Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Hawa wasomi wana laptops za laki 7 mpk milioni 1, wengine wana simu janja za laki 3 mpk milioni. Yote hii ni mitaji tosha kabisa kwa kilimo. Sema Kuna kasumba miongoni mwa wasomi kwamba kilimo ni kwa ajili ya wasiosoma.Afue tu. Hamna kitu kirahis kama huna pa kuanzia wala source ya kukianzisha.
Nendeni mikoa kama Katavi huko mpunga unalimwa bila mbolea. Mahindi unaweza kulima kwa kutumia samadi peke yake. Mwanzo mgumu. Jifunzeni kuanzia chiniHapo sasa. Kwanza mbolea inavyopanda kila siku wakulima wengi watashindwa kulima tena. Na ili upate mazao mazuri mbolea muhimu. Labda wakulima wakipungua demand itakua kubwa supply kidogo bei za vyakula zitapanda mkulima atafaidi ila consumer atakoma.
usilolijua ni usiku wa giza kama umefanikiwa kwenye chochote kila shukuru sana mungu alafu mwambie muumba tafadhali usije nipitisha kwenye kikombe cha mateso..Hivi wewe ambaye unajiita umesoma halafu inalalamika kuwa huna kazi, unafahamu kwamba unajidhalilisha?
Acha wakose kazi vijana wa Ulaya na Marekani huko lkn siyo hapa Tanzania. Ardhi yenye rutuba isiyohitaji mbolea imejaa tele kwann usijiajiri kwenye kilimo?
Ardhi ya bure ipo tele katika mikoa ya Tabora, Katavi, Tanga, Ruvuma, n.k.
Kwani lazima ukae mjini? Mbona watanzania zaidi ya 80 wamejiajiri ktk kilimo tena wengi wao hawana madigrii kama ninyi lkn maisha yanasonga na ni watulivu wala hawapigi kelel za kukosa ajira.
Wengi wenu mmesomeshwa na wazazi wenu ambao ni wakulima wasiokuwa na elimu. Hawajawahi kuajiriwa na yeyote maisha yao yote.
Mmerogwa na nani ninyi mnaoenda shule? Kama hizi shule na vyuo mnavyoenda ndiyo vinawapeni huu ujinga mm nashauri zifutwe.
Kuna vijana chungu nzima walioishia darasa la saba wanaendeleza maisha kwa kilimo na shughuli nyingine hatusikii wakililia ajira. Wewe msomi umesoma halafu unalia. Usingesoma je? Jinga kabisa!
View attachment 1974112
Naoma una mashamba yako ya urithi huko katavi unatafuta wa kukodi[emoji28]Nendeni mikoa kama Katavi huko mpunga unalimwa bila mbolea. Mahindi unaweza kulima kwa kutumia samadi peke yake. Mwanzo mgumu. Jifunzeni kuanzia chini
Nakupitisha kwenye lango kuu la fursa nchini Tanzania mkuu. Sifanyi mzaha hapa. Nakasirika sana kuona maomi anaosha vyombo kwa shemeji yake mwaka mzima eti kisa hajapata kazi. Kwann ??usilolijua ni usiku wa giza kama umefanikiwa kwenye chochote kila shukuru sana mungu alafu mwambie muumba tafadhali usije nipitisha kwenye kikombe cha mateso..
Yeah mkuu wew unaelewa unajuwa Kama unafanya kilimo cha biashara s kirahis kihivo tuko Weng sasa Hiv mpaka matajir wakubwa wanafanya biashara ya kilimoHapo sasa. Kwanza mbolea inavyopanda kila siku wakulima wengi watashindwa kulima tena. Na ili upate mazao mazuri mbolea muhimu. Labda wakulima wakipungua demand itakua kubwa supply kidogo bei za vyakula zitapanda mkulima atafaidi ila consumer atakoma.
Hapana. Nimetaja mikoa 5 kwenye uzi wangu ambako mashamba hupatikana bure kabisa. Nenda hata Leo utapewa ardhi bureNaoma una mashamba yako ya urithi huko katavi unatafuta wa kukodi[emoji28]
Mimi msimu huu sijalima mahindi maana ya mwaka jana bado yako stoo na mbolea imepanda sana. Nilikwenda duka la pembejeo nikaabiwa DAP mfuko wa kilo 50 shs 130,000!Hapo sasa. Kwanza mbolea inavyopanda kila siku wakulima wengi watashindwa kulima tena. Na ili upate mazao mazuri mbolea muhimu. Labda wakulima wakipungua demand itakua kubwa supply kidogo bei za vyakula zitapanda mkulima atafaidi ila consumer atakoma.
Ninatamani huyo RC kwanza iyo nafasi aiche ampe kijana afu akaajiri kwenye kilimo ili aongee kwa vitendoHuko kwa RC nini kilijiri!??
Huu utotoyani na elimu yetu tulime, umuhimu wa kusoma upo wapi
Ndio mkuu asante bado sjarizika nazid kubun njia nzur is not over yetNafurahi kusikia umethubutu na umeweza. Wewe kazi yako moja tu imebakia, kushughulikia changamoto ya soko. Hongera!
Suluhu ya tatizo hili Ni kuishinikiza serikali kufungua mipaka ili mazao yauzwe hadi Somali hukoYeah mkuu wew unaelewa unajuwa Kama unafanya kilimo cha biashara s kirahis kihivo tuko Weng sasa Hiv mpaka matajir wakubwa wanafanya biashara ya kilimo
Mkuu Unafikir hatulimi sasa mtu unalima na mahindi unapata ya kutosha ila sasa changamoto n nying kuliko faida mkuu mm n mwenyej wa mbeya ukiacha mbali madawa na mbolea ukija kupiga usafir ukija kupiga vibarua ukija kupiga tozo kod haya unataka kuuza Unakuta gunia ef 30 soko market n tatizo pia
Tunaofanya miradi ya kilimo tuna cheeka tukiona asiyejua mambo ya shambani anavyo ongea kirahi rahisi tu.Kilimo cha mdomo rahis kweli sio cha shambani. Ukodishe shamba kama huna, utafute vibarua, ununue mbegu, mbolea hii inayopanda kila siku, madawa, sumu za wadudu, booster. Hapo bado hujaibiwa
Walau unapata faida kupitia kuku, kuliko aliyekaa bure.Tunaofanya miradi ya kilimo tuna cheeka tukiona asiyejua mambo ya shambani anavyo ongea kirahi rahisi tu.
Nililima mahindi kisha akaja myonyaji mmoja anasema nimuuzie mabichi 150/- kwa indi moja nikamtimua sasa nakula ugali mweyewe na kulisha kuku.
We kulima unafikiri mchezo!!!Hivi wewe ambaye unajiita umesoma halafu inalalamika kuwa huna kazi, unafahamu kwamba unajidhalilisha?
Acha wakose kazi vijana wa Ulaya na Marekani huko lkn siyo hapa Tanzania. Ardhi yenye rutuba isiyohitaji mbolea imejaa tele kwann usijiajiri kwenye kilimo?
Ardhi ya bure ipo tele katika mikoa ya Tabora, Katavi, Tanga, Ruvuma, n.k.
Kwani lazima ukae mjini? Mbona watanzania zaidi ya 80 wamejiajiri ktk kilimo tena wengi wao hawana madigrii kama ninyi lkn maisha yanasonga na ni watulivu wala hawapigi kelel za kukosa ajira.
Wengi wenu mmesomeshwa na wazazi wenu ambao ni wakulima wasiokuwa na elimu. Hawajawahi kuajiriwa na yeyote maisha yao yote.
Mmerogwa na nani ninyi mnaoenda shule? Kama hizi shule na vyuo mnavyoenda ndiyo vinawapeni huu ujinga mm nashauri zifutwe.
Kuna vijana chungu nzima walioishia darasa la saba wanaendeleza maisha kwa kilimo na shughuli nyingine hatusikii wakililia ajira. Wewe msomi umesoma halafu unalia. Usingesoma je? Jinga kabisa!
View attachment 1974112