivyo alivyokuwa anampercieve Magufuli!!!

That guy is a learned Old man aliye badili hekima na utu wake kisa cheo!! Hukumbuki shukran yake kwa kutolea Jalalani!!
 

Mungu wake alikwisha lipokea neno lake, akamuombe radhi yeye, sisi hatuhusiki.
 
Kama Lucas mwashambwa hadi ameota kibiongo kwa kujipinda mgongo kuandika magazeti ya kusifia watawala ili naye akumbukwe.
 
Kwani kawakosea wakristo na waislam? Zile zilikuwa ni kejeli kwa Samia hivyo ndiye anayepaswa kuombwa msamaha.
Kawapa Kristo na Muhammad (s.a.w) priority halaf kafuata SSH. hiyo ni kwa mujib wa dini anayoanzisha. Lakini ukiona kimya ujue imekubalika na mhusika maana ni mojawapo ya aina ya mapambio tuliyozoea kusikia toka machawa wa Tz. Kna wkt JPM walimlinganisha na Mungu na hawakuona ni kufuru. Kuomba kwake radhi hakutuhusu, shauri yake na miungu wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…