Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

Asante mkuu. Umesomeka.
 
Hapa deni langu lmebaki sh.ngapi maana sielewiiiiiiiView attachment 1830840

Sent from my CPH2083 using JamiiForums mobile app
Jinsi nilivyo elewa hapo kwako ni kama kwangu hapa.
Disbursed amount ni deni lote toka chuoni. Sasa zile zilizoongezeka juu hazionekani.
Inawezekana wanaoanza kulipa sasa watalipa tu deni kamili bila retention fee.
 
Hapa deni langu lmebaki sh.ngapi maana sielewiiiiiiiView attachment 1830840

Sent from my CPH2083 using JamiiForums mobile app
Ni hiyo milioni tatu laki tatu na kitu.

Disbursed amount ni pesa uliyokopeshwa.

Total amount repayed ni hela uliyo lipa mpaka sasa

Total charges ni tozo zao, na hapo ndio palikua na uchawi, ulikua unakuta mamilioni hapo.

Deni lako = (Disbursed amount + total charges) - repayed
 
Shukran mkuu..nmeona..there is a big difference
Wakayi was mwendazake nilienda ofisini kwao wakaniprintia deni la milioni tisa..sasa hv nmecheki deni limepungua hadi milioni mbili.
Ni kweli kabisa, mimi nilipoliona langu kipindi cha mwendazake nilipagawa, nikatamani hata kwenda benki kukopa nimalizane nao.
 
Ok asantee asa kule kwenye salary slip inasomeka milioni 6 na kitu


Sent from my CPH2083 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mbona mi niki log in, naambiwa 'acces denied,' na security code ni kitu gani
Security code ni hayo maandishi yenye herufi na namba za ajabu ajabu, unapaswa kuyajaza kwenye sehemu ya secury code kama yanavyo onekana, herufi kubwa kwa kubwa, ndogo kwa ndogo na namba vilevile. Ni mifumo ya kiusalama ili kuzuia automated bots
 
Mungu ambariki Sana mhe.Rais...nlivoangalia tangazo la watu walioitwa kazini ualimu na afya..plus hi kitu..Nmeamini kweli Mungu amejibu..Nchi yetu sote..Tunaipenda Tanzania Tunaipenda Samia Suluhu
 
Kwa ufafanuzi huu ni kama vile hakuna kipya unless kuwe kuna maelezo ya tofauti...how come ujumlishe total charges na disbursed amount (tofauti hapo iko wapi sasa i.e. total chares & disbursed???)
 
Kwa ufafanuzi huu ni kama vile hakuna kipya unless kuwe kuna maelezo ya tofauti...how come ujumlishe total charges na disbursed amount (tofauti hapo iko wapi sasa i.e. total chares & disbursed???)
Uliziona hizo total charges kabla ya VRF kuondolewa zilikua kiasi gani??

Mimi binafsi zilikua zaidi ya milioni 7, zimeondolewa za VRF imebaki laki tatu na kitu ya loan processing fee na administratio fee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…