mikononyuma
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 641
- 600
Sio Tu muajiriwa ata watoto zao wanawapa connection ndani ya taasisi majina yanajirudia tu!!!![emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]Mleta uzi ntakuunga mkono kama wewe umejiajiri, ila kama unaleta hizi dhihaka kwa vijana wetu wakati na ww ni muajiriwa tu utakua na matatizo sio bure.!