Aibu kubwa! Msomi unakosaje kazi ya kufanya nchi hii yenye kila aina ya rasilimali?

Aibu kubwa! Msomi unakosaje kazi ya kufanya nchi hii yenye kila aina ya rasilimali?

Hilo shamba la parachichi umeridhi au umeanzisha wewe, Kama umeanzisha wewe umetumia mtaji kiasi gani the same to michikichi na mpunga halafu angalia ni vijana wangapi wanaweza ku afford hizo gharama
Ninachotaka kusema inawezekana vijana wanatamani au wanaweza kufanya hizo jitihada lakini hawana nyenzo muhimu kama ulizonazo wewe
Nimesema kwenye uzi wangu kwamba mashamba yanapatikana hiyo mikoa 5 bure kwa maana ya bila gharama. Unajitambulisha kwa mwenyekiti unakatiwa eneo linakuwa lako. Ama Kuna watu Wana maeneo makubwa wanatafuta mtu awe analima ili kupunguza msitu. Jamani ingieni kwenye kilimo.
 
Tatizo mnataka mkiwnzq tu mtoke na hela ndefu. Kubali kupata hasara hata miaka 3 wakati unajifunza
Hasara miaka 3 unakula nini ndani ya hio miaka 3? Nina uhakika umeajiriwa au una shughuli nyingine ya kukuingizia kipato,kilimo unakifanya kama shughuli ya ziada tu, mkuu ungekua tu ndio umetoka chuo, huna kazi ,wazazi wanakutegemea afu mtu anakuambia hasara ya miaka 3, utamuelewa? 🤔🤔🤔😊
 
Nimesema kwenye uzi wangu kwamba mashamba yanapatikana hiyo mikoa 5 bure kwa maana ya bila gharama. Unajitambulisha kwa mwenyekiti unakatiwa eneo linakuwa lako. Ama Kuna watu Wana maeneo makubwa wanatafuta mtu awe analima ili kupunguza msitu. Jamani ingieni kwenye kilimo.
Acha kudanganya watu kwaiyo mtu anakupa shamba bure tu kashapanda parachichi na michikichi!!!??
 
Ukiwa na mtaji wa kuanzia na kujaribu tena unakuwa na kiburi cha kusema haya unayosema.
Fresh graduate atatoa wapi pesa ya majaribio yote hayo?
Anaishi vipi muda wote wa majaribio? Yaani anakuka nini, anapataje matibabu na anavaa nini?

Pia ukiwa na watu wa kukubeba inawezekana usemayo.
Hahaha! Mkuu unatafuta pa kukwepea tu. Kwanj unavyokaa kwa shemeji yako wakati huna kazi unakula nn? Unatibiwaje? Unavaa Nini? Kama shemeji yako anaweza akakupa vyote hivyo ukiwa kwake anaweza kushindwa kukupatia ukiwa unatafuta maisha?
 
Hasara miaka 3 unakula nini ndani ya hio miaka 3?
Kuna watu wako kwa shemeji zao mwaka wa 4 huu wanasubiri ajira. Wanakula nn muda wote huu? Inashindikana vipi kula wanachokula wanapokuwa mashambani?
 
Nimesema kwenye uzi wangu kwamba mashamba yanapatikana hiyo mikoa 5 bure kwa maana ya bila gharama. Unajitambulisha kwa mwenyekiti unakatiwa eneo linakuwa lako. Ama Kuna watu Wana maeneo makubwa wanatafuta mtu awe analima ili kupunguza msitu. Jamani ingieni kwenye kilimo.
Muongo mkubwa wewe! Hiyo ya kupewa shamba bure ilikuwa miaka ya 70. Sasa hivi ardhi ya bure hakuna.
 
Acha kudanganya watu kwaiyo mtu anakupa shamba bure tu kashapanda parachichi na michikichi!!!??
Naongelea mikoa hiyo mitano ambako hakulimwi parachichi. Mfano Tabora na Katavi, Tanga, Ruvuma, n.k hiku ndiyo unapewa ardhi bure lkn Mbeya na Iringa huwezi kupata ardhi bure
 
Muongo mkubwa wewe! Hiyo ya kupewa shamba bure ilikuwa miaka ya 70. Sasa hivi ardhi ya bure hakuna.
Mkuu kama upo na nia ingia inbox nikupeleke mwenyewe kwa wakubwa wa Kijiji upewe ardhi
 
Ukiachana na kilimo ni kazi ngapi zingine unaweza kushauri vijana wajiajiri nazo?
 
Vijana wengi mnakwamishwa na tamaa.

Watu wengi mbona wako huko wanaishi ktk mazingira hayo hayo?
Nchi hii ukitaka kuishi kijijni labda ucsome hivi unalimaje halafu utegemee dalali ndio anunue mazao yako hakuna mfumo maalum kwa ajili ya wakulima wakati wa kulima sheria hakuna ole wako ukivuna tu crikaleee hii hapa ukisoma uclime nchi hii walime haohao
 
Naongelea mikoa hiyo mitano ambako hakulimwi parachichi. Mfano Tabora na Katavi, Tanga, Ruvuma, n.k hiku ndiyo unapewa ardhi bure lkn Mbeya na Iringa huwezi kupata ardhi bure
Nimekuuliza gharama za kukuza Miche ya parachichi na michikichi mpaka muda kuanza kuvua haujanijibu unapiga chenga, kwa nia njema ya kuwasaidia vijana wenzako inabidi uwape taarifa zilizokamilika sio nusunusu alafu kwa jinsi unavyo andika nikama rahisi Sana kumbe sio kwaiyo unataka kuwajaza matumaini yasiyo halisi, kilimo ni gharama pia ni uwekezaji wa muda mrefu sio kama unavyotaka vijana waone let's be real
 
Nchi hii ukitaka kuishi kijijni labda ucsome hivi unalimaje halafu utegemee dalai ndio anunue mazao yako hakuna mfumo maalum kwa ajili ya wakulima wakati wa kulima shrria hakuna one wako ukivuna tu crikale hii hapa ukisoma unlike nchi hii walime haohao
Huyu jamaa nimemstukia ni muongo hajui hata anachoongea
 
Ukiachana na kilimo ni kazi ngapi zingine unaweza kushauri vijana wajiajiri nazo?
Umachinga na bodaboda. Lkn uwe na malengo na uweke limit ya muda wa kufanya kazi hiyo na Kisha kubadilisha. Hapo utafutie mtaji tu
 
7 years (Primary)+4 years (O level)+2 years (A level)+4 years (Bachelor)=17years (Assuming hujafanya masters and PhD), nimepoteza miaka 17 shuleni, nikiamini kwamba hiyo miaka na jasho langu nililoliweka kwenye hiyo miaka ndiyo uwe mtaji wangu kupitia ajira rasmi, then uniambie futa hiyo miaka 17, ukaanze upya kwa kilimo!! Kuwa serious!! Je hiyo miaka 17 ningefocus kwenye kilimo bila kushurutishwa na serikali na wazazi kwenda shuleni unadhani ningemsumbua mtu kutaka ajira zenu? Ajira tunazidai sababu tumetumia jasho letu kwa miaka 17 ili kuipata hiyo ajira, ambayo since day 1 tunaingia shule tuliulizwa unataka kuwa nani, na tukajichagulia tu like Banker, Engineer, Rubani n.k.., then namaliza unaniambia nikalime?
 
Hasara miaka 3 unakula nini ndani ya hio miaka 3? Nina uhakika umeajiriwa au una shughuli nyingine ya kukuingizia kipato,kilimo unakifanya kama shughuli ya ziada tu, mkuu ungekua tu ndio umetoka chuo, huna kazi ,wazazi wanakutegemea afu mtu anakuambia hasara ya miaka 3, utamuelewa? 🤔🤔🤔😊
Hiyo hasara ya miaka mitatu ni shillingi ngapi?
 
Nchi hii ukitaka kuishi kijijni labda ucsome hivi unalimaje halafu utegemee dalali ndio anunue mazao yako hakuna mfumo maalum kwa ajili ya wakulima wakati wa kulima sheria hakuna ole wako ukivuna tu crikaleee hii hapa ukisoma uclime nchi hii walime haohao
Nakubaliana na wewe hapa kuna tatizo. Lkn usikubali kudhalilika kwa kukaa kwa mtu (hata kama Ni nduguyo) kwasabb tu unaziogopa changamoto.
 
Mleta uzi ntakuunga mkono kama wewe umejiajiri, ila kama unaleta hizi dhihaka kwa vijana wetu wakati na ww ni muajiriwa tu utakua na matatizo sio bure.!
Naungana na ww Kibua . asije akawa miongoni mwa wanaosubir tarh 23.

Anyway iko hv... Elimu ya bongo iko na mitaala isiyomwandaa mhitimu kukabiliana na sura adhimu ya maisha ya kitaani.
Juhudi binafsi ndizo ztakazomwokoa msomi huyo ku cope na hali halisi iliyopo kitaani na kujiongeza ktk kukabiliana na changamoto hio.
 
Back
Top Bottom